nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. King Savi

    Nataka kutumia jina tofauti kwenye Kitambulisho cha NIDA

    Heshima Yenu Wakuu, Hongereni kwa majukumu ya kuijenga mama Tanzania. Nahitaji msaada wa mawazo yenu na pia kwa aliyekutana na hii changamoto anipe usaidizi pia iwafikie wahusika Serikali pamoja na NIDA. Nipo kwenye mchakato wakupata kitambulisho cha taifa (NIDA). Changamoto yangu iko hapa...
  2. K

    Simbachawene: Kupata kitambulisho cha NIDA siyo mwarobaini wa kutokuulizwa uraia wako

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameeleza kuwa kuwa na kitambulisho cha Utaifa (NIDA), hakuhalalishi mtu kuwa ni Raia wa Tanzania. Pia soma > Mbunge :Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili wanaambiwa siyo raia wa Tanzania Simbachawene ameeleza hayo leo Mei 4...
  3. H

    Nahitaji kupata API za NIDA

    Habarini wapendwa, nahitaji kupata API za NIDA kwa yeyote ambaye amewahi kuzipata naombeni procedures
  4. Civilian Coin

    Waraka Maalumu kwa Rais Samia Suluhu Hassan juu ya hujuma zinazofanywa na Watendaji wako NIDA

    WARAKA MAALUM KWA MH. SAMIA SULUHU RAIS WA TANZANIA JUU YA UTAPELI NAOFANYIWA NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA(NIDA Salaam kwako Mkuu wa Taifa la Tanzania, naitwa DON NALIMISON ni Mwanamuziki na Mjuvi wa Falsafa, malalamiko yangu nayafikisha Mbele ya Kiti chako Cha Ikulu ili niweze...
  5. LUCKSON MNYENGU

    Jamani naombeni msaada hivi ukitaka kupata namba yako ya NIDA unafanyaje?

    Jamani msaada ukitaka kupata namba yako ya nida unafanyaje kwa sasa hivi manake nimejaribu ussd code(*152*00#) imekataa sehemu ya nida siioni.
  6. Fatma-Zehra

    Hili la Viwanja na NIDA lisisubiri hadi Julai 2021

    Kama nilichokisikia ni kweli, naipongeza serikali kwa kubuni njia nzuri ya kupambana na ufisadi kwenye sector ya ardhi. Lukuvi anasema ataunganisha namba ya mmiliki ya NIDA na taarifa za kiwanja/viwanja anavyomiliki. Niliwahi kushauri kwenye thread moja iliyohusu kuondoa na ku-descourage...
  7. Richmoto Kushmoto

    Wakuu nisadieni jinsi ya kupata copy ya kitambulisho cha NIDA ni muhimu sana

    nina shida sana na copy ya kitambulisho cha kwaajili ya bank akaunt nilipewa emaili ya meneja wa NIDA wa Iringa lakini maeneo ya kazi wanakwepa kutuma barua ya dharula kwa njia ya email kuna anayeweza kunitolea copy ya kitambulisho cha nida humu sipo sana coz simu kubwa sina ni very serious...
  8. figganigga

    Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

    Salaam Wakuu, Vyombo vya Serikali viache double standard. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM...
  9. Jaji Mfawidhi

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Abdul Razaq Badru Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira. Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka. Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi...
  10. Clark boots

    Kuhitajika namba za NIDA wakati wa application SUA

    Wadau, wakati nafanya application SUA. Nimekutana na kipengele kinachohitaji namba ya NIDA.. Sasa kama hauna inakuwaje hapa.!!, kuna mtu yeyote kakutananacho hiki kipengele..?
  11. O

    Muda wa Kupata Passport ya Kusafiria

    Nauliza
  12. Syston

    NIDA bado tatizo: Wafanyakazi wa NIDA wanachukulia watanzania hatuna akili

    Wanajamii, nafikiri wafanyakazi wa NIDA wanachukulia watanzania hatuna akili. Binafsi nimejiandikisha tangu mwaka jana mwezi wa 3 lakini kila nikifuatilia kitambulisho naambiwa kwa sasa wanatoa namba tu vitambulisho wamesitisha. Kwa akili ya kawaida huu ni upumbavu uliokithiri kwa sababu; 1...
  13. The Humble Dreamer

    Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Wakuu Salaam; Ofisi ya Rais-Tamisemi imefungua rasmi dirisha la kutuma maombi ya ajira kwa sekta ya elimu. Kila aliye na sifa anaweza kuomba ajira hiyo kupitia link ifuatayo :https://ajira.tamisemi.go.tz/ . Kigezo cha kua na kitambulisho au namba ya NIDA kimejumuishwa kama msingi kwa...
  14. A

    NIDA IIala ni aibu na fedheha kwa Serikali

    Wadau nimekuwa nikifuatilia kitambulisho changu cha uraia tangu mwaka jana, Kila siku umekuwa danadana. Kilichonifanya nilete Uzi huu no uzembe wa mamlaka pale unapokatika umeme kushindwa kutimiza majukumu yao kwa kisingizio cha kukatika umeme wakati wanayo standby generator. Nilipouliza...
  15. Jimbi

    NIDA Kuna shida gani mbona hampokei simu?

    Wakuu, Mamlaka ya NIDA imeorodhesha namba hizi kwaajili ya mawasiliano kwa sisi wateja wao wenye changamoto mbali mbali kutokana URASIMU wao; 0752 000058, 0677 146667, 0777 740008, na 0735 201020. Jambo la kushangaza na KUUDHI, namba hizo kila ukipiga simu HAZIPOKELEWI wala kujibiwa chochote...
  16. D

    Hivi ni kweli ofisi za NIDA zimefungwa?

    Leo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji. Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??
  17. Kimwerymdodo5

    Eid Mubarrak to all members of JamiiForums

    Eid imeangukia Mokonda Day😁😁. Enewei, muwe na sikukuu njema wakuu.
  18. M

    NIDA sasa kutengeneza vitambulisho kwa miezi 3

    Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), imefunga mitambo miwili yenye uwezo wa kuzalisha vitambulisho 9,000 kwa saa ikiwa na uwezo mkubwa zaidi kulinganisha na mitambo iliyokuwepo awali iliyokuwa inazalisha vitambulisho 200 – 250 kwa saa. Taarifa hiyo imetolewa na kitengo cha mawasiliano na...
  19. BASIASI

    Kwa matokeo haya labda Yanga tukagombee namba za NIDA

    Najuaaa tunapopitia sihaba kuamini akuna kipya mbeleni. Kwa matokeo haya tukapange tu foleni pale Kawe tugombanie namba za NIDA. Sioni tunachoshindania mpaka sasa ajabuu unakaa bar kula unaonaa kundi la watu linaingia kuangalia Yanga as if wanagombani kakombe fulani.
Back
Top Bottom