nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. Wanama

    Msaada: Laini yangu imefungiwa kwa kufanya hivi

    Habarini wana JamiiForums, Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Mnamo wiki uliyopita hii nilipokea meseji kutoka kwa namba ngeni nisiyoitambua(tapeli),sms yenyewe ilikuwa ikinieleza kumtafta mganga Sanga ambaye ni mtaalamu wa dawa za jadi na ikaweka namba za mganga Sanga. Baada ya sms iyo...
  2. B

    Msaada: Jinsi ya kubadili picha kitambulisho cha taifa NIDA

    Wadau wakati napiga picha miaka iyo ilopita nilikua na karangi keusi sasa nimekunywa maji mengi kama Rey kigosi nimekua na karangi keupe, ukitazama picha ile na sasa utakataa sio mimi, vipi upo uwezekano wa kubadili picha nida?
  3. beth

    Bungeni, Dodoma: Spika Ndugai ataka NIDA kuitwa na Kamati. Asema haifanyi vizuri

    Spika wa Bunge, Job Ndugai ameitaka Kamati ya Ulinzi na Usalama kuiita Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), akisema hawafanyi kazi nzuri Akizungumza leo katika Kikao cha Kwanza, Mkutano wa Tano wa Bunge la 12 amesema, "Ndiyo kazi yenu kupitia hizi Kamati, waiteni kieleweke. Tumeanza nao...
  4. mfalmeselemani

    Bunge labaini madudu vitambulisho vya taifa

  5. KENZY

    Nahakiki vipi namba yangu ya NIDA?

    Nimewapigia nimewapata haya nahakiki vipi namba yangu walionitajia? Msaada kwa anaefahamu nisije boronga mambo 😀
  6. mshale21

    DPP awafutia kesi Maimu, wenzake wawili mashtaka 10 ya utakatishaji fedha

    FRIDAY OCTOBER 22 2021 Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) amewafutia mashitaka 10 ya utakatishaji fedha washtakiwa watatu kati ya watano akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu. Mbali na Maimu washitakiwa wengine waliofutiwa...
  7. Pain killer

    Cheti cha NIDA na JKT vinatofautiana majina wakuu, nifanyeje

    Habari wakuu. Naomba kuuliza, wakati napita jkt mujibu wa Sheria walitupa vyet vya jkt lakini kwa bahati mbaya wakati wanatupa Mimi jina langu la mwisho katika majina matatu lilikosewa kipindi kilee, kutokana na Mambo mengi wakati natoka kambini nilishindwa kufuata taratibu kurekebisha jina la...
  8. gimmy's

    Waziri mwenye dhamana fuatilia NIDA wamalizie mchakato wa kugawa vitambulisho vya taifa

    Zipo taasisi za serikali ni kero sana hapa nchini,huwa hazifanyi kazi mpaka zisukumwe, Wapo watanzania kwa mamilioni tumepewa no za NIDA pale awali lakini kupatiwa vitambulisho sasa ni zaidi ya miaka miwili hakuna kitambulisho wala taarifa kutoka NIDA kwamba ni lini tutasambaziwa vitambulisho...
  9. Restless Hustler

    Ni mwaka wa tatu sijapata kitambulisho cha NIDA

    Nilijiandikisha NIDA tangu March,2019. Mwaka Jana 2020 nikapata namba, nikaambiwa kitambulisho Bado. Mwaka huu nimefuatilia sana naambiwa tu subiri kikiwa tayari utapigiwa simu. Mbaya zaidi watumishi wa pale wala lugha mbaya sana. Ukiuliza swali kwa ustaarabu wanakujibu kama ugomvi vile. Eti...
  10. moyafricatz

    NIDA nisaidieni njia ya kupata namba ya kitambulisho (NIN)

    Wanajukwaa, Nina shida ya haraka sana ya kupata NIN toka kwa hawa waheshimiwa wa NIDA. Cha ajabu ni ngumu sana kupata huduma hii kwenye mtandao Nimejaribu kwa meseji ya kawaida kwenye ile menu ya *152*00# hakuna kitu. Kwenda kwenye website ya nida pia hakuna kitu. Nimepiga namba zote za huduma...
  11. Replica

    Serikali: Watanzania wote wenye sifa watapewa vitambulisho vya Taifa kufikia Disemba 31, 2021

    Leo naibu waziri wa mambo ya ndani, Khamis Hamza Chilo amesema Watanzania wote wenye sifa ya kupata vitambulisho vya Taifa wote watapewa vitambulisho vyao kufikia Disemba mwaka huu. Waziri Chilo ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma akijibu swali la mbunge wa viti maalum, Saada Mansoor (Kaskazini...
  12. Suley2019

    Mkurugenzi wa zamani wa NIDA, Dickson Maimu akutwa na kesi ya kujibu

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkutana kesi ya kujibu aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu na wenzake wanne na hivyo wanatakiwa kuanza kujitetea. Maimu na wenzake wanne wanakabiliwa na mashtaka 55 yakiwemo ya kutakatisha fedha na kuisababishia...
  13. sky soldier

    NIDA ni mzigo tu matapeli wanajisajili vipi bila alama za vidole

    Yaani hii nchi vituko havujawahi kuisha, pamoja na serikali kutukamia haya mambo ya Nida lakini bado tunaambiwa tuwe tunahakikisba taarifa ya line tulizosajili, hii kwahiyo inamaanisha tapeli akiwa na namba yako ya nida anaweza kusajili line? Hii ishu hata siielewagi maana ninachojua ni kwamba...
  14. J

    Inachukua muda gani kubadili taarifa NIDA?

    Ukienda NIDA kubadilisha taarifa zinachukua muda gani hadi zibadilike kwenye mfumo?
  15. Yofav

    Jinsi gani nitapata namba ya NIDA?

    Habari za muda huu ndugu, Kaka,Dada na wengineo wengi mliomo humu JF. Ni jinsi gani naweza kupata namba ya NIDA au kitambulisho Cha taifa ikiwa wazazi wangu hawajajiandikisha NIDA Wala hawana vitambulisho Wala vyeti vya kuzaliwa na hawatilii maanani. Kwa mnaojua utaratibu Ni lazima niwe na...
  16. Mbaga Jr

    Kitambulisho cha NIDA kwa mara ya pili

    Inasikitisha sana wakuu
  17. Mrs Bishanga

    Mstaafu anakwama sababu ya kukosa ID ya NIDA

    Wakuu heshima kwenu, Mbali na kuwa ana namba ya kitambulisho cha NIDA mzazi wangu aliyefikisha umri wa kustaafu anakwama kufwatilia process zote ndani ya halmashauri anapofanyia kazi kwakuwa anakosa kitambulisho cha NIDA. Wahusika wanaopokea barua zake wamekataa kutumia namba ya NIDA wanataka...
  18. Mwanamaji

    Mama kasema tukosoe na tushauri suluhu: "Bure Bure" ya NIDA inatuchelewesha

    Kufuatia wito wa Mh. Rais kwamba vijana tutumie mitandao kukosoa lakini pia tupendekeze suluhisho la yale tunayoyakosoa, leo nina pendekezo juu ya suala zima la utoaji wa vitambulisho vya utaifa kupitia NIDA. Utangulizi; Ninafahamu hali ya kifedha ya baadhi ya watanzania wenzetu ni ngumu sana...
  19. Analogia Malenga

    Kitambulisho cha NIDA si kigezo cha uraia - Waziri

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene, amesema kuwa mwananchi kuwa na kutambulisho cha NIDA haina maana kwamba hicho ndicho kinachoonesha uhalali wa uraia wake kwani vitambulisho hivyo hata wananchi wasiowazawa wa Tanzania wanavyo. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe...
  20. kmbwembwe

    Kuna nini NIDA hadi vitambulisho havitoki tena?

    Nchi zetu changa zinapelekeshwa kila siku na ubeberu. Ukiwepo mpango wowote wenye maslahi kiuchumi kwa umma ila unakinzana na maslahi ya ubeberu au vikaragosi vyao unakwama. Ni vigumu mtu kuamini sababu zinazotolewa kila siku kwanini mpango wa Serikali kuwapatia wananchi wake vitambulisho...
Back
Top Bottom