pikipiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    INAUZWA Pikipiki inauzwa

    TVs star 125 no C ipo katika hali nzuri. Engine safi haijafunguliwa. Kadi halali IPO Bei:1050000 0624474871 IPO Mbagala
  2. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Pikipiki King Lion imetumika miezi 9 Mwanza Mjini

    INAUZWA 1.7mil... 0713096076 ipo IGOMA CC 150 GIA 5. HAIJAGUSWA POPOTE ENGINE NZIMA. KARIBU
  3. Isaack Newton

    Anaejua bei ya pikipiki TVS 125 anijuze.

    Habari wakuu Nahitaji kununua pikpiki aina ya TVS 125 kwa matumizi yangu binafsi. Anaejua bei yake kwa sasa anijuze tafadhali.
  4. B

    Tatizo la pikipiki kuchelewa kuwaka

    Pikipiki aina ya Dayun. Betri mpya plug mpya. Lakini inachelewa kuwaka sometime napiga kick ndio I wake, tatizo linaweza kusababishwa na Nini wakuu?
  5. Kichaka12

    Msaada: kesi ya ajali ya pikipiki

    Wakuu wanasheria natumaini mko poa. Nilinunua pikipiki juma tano na niliambiwa kuwa kadi haijafika tukapewa chases number tukarudi. Jumamosi nikiwa safarini nikaambiwa dogo amegonga mtu na huyu dogo hana lesen. Kachukuliwa yeye na pikipiki yeye aliwekwa mahabusu then kuna mtu kaenda kumuwekea...
  6. Ramon Abbas

    INAUZWA Pikipiki TVS no CQB inauzwa Mwanza Mjini

    TVS hio. Cc 150 gia 4. Imetumika mwaka mmoja. Full document. Bei 1.8 mil. Iko nyakato Mwanza Piga 0713096076 tuongee biashara achana na comments.
  7. ommytk

    Pongezi nyingi aliyeleta wazo la pikipiki kutumiwa kama usafiri kwa abiria

    Kwenye hili la boda boda naomba tutoe pongezi nyingi kwa aliyeleta hili wazo zitumike kama usafiri wa abiria. Ameacha alama kubwa kwakweli maana kila kona now kuna kijana ana pikipiki yaaani zimeajiri mamilioni kwa mamilioni ya watu kuna watu wanafaa kuchongewa sanamu aiseepo pongezi nyingi...
  8. M

    Nataka kufungua duka la vifaa vya pikipiki kijijini

    Wadau za jioni, Mimi ni kijana mwenye miaka 32, niko Kijijini. Nimemake kiasi cha Tsh. milioni 1 nataka kufungua duka la vifaa vya pikipiki huku huku kijijini ila sijui kama fedha hizo zitatosha kama mtaji wa kuanzia Nataka nianze na duka dogo tu Naombeni ushauri na wazoefu naombeni mwongozo
  9. Mr DIY

    Miaka 24 still strong barabarani, Yamaha 4gl-90

    Yamaha 4gl 90cc ni mfano tu wa mashine za kijapani ambazo wajapani walijitengenezea wenyewe kwa matumizi yao, pikipiki hizi ni sawa na Honda md90 ambazo zilitengenezwa maalumu kwa ajili ya shughuli za posta huko japan. Leo huyu mnyama ana miaka 24, production ya 1997, mpaka leo sijui kapita...
  10. Mparee2

    Pikipiki bila vioo vya pembeni (side mirror) ni hatari kwa abiria!

    naona hili nalo ni tatizo!
  11. K

    Kulaza pikipiki sebuleni, ikishika moto ni hatari sana

    Tunashukuru sana kwamba hivi sasa bodaboda zimetengeneza ajira kwa vijana wetu wengi. Lakini jamani, tuwe makini sana sana na sehemu tunazolaza bodaboda hizo au pikipiki zetu baada ya shughuli zetu za kila siku. Moto wake ni hatari sana. Ni kama bomu! Ilitokea sehemu (singependa kuitaja)...
  12. Behaviourist

    Kwa picha: Nauza babaywalker ya pikipiki

    Inakula mafuta kiduchu sana.Unaenda nayo popote kuanzia sokoni,kazini,kanisani hadi kwenye kula kitimoto. Inapita popote katika majira yote ya mwaka. Changamoto: Haina siti/kiti cha kuwapa watu lifti😁😁😁
  13. MC44

    Pikipiki isiyotumia mafuta: Je, zinapatikana madukani au ni za kujiundia?

    Huyu jamaa nimemsikia BBC ana pikipiki ya kuchaji. Zinapatikana madukani au ni ya kujiundia? ===== Anthony Kapinga Pikipiki ya Bw. Kapinga Ifahamu pikipiki inayotumia umeme ambayo wengi wameiona kama rafiki mkubwa wa Mazingira kutokana na ukweli kwamba pikipiki hii haina mlio na haitoi...
  14. Mung Chris

    Ni sehemu gani hapa Tanzania biashara ya boda boda inalipa na hamna wizi wa Pikipiki?

    Wakuu tuje kila mtu na Tafiti zake ili tupate mwanga na kumsaidia ambaye anaweza akahitaji kufanya biashara ya boda boda. Ni Mkoa gani, Wilaya, Kata, Kijiji au sehem gani mtu unaweza ukawekeza kwa biasahra ya pikipiki ya Mkataba na ukapata pesa zako bila wasiwasi na usiwe na hofu ya kuibiwa...
  15. J

    Nzega, Tabora: Bashe akabidhi zahanati, Gari ya wagonjwa na Pikipiki

    BASHE AKABIDHI ZAHANATI, GARI YA KISASA YA WAGONJWA NA PIKIPIKI KATIKA KIJIJI CHA IDUDUMO Nzega Mjini, TABORA. Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini na Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amefanikiwa kukabidhi zahanati, Gari ya kisasa ya wagonjwa (ambulance) pamoja na usafiri aina ya pikipiki...
  16. Ramon Abbas

    INAUZWA kwa laki 6 tu, unapata pikipiki cc 150 gia 5

    pikipiki chapa Gsm. Full Docs. cc 150, 5 gears. Haina changamoto zozote ni kuwasha na kuamsha Spea zake zinaingiliana na fekon, KiNGLION, San lg ipo Dar. Mbagala Zakhem
  17. Ramon Abbas

    INAUZWA Pikipiki TVS 125 Gia 4 kwa laki 6 tu. Dar es Salaam

    inahitaji betri tu ambayo inauzwa Tsh 25,000 Bima imeisha Tvs 125 Gia 4 iko mbagala. karibu tufanye biashara
  18. Dr.philosophy

    Pikipiki ya hesabu Dodoma mjini

    Ndugu zangu,Mimi Ni kijana natafuta pikipiki ya hesabu ambapo nitakuwa naitumia kufanyia biashara ya boda boda na kumlipa mwenye Mali kutokana na makubaliano ya kiasi tutakachokubaliana...naomba ndugu zangu nisaidiwe kwa Hilo nitafanya kazi kwa uaminifu mkubwa mnoo na nitahakikisha naleta hesabu...
  19. Mparee2

    Hivi taa la Pikipiki hazina mwanga mdogo (low)?

    Kuna waendesha pikipiki wengi ikifika jioni/usiku huendesha pikipiki wakati wamesha taa kali sana. Wengine hubadilisha taa halisi na kuweka mwanga mkali sana kwa watumiaji wengine wa barabara Huwa najiuliza: Hivi hizi pikipiki hazina sehemu ya kupunguza mwanga wa taa? Kimsingi ni hatari sana...
  20. Junnie27

    INAUZWA Pikipiki zinauzwa

    Yellow one 600cc almost new for 6m(Tsh) black one 650cc used ktk mint condition for 4m(Tsh) Location: Salasala (DSM) contact (0626409908)
Back
Top Bottom