putin

Vladimir Vladimirovich Putin (; Russian: Владимир Владимирович Путин, romanized: Vladimir Vladimirovič Putin, Russian pronunciation: [vɫɐˈdʲimʲɪr vɫɐˈdʲimʲɪrəvʲɪtɕ ˈputʲɪn]; born 7 October 1952) is the president of Russia since 2012, previously holding the position from 2000 until 2008. In between his presidential terms, he was also the prime minister of Russia under President Dmitry Medvedev.
Putin was born in Leningrad and studied law at Leningrad State University, graduating in 1975. Putin was a KGB foreign intelligence officer for 16 years, rising to the rank of Lieutenant Colonel before resigning in 1991 to enter politics in Saint Petersburg. He moved to Moscow in 1996 and joined president Boris Yeltsin's administration where he served as director of the FSB, the KGB's successor agency, and then as prime minister. He became acting president on 31 December 1999, when Yeltsin resigned.
During his first presidency, the Russian economy grew for eight straight years, and GDP measured in purchasing power increased by 72%. The growth was a result of the 2000s commodities boom, recovery from the post-Communist depression and financial crises, and prudent economic and fiscal policies. In September 2011, Putin announced he would seek a third term as president. He won the March 2012 presidential election with 64% of the vote. Falling oil prices coupled with international sanctions imposed at the beginning of 2014 after Russia's annexation of Crimea and military intervention in Eastern Ukraine led to GDP shrinking by 3.7% in 2015, though the Russian economy rebounded in 2016 with 0.3% GDP growth and the recession officially ended. Putin gained 76% of the March 2018 presidential vote and was re-elected for a six-year term that will end in 2024.Under Putin's leadership, Russia has experienced democratic backsliding. Experts do not generally consider Russia to be a democracy, citing purges and jailing of political opponents, curtailed press freedom, and the lack of free and fair elections. Russia has scored poorly in Transparency International's Corruption Perceptions Index, Economist Intelligence Unit's Democracy Index and Freedom House's Freedom in the World index (including a record low 20/100 rating in the 2017 Freedom in the World report, a rating not given since the time of the Soviet Union). Human rights organizations and activists have accused Putin of persecuting political critics and activists, as well as ordering them tortured or assassinated; he has rejected accusations of human rights abuses. Officials of the United States government have accused him of leading an interference program against Hillary Clinton in support of Donald Trump during the U.S. presidential election in 2016, an allegation which both Trump and Putin have frequently denied and criticized.

View More On Wikipedia.org
  1. Mei 9 inawadia, Putin ana kipi cha kuwaambia Warusi maana ndio huwa siku ya Urusi kutunisha misuli kwenye maonesho

    Mei 9 hutumika kama maadhimisho ya kijeshi ya kusheherekea ushindi dhidi ya Hittler, na kawaida wanajeshi Warusi hufanya gwaride zao kwa mbwembwe na huonyesha zana zao za kivita kama mikwara kwa dunia. Pia Putin hutumia hiyo siku kueleza ushindi wa Urusi kwenye mapambano mbali mbali. Sasa huyo...
  2. Putin anazidi kuiharibu Urusi. Baada ya meli yake kuzama naamini uungwaji mkono wa Putin nchini mwake utapungua.

    Meli ya kivita ya urusi Moskva flag ship imegeuzwa kuwa Nyambizi na waukraini. Hii ni taarifa mbaya sana kwa Warusi na kwa ujumla meli hii ilikuwa ndiyo nembo kuu ya urusi huko black Sea. Vita ya Ukraini vimeiexpose Urusi na kuwaacha utupu wa mnyama. Aibu kubwa kwa Putin na kwa Hali...
  3. Urusi vs Ukraine: Putin asema wataendelea kupambana hadi "malengo yao mema" yatimie

    Rais Vladimir Putin ameahidi kuwa Russia itatimiza kile alichokiita ni "malengo mema" Nchini Ukraine. Amesema mazungumzo ya amani hajapata mwafaka, na uvamizi huo unaendelea kama ilivyopangwa Aidha, Kiongozi amedai hakuwa na uamuzi mwingine zaidi ya kuanzisha uvamizi huo, ikiwa ni jitihada za...
  4. Vita ya Urusi na Ukraine vyaendelea kuwa vikali baada Putin kubadili kamanda

    Raisi Putin amemteua generali Alexander dVOrNIKOV kuwa kamanda mpya wa kuongoza jeshi lake katika nchi ya Ukraine.Generali Alexander ndiye aliyekuwa kamanda wa mwanzo wa Urusi nchini Syria katika kumsaidia raisi Assad kupambana na wapinzani wake walioungwa mkono na Marekani na Israel. Masaa...
  5. B

    Ujumbe mahsusi wa Putin kwa Kenya

    Ndugu zetu wakenya kuna huu ujumbe wenu hapa: Vipi uliwafikia au ndiyo mmefanya kama hamjauona? Poleni lakini, ila huo ndiyo ukweli wenyewe.
  6. Vuguvugu la wanajeshi Warusi walioasi na kujiunga Ukraine dhidi ya Putin - Freedom of Russia legion

    Wengi wanaendelea kuasi na kujiunga kwenye hili vuguvugu, wakiwemo makamanda kabisa, wameona hamna haja ya kuendelea kuteseka kwenye njaa huku wakitumia zana ambazo zenyewe nyingi zimeharibika au kukosa mafuta ilhali wanaliwa shaba na kufukuziwa kwenye nchi ya watu, yote hiyo kisa kumfurahisha...
  7. Msemaji wa Putin, Mr. Peskov anakiri wamepoteza kwenye vita na Ukraine

    Msemaji wa Putin, Mr. Peskov anakiri wamepoteza kwenye vita na Ukraine, amesema wamekiri kutofanikiwa Kwa kasi Kama walivyodhani, na hii ni kutokana na wageni kuingilia operation yao huko Ukraine. Peskov kasema Mrusi anayenuka jasho hapo Sinza Kwa Remmy anabisha Britanicca
  8. Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Urusi vyawalenga watoto wa Rais Putin

    Marekani imesema inaamini Mali nyingi za Rais wa Urusi, Vladimir Putin zimefichwa na Wanafamilia. Kauli hiyo inakuja kufuatia vikwazo vipya vilivyotangazwa dhidi ya Watu wa karibu wa Putin wakiwemo Mabinti zake wawili Taarifa ya Marekani imemtaja Katerina Vladimirovna Tikhonova kama Mkurugenzi...
  9. Putin: Vikwazo vya Magharibi vimepelekea janga la chakula duniani

    Rais Vladimir Putin amesema Urusi inalazimika kuangalia kwa karibu mauzo yake ya chakula kwa nchi zisizo rafiki kwani vikwazo vya Magharibi vimechochea janga la chakula duniani na kuongezeka kwa bei za Nishati. Vikwazo vya Nchi za Magharibi kutokana na uvamizi wa Putin mnamo Februari 24, 2022...
  10. M

    Rafiki yangu amefanya ukatili wa the West, amempiga Sanctions mchepuko wake Kama Putin, anahaha

    Vita vya Urusi na Ukraine vimemsaidia sana rafiki yangu kuhandle mchepuko wake uliokuwa unakidomo Domo unaotaka kuharibu ndoa yake. Alifanyiwa kila kitu na rafiki yangu huyu mchepuko mpaka kanyumba na kagari akapewa, Ila ameleta shida katika ndoa ya jamaa Sasa amepigwa vikwazo vikali...
  11. Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

    Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya. Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na vifaa vyake vya kivita Russia aliishia kupata hasara kubwa sana kwenye ile winter war, zaidi akaishia...
  12. Putin alitia saini amri juu ya hatua za kulipiza visasi kwa nchi zisizo rafiki

    Rais wa Urusi Vladimir Putin mnamo Jumatatu, Aprili 4, alitia saini amri juu ya hatua za kulipiza visasi kwa nchi zisizo rafiki. Hati hiyo ilichapishwa kwenye tovuti rasmi ya mtandao ya habari za kisheria. Hati hiyo ilitiwa saini "kulingana na hitaji la kuchukua hatua za haraka katika...
  13. Why is the Indonesian president allowing Putin into Indonesia for the G 20 meeting?

    There are two reason First, Indonesia is a sovereign and independent country that can allow or invite whoever it wants into our country regardless of his or her political affiliation or actions. Second, the G20 is an economic forum, and Russia with its $1.4 Trillion economies are amongst the...
  14. Marekani: Washauri waoga wanampotosha Rais Putin

    Marekani na Uingereza zimesema kuwa Rais wa Urusi, Vladimir Putin anapotoshwa na washauri wake ambao wanahofu ya kumwambia ukweli jinsi ambavyo uvamizi wake kwa Ukraine ulivyo na madhara makubwa. Uingereza imesema kuwa vikosi vya Urusi vilivyopo Ukraine vinazidi kupata tabu, na wanaamini Rais...
  15. M

    Kuhusu kununua gesi na mafuta kwa Rouble: Putin awafanya mabeberu Kama watoto wadogo

    Kulikuwa na kisa kimoja kuwa mama mmoja alikuwa na watoto watatu. Kati ya hao wawili ni watoto wa kambo na mmoja ni WA kwake. Huyu mama alinunua machungwa mawili huku akitaka mtoto wake apate chungwa Zima lakini wale wa kambo wagawane chungwa moja nusu kwa nusu!! Ili kuwadanganya Hawa watoto wa...
  16. Mchekeshaji alivyomuhadaa mbabe wa vita Putin

    Hakika Wana Ukraine wanapaswa kutembea kifua mbele hadi hivi sasa mpira ni mapumziko wamesha mchapa mtu tatu kwa nunge. Hii vita watu waliichukulia poa akiwemo anayedaiwa kuwa mbabe wa vita Vladimir Putin, kutokana na ubutu wa jeshi la Ukraine wengi wetu tulijua ndani ya muda mfupi Putin na...
  17. Biden hakukosea ndio mpango uliokuwepo, ila ametoa Siri kizembe. USA walimshindwa Castro, watamuweza Putin?

    Kwa kifupi Biden hajaropoka TU,Bali amejikuta akitoa Siri kwa kukosa kifua. Ni kama yule Rais alosema wanajeshi wakiwa vitani halafu akatokea msaliti wanajeshi humshughulikia.mda mfupi baadae Kuna mtu mmoja akamimimniwa vipande vya vyuma mwilini. Rais huyo alijikuta anakosa kifua na hatimae...
  18. Kwa hali hii Zelensky akubali yaishe, kuokoa nchi kuwa magofu. Ila Putin amepata fundisho

    Kuanzia tarehe 24 Urussi imekuwa ikashambulia ukraine kwa makombora toka kila upande (Angani, ardhin na baharini), hii imetokea baada ya vita ya ardhini kupata upinzani mkubwa toka kwa majeshi ya ukraine na washirika wake baada ya kupokea shehena ya siraha toka nchi za magharibi. Sasa Urussi...
  19. Biden atoa kauli kali kwa Putin, Ikulu yaingilia kati kupooza makali

    Rais wa Marekani, Joe Biden amemshambulia moja kwa moja Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika hotuba yake kwa kusema ‘Mtu huyo hatakiwi kuendelea kuwa na nguvu’ na kuonya kuwa kama akiendelea anachokifanya anaweza kusababisha vita ya muda mrefu Ulaya. “Mungu wangu, huyu mtu hatakiwi kuendelea...
  20. Vita vya ukraine huenda vikamfanya putin kufuata nyanyo michael gobachev 1991

    Sasa Kama ilivyokuwa mwaka 1991 baada ya hali kuwa mbaya nchini urusi na nchi za kisoviet kipindi cha vita baridi vilipekea raisi wa urusi na kiongozi wa nchi za kisoviet kujiuzulu mwaka 1991 Je putin huenda akajiuzulu hali ikizidi kuwa mbaya kwa kama ilivyokuwa kwa michael gobachev alikubali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…