rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Picha: Mzee Mpili kwenye iftar na Rais Samia Ikulu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Machi, 2025. Soma: Rais Samia awafuturisha watoto yatima...
  2. chiembe

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa Kijiji CHADEMA aibukia kwenye Mkutano wa Mbunge wa Hai, Apongeza Kazi za serikali ya awamu ya sita

    Naam, saiti hali ni tofauti kabisa na wanachosema viongozi wa chadema wanaokaa mikocheni wakiota ndoto za alinacha, saiti inamkubali Samia kwa asilimia kubwa, na ni atazuia uchaguzi?tunasema, kauli ya no reform no election sio tunda la wanachama ngazi za chini(grass root) na itakuwa biggest...
  3. The Watchman

    Rais Samia anatarajiwa kuzindua mradi wa maji wa Mwanga, Same, Korogwe wenye thamani ya zaidi ya Bilion 300

    Rais wa Jamuhuri wa muunngano wa Tanzania Mh Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kuzindua mradi wa maji wa Mwanga,Same,Korogwe wenye thamani ya zaidi ya Bilion 300 utakao wanufaisha wakazi wa wilaya ya Mwanga na Same Mkoani Kilimanjaro Akizungumza March 4,2025 Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Bi...
  4. upupu255

    Pre GE2025 Juliana Shonza: Rais Samia ametufanyia Kazi nzuri, tumepata Hospitali ya Kisasa kwa Wanawake Songwe

    Mbunge wa Chang'ombe, Juliana Shonza, amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya kazi nzuri kwa wananchi wa Wilaya ya Songwe kwa kujenga hospitali ya kisasa. Shonza alieleza kuwa hospitali hiyo ina wodi ya wanawake, vitanda vya kujifungulia, na vitanda vya wodini vya kisasa. "Wilaya ya...
  5. K

    Rais Samia Suluhu Hassan ni Kielelezo cha Uongozi wa kina Mama Duniani

    Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, hakuna mfano bora wa mwanamke shupavu, mwenye maono na anayevunja vikwazo kuliko Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan. Safari yake ya uongozi si tu fahari kwa Tanzania bali pia ni mwangaza kwa wanawake duniani...
  6. USSR

    Rais Samia ikukupendeza tuondolee DC Magoti hapa Kisarawe, amefeli kila kitu

    Watu hatuna maji yeye analeta story za uchaguzi. Tuliambiwa kuwa hapo ikulu alikufelisha na wewe ukaamua kuturushia huku Kisarawe huku ni majanga kabisa . Hapa Kisarawe wilaya nzima hatuna maji yeye yuko size na ishu za uchaguzi utadhani anagombea Barabara mbovu kila sehemu yeye yupi size na...
  7. Waufukweni

    Pre GE2025 Mawaziri Aweso, Bashungwa wakicheza muziki stejini wakiwa na vikapu Kichwani

    Wakuu Mawaziri wakisakata rhumba :BRUHMM: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa wakicheza muziki Jukwaani huku wakiwa na vikapu kichwa wakati wa ziara ya Rais Samia Mkoani Tanga. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila...
  8. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Juma Kassim Ndaruke: Tusicheke na yetote atakayetaka kupunguza kura za Rais Samia 2025

    Mweyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kibiti, Juma Kassim Ndaruke ametoa rai kwa wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho Wilayani Kibiti kusimama kidete na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutafuta kura za Urais kwenye kila eneo la Wilaya Kibiti...
  9. The Watchman

    Serikali imekamilisha ujenzi wa shule ya sekondari, Wanafunzi wamezeshwa script iliyowasaliti kumsifia Rais Samia

    Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya kata ya Hinju, halmashauri ya mji Nanyamba mkoani Mtwara, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea shule ya kisasa ya kata, iliyogharimu zaidi ya shilingi Milioni 560. Kwa kipindi kirefu wanafunzi wa kata hiyo, wamepitia mateso ya kutembea umbali umrefu kwenda...
  10. Davidmmarista

    Kama kijana ukipata nafasi ya kukutana na Rais Samia na Rais Mwinyi ndani ya dakika 3 utatoa ushauri gani?

    Wana JF, hebu tuweke mawazo mezani. Fikiria upo chumba kimoja na Rais Samia Suluhu Hassan na Dk. Hussein Mwinyi kwa dakika 3. Kama kijana chini ya miaka 35, unapata nafasi ya kushauri jambo moja tu, na wanakuhakikishia litatekelezwa kwa asilimia 100 Ukipewa hii nafasi, ungewashauri nini? Tupe...
  11. M

    Pre GE2025 Cyprian Musiba: Taasisi ya Global Watch ya Malawi imeonesha kuwa Rais Samia anakubalika kwa asilimia 91. Lissu ni watu 2 kati ya 10

    Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika...
  12. Ojuolegbha

    Rais Samia afuturisha watoto yatima na watoto wenye mahitaji maalum

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 3 Machi, 2025
  13. K

    Je kwanini Maridhiano na 4R zime mshinda Rais Samia?

    Je kwanini Maridhiano na 4R zime mshinda Raisi Samia? Kati ya sababu hizi 1. Raisi Samia alikuwa hana nia alitumia muda kujiweka sawa 2.Raisi Samia alizidiwa na makada vigogo ambao hawataki mabadiliko 3. Raisi Samia muda ulivyokuwa unaenda akaanza kupenda uchawa na kuwa dikteta. Mama kanogewa...
  14. Waufukweni

    Pre GE2025 Rais Samia awafuturisha watoto yatima, wenye mahitaji maalumu Ikulu

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, Machi 3, 2025 amefuturisha watoto yatima na watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu jijini Dar es Salaam. Pia, Rais Samia amepata fursa ya kuzungumza na watoto hao.
  15. Waufukweni

    Pre GE2025 UVCCM wapiga simu kwa Rais Samia kumkaribisha Kilimanjaro

    Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa umoja huo, Rehema Sombi wamempigia simu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakimkaribisha mkoani humo ambapo anategemewa kuwasili Machi 9 mwaka huu. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa...
  16. G Sam

    Pre GE2025 Rais Samia na CCM yenu msifurahie kamwe ombwe hili la uchawa lililotamalaki, kama nchi tumepoteza pakubwa

    Kuna namna nchi yetu ipo jalalani tena pakubwa mno. Jana nilipoona mjadala kati ya Chadema na wahariri wa vyombo vya habari nikajikuta nakumbuka haya: 1. Hivi mara ya mwisho kuwa na mjadala wa aina hii ilikuwa lini? Ipo wapi mijadala ya Enzi za Ukumbi wa Nkurumah, enzi za kina Shivji kina Slaa...
  17. OKW BOBAN SUNZU

    Pre GE2025 Ligi Kuu ya Wanawake yasimamishwa kupisha Samia Women Super Cup

    LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) inatarajiwa kusimama kwa takriban wiki moja kupisha michuano ya Samia Women Super Cup inayotarajiwa kuanza kesho, kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. . Ligi hiyo iliyotarajiwa kurudi Machi nne baada ya mapumziko ya kupisha michuano ya kufuzu Fainali za...
  18. Waufukweni

    Pre GE2025 Alikiba aja na mashindano ya kumpigia debe Rais Samia 'Samia Celebrities and Companies Cup'

    Wakuu Machawa wa Samia hawapoi Msanii wa Bongo Fleva, Alikiba, ametangaza kuanzisha mashindano maalum yanayojulikana kama Samia Celebrities and Companies Cup, yenye lengo la kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan katika maendeleo ya michezo na burudani nchini. Kupata taarifa na...
  19. OKW BOBAN SUNZU

    Pre GE2025 Rais Samia hazijui 4R zake mwenyewe, Reform anayosema Mh.Lissu ni kati ya zile 4R!!

    Hii nchi na viongozi wake wanasikitisha sana. Moja kati ya 4R alizokuja nazo Rais Samia ni Mabadiliko (Reforms). Samia alisisitiza mabadiliko katika sekta mbalimbali ili kuboresha maisha ya wananchi. Katika maendeleo na maisha ya wananchi huwezi kuweka pembeni Siasa. Siasa ndio inaamua hatma ya...
  20. upupu255

    Pre GE2025 Shule mpya 71 zajengwa Geita miaka minne ya Rais Samia

    Serikali imejenga shule mpya 171 na vyumba vya madarasa 3,300 kwa Mkoa wa Geita kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan lengo likiwa kuwaondolea wanafunzi adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta elimu. Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigella, ameyasema hayo wakati...
Back
Top Bottom