soko

Stéphanie Alexandra Mina Sokolinski (born 26 October 1985), known professionally as Soko (stylized as SoKo), is a French singer-songwriter, musician and actress.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Soko huru lenye ushindani kamili

    PERFECT COMPETITION (Ushindani kamili) Hili soko lina sifa zifuatazo: 1.Wauzaji wote wanauza bidhaa sawa au zinazofanana. 2. Wanunuaji wote wanajua bei ya bidhaa na wapi zinapopatikana. 3. Hamna viziuzi kuwa muuzaji au mnunuzi. 4. Wauzaji ni wengi. 5. Uzalishaji ni sawa na uhitaji wa...
  2. L

    Market Structure (Muundo wa soko)

    MARKET STRUCTURE Kwa kiswahili huu ni muundo wa soko au aina ya soko. Kama mfanyabiashara au mtu ambae unataka kuingia katika biashara basi ni vyema ujue aina tofauti za masoko yaliyopo na vigezo vya kuweza kuwa katika aina flani ya soko. Pia kama mnunuaji itakusaidia kujua bidhaa flani ni...
  3. Ferruccio Lamborghini

    TTCL hatarini kunyang’anywa soko

    Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma, Tanzania imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) liko katika hatari kubwa zaidi ya kunyang’anywa soko na makampuni mengine ya simu kutokana na upungufu wa mtaji. Hayo yamesemwa leo Jumatano Februari 16, 2022 na Mwenyekiti wa Kamati hiyo...
  4. fmlyimo

    Dar: Soko la Mbagala laungua moto

    Soko la Rangitatu jimbo la Mbagala lawako moto usiku huu wa kuamkia leo.
  5. K

    Katika muda mchache niliojiingiza kwenye soko la ajira, nimegundua mambo haya

    1. connection hasa private sector ni muhimu,mfano mimi sehemu niliyojishkiza, hata hawakutangaza nafasi za kazi,isipokua HR anafahamiana na jamaa yangu hivyo nikapigiwa pande. 2. Experience ya kuanzia 3 years kwenye reputable companies ni muhimu sana.ninaposema reputable companies namaanisha...
  6. Roving Journalist

    Moshi: Moto wateketeza Soko la Mbuyuni

    Soko la matunda na mbogamboga Mbuyuni lililopo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro likiteketea kwa moto. Juhudi za kuuzima moto huo zikiendelea na bado chanzo cha moto hakijafahamika.
  7. K

    Hili la soko la Karume liwe funzo kwa aina ya viongozi tunaowapa madaraka.....

    Kuna stahili nyngi za uongozi hasa pale unapokuwa unakabiliana na kundi fulani la watu...Hii stahili ya kuwaondoa wamachinga kwa stahili iliyotumika soko la Karume haikuwa ya akili...sasa angalia jinsi "mlivyolamba matapishi yenu." mnaleta na siasa ndani yake...
  8. Suley2019

    Amos Makalla: Chanzo cha moto wa soko la Karume ni mshumaa uliowashwa na mateja

    SERIKALI YARUHUSU WAFANYABIASHARA KUREJEA KARUME KWA MPANGO MZURI. - Umati walipuka kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan. - RC Makalla apokea taarifa ya ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza Chanzo Cha Moto. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameruhusu...
  9. OLS

    Je, wajua bei ya Tumbaku kwenye soko la duni ni kubwa kuliko chai

    Kama unataka kuingia kwenye kilimo ni muhimu kujua bei za soko za bidha unazotaka kujihusisha nazo ili kujua zao ambalo litakulipa zaidi na ukajikwamua kiuchumi Kwa takwimu zilizopo bei ya Kilo moja ya Tumbaku ni kubwa kuliko bei ya Chai. Kwa kipindi cha 2002 hadi 2021 Tumbaku iliuzwa kwa...
  10. Mr Fresh

    Jinsi ya kutengeneza pesa mpya kipindi soko la Cryptocurrency linapokuwa chini

    Japo thamani nzima ya soko la crypto imeshuka wiki hizi chache kutoka dola za kimarekani 2.4 Trilion mpaka $1.7 Trillion. lakini bado soko hili linakupatia nafasi nyingi za kutengeneza pesa kupitia holdings zako. Make your money go to work now.. Hizi ndo njia ambazo zinaweza kukufanya uendelee...
  11. Determinantor

    Huyu "Shuhuda" wa matukio ya moto ahojiwe na chombo huru, ana mengi moyoni mwake

    Kuna huyu jamaa ana trend kwenye mitandao, yeye amekua kwenye matukio mawili makubwa, pale Kariakoo na sasa amejitokeza Tena Jana kuwa alishuhudia moto ule na kwamba chanzo Cha moto ule ni mshumaa uliowashwa na mateja. Kama umewahi kufuatilia documentaries za crime unaweza kupata ABCs kuhusu...
  12. GENTAMYCINE

    Tafadhali namwombea Ulinzi Yule Mama aliyesema Mchoma Moto Soko la Karume ni 'Joseph na Wenzake' kwani huenda hata Mengineyo aliunguza Yeye

    Kila nikikumbuka Yule aliyekuwa Kiongozi wa Malori kama si Mabasi ya Mikoani alipotoa Kauli fulani ya 'Kibabe' na Siku Mbili baadae akaugua ghafla na Kufa ndiyo napatwa pia na Hofu juu ya huyu Mama aliyesikika katika Taarifa ya Magic FM na Kipindi chao cha Morning Magic kwa Kujiamini kabisa kuwa...
  13. mirindimo

    Kwanini wamachinga wameandamana huku wakisema "tunataka soko letu"?

    Nani kachukua soko lao? Si limeungua? Kwanini hawataki uchunguzi ufanyike wajue chanzo au wanakijua tayari ndo maana wanataka waruhusiwe waendelee na mishe zao? By the way uchunguzi utachukua siku 14, zitaongezwa 7 kisha wataambiwa wanatafutiwa eneo lingine pale panawekwa kitu kingine ama stand...
  14. B

    Wabunge wa Dar es Salaam mmeshindwa hata kwenda kuwapa pole wapiga kura wenu Soko la Karume? Wanasiasa mnapata wapi kiburi dhidi ya wananchi?

    Wafanyabiashara Soko la Karume wamekosa mtetezi, hakuna Diwani, Mbunge Wala kiaongozi wa kisiasa aliyefika kuzungumza nao kutokana na janga la moto. Kibaya Soko lipo opposite na ofisi ya Mkuu wa Mkoa mdogo wangu Amos Makala, watu wamepoteza biashara zao Mkuu wa Mkoa hata kama jirani ajafika...
  15. Kamanda Asiyechoka

    CHADEMA: Salamu za pole kwa wafanyabiashara soko la Karume

  16. Robert Heriel Mtibeli

    Wahanga wa Moto wa soko la Karume wachangiwe pesa, ikiwa ni janga la bahati mbaya

    Wakuu Kwema! Ajira Hakuna! Tumetoka familia Masikini Sana. Nina rafiki zangu wengi waliokuwa wanauza uza mitumba Yao pale Karume. Mitaji Yao wameipata Kwa mbinde Jamani! Ndugu zangu wote tunajuana humu nchini, Sisi ni masikini Sana, tunatafuta pesa Kwa taabu na nguvu nyingi, hatuwezi sema ni...
  17. Mpinzire

    Dar es Salaam: Machinga wa Karume waandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wasema hawana imani na Viongozi. Mabomu ya machozi yarindima

    Wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga wa soko la Karume (Mchikichini) wameandamana hadi kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kushinikiza kiongozi huyo atoe tamko la kuwaruhusu waendelee kufanya shughuli zao kwenye soko hilo. Wafanyabiashara hao wameandamana leo...
  18. Kibingu

    Endapo itathibitishwa Kuungua soko la Kariakoo na sasa Karume ni mpango, wanaopanga mipango hii ni Magaidi?

    Tuendelee kutiririka, huku tukijikumbusha kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
  19. I

    Mkuu wa Mkoa Amos Makalla ana mkosi au kuna nini? Mbona masoko yanaungua sana?

    Kuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna? Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
  20. The Assassin

    Soko la Karume limeungua moto

    Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu? Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki. Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga. Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari...
Back
Top Bottom