#Hakika Jf ni mnyukano, Nami ni nani nisiunge mkono.
Kilicho bora milioni tano, kuwa balozi si kibano.
Nitashinda huu mtifuano, ukinipa hiyo yako tano.
Kwa maandishi Ambatano, na hoja changamano.
#Tulilisubili hili shindano, Kuleta hoja chanya.
Jf sio mvutano, nawe waweza jichanganya.
Kwa...