taifa stars

The Tanzania national football team (Swahili: Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania) represents Tanzania in men's international football and is controlled by the Tanzania Football Federation, the governing body for football in Tanzania, Tanzania's home ground is Benjamin Mkapa National Stadium in Dar-es-Salaam and theirhead coach is Kim Poulsen from Denmark. They are colloquially known as the Taifa Stars. Tanzania has never qualified for the FIFA World Cup. Before uniting with Zanzibar, the team played as the Tanganyika national football team, The team represents both FIFA and Confederation of African Football (CAF).
The island of Zanzibar, part of Tanzania (and once an independent nation), is also an associate member of CAF and has played matches with other nations, but is not eligible to enter the World Cup or Africa Cup of Nations. See Zanzibar national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Rais Samia awapongeza Taifa Stars kwa ushindi

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewapongeza na kuwatakia kila la heri Taifa stars katika ushindi mnono walioupata katika mechi ya leo. Na huu ndio ujumbe wake Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia...
  2. ngara23

    Taifa stars imeshinda, lakini haikustahili, imecheza ovyo sana

    Niwapongeze stars Kwa ushindi wa bahati tu Team imeshinda ila ndo hivo maajabu ya mchezo wa soka. Team dhaifu inaweza kushinda dhidi ya team Bora kabisa Sisi tusiopumbazwa na ushindi wa ngekewa tunakosowa yafuatayo. 1 Eneo la goal keeper Sio GK mzuri, hajui kuji position, Haiti mabeki yupo...
  3. Mhafidhina07

    Ubovu wa Taifa stars wakulaumiwa ni TFF

    Nimeona AFRICON iliyopita jamaa AMROACH alitumia approach nzuri ya kukusanya wachezaji kutoka kila kona ya dunia lengo ni kuipa nguvu na heshima bendera ya Tanzania kwenye sekta ya michezo ila naona kuna ujinga/ufinyu wa bajeti ikatufanya tubaki na benchi la ufundi la Simba ikisheheni wachezaji...
  4. GENTAMYCINE

    Kwa 'Dua Shtakia Mungu' itakayosomwa Afrika Mashariki huenda kuna Chama Kikakosa Mgombea Urais wake katika Uchaguzi Mkuu ujao

    Haya tuanze mapema kumtafuta wa Kumrithi.
  5. o_2

    Bado tuna safari ndefu kama taifa kwenye timu yetu ya taifa "Taifa Stars"

    Nayeee.. MAshindono kufuzu kombe la mataifa ya Africa, afcon 2025 yanaendelea ikiwa leo ni mechi nyingine tena kwa timu ya taifa ya Tanzania ikitupa karata yake nyingine dhidi ya Guinea. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nini kifanyike? Mayowe hayatoshi..vitendo hakuna. Miaka kadhaa TFF...
  6. Mkalukungone mwamba

    FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

    Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani. Dakika,11 milango bado ni migumu kwa timu zote hadi sasa. Licha timu zote mbili zikioneka...
  7. Tango73

    Kocha wa Taifa Stars awe na hadhi ya Waziri, Katibu Mkuu AU na siyo hadhi ya katibu kata

    Taifa stars ni timu pekee yenye wapenzi wengi sana kuliko ilivyo kwa Simba na Yanga. Kocha yeyote ambaye atateuliwa kuifundisha timu yetu ya taifa stars lazima awe amesheheeni sifa nzuri za mafanikio huko alikotoka na hata kwetu hadhi yake iwe ya kibalozi, uwaziri au katibu mkuu African unity...
  8. Tango73

    Samata na Msuva sio tatizo la Taifa Stars bali ni kocha mwenye ujuzi kama Benchika au Gamond

    Kupangwa au kutopangwa kwa Samata na Msuva sio tatizo la Taifa Stars bali ni kocha mwenye weledi wa hali ya juu kufundishia timu ta Taifa Stars. Kumbuka timu ya Taifa Stars ndio timu pekee yenye wapenzi wengi wa soka kuliko hata Simba na Yanga hapa Tanzania. sasa kumchagua kocha mzalendo...
  9. A

    Taifa stars technical staff angalieni umuhimu wa hawa

    Uhalisia uwekwe peupe.
  10. Labani og

    Taifa stars inaweza beba Hadi world cup kama ipo chini ya benchi la ufundi la Yanga SC

    Salaam wakuu.... Leo nilikua nafuatilia mechi za Yanga plus mazoezi yao ....na Yale mazoezi ya mchezaji mmoja mmoja .... kwakweli hawa jamaa wanatisha Ndipo nmeamini Kwann makolo walikuwa wanasema wachezaji wa Yanga wanatumia sawa za ku boost nguvu.....Ili kuwa na Kasi zaidi So Kwa huu...
  11. K

    Taifa stars mjifunze kutoka kwa wenzenu wa Uganda Cranes

    Jana usiku kupitia luninga ya AZAM sports one kulionyeshwa mchezo baina ya Uganda Cranes na timu ya Taifa ya Afrika Kusini. Kwa kweli Uganda Cranes walionyesha kandanda safi na nusura Timu ya Afrika Kusini wafungwe kwenye mchezo wa Jana. Hili liwe funzo kwa Taifa stars. Waongeze juhudi...
  12. je parle

    Taifa Stars imejaa mabeki kama tunaenda kutafuta sare kila mechi

    Katika timu sijawai kuelewa selection ya kikosi basi ni hiii.timu imejaa wachezaji wa bench tu Timu mbele selection ya kikosi zero, Kibabage na Msindo ni mawinga.? Ligi yote tumekosa mawinga wa pembeni kweli tunategemea Kibabage na Msindo ndio wakatengeneze nafasi kwa washambuliaji? Halafu...
  13. D

    Taifa Stars tumefika AFCON last year na kikosi hiki hiki acheni excuses, kocha asepe

    Last year tumechezaAFCON na kikosi hiki hiki . Watanzania acheni siasa kocha asepe tutafute kocha mpya, kocha hana uwezo shida yetu ni kuprogress AFCON sio kuingia AFCON acheni siasa I will be short Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium |...
  14. M

    Ni watu wajinga tu ndo wanaamini kuwa wachezaji wa kigeni ndo tatizo kwa wachezaji wazawa na timu ya taifa

    Mpira ni Science na profession kama zilizo udaktari, ualimu, uhasibu uinjinia na nyngne nyingi kwahyo kuamini kwenye ngonjera na siasa za hapa na pale hakuta lisaidia Taifa kimpira. Jambo la kufanya ni kuwekeza kwenye facilities na manpower na mifumo thabiti basi, Hizo nyingine zote ni taarabu...
  15. Uhuru24

    Muda umefika serikali kuingilia kati kufanya maamuzi magumu kuliko kuiachia TFF pekee

    Kuna ulazima wa serikali kuingilia kati hata kushauriana na TFF hasa suala hili la mpira. Ilikuokoa timu ya taifa, mimi kwa mtazamo wangu tungeanza na kupunguza wachezaji wa kigeni angalau hata saba 7. Kukaa bench ni hatari sana kwa mchezaji yeyote yule, ingawaje hapa watu watakuja kusema...
  16. ngara23

    Timu ya Taifa Ethiopia ni imara, kutoa sare, Taifa stars ijipongeze

    Watanzania wengi wamekariri Wanauchukulia team ya Taifa Ethiopia kizamani Ethiopia walianzia kwenye project za vijana na Sasa inaanza kuwalipa kwenye senior team. Ethiopia ni hivi majuzi kampiga Egypt The Pharaoh goli 2 bila Taifa stars haijaifunga Ethiopia mechi 7 mfululizo, Sasa maajabu Gani...
  17. SankaraBoukaka

    Kama Makocha watatu wazalendo wanaweza kutufanyia vile dhidi ya Ethiopia, basi CCM ni noma

    Hakika lililofanywa na makocha wetu wa Taifa Stars Moroko, Mgunda na Julio ni kutupotezea muda na kutoheshimu hisia zetu. Kwahiyo Mgunda na Julio ndo wamemshauri Moroko kuwa Novatus na Mao wanaweza kucheza namba 6 na 8 na tukaweza kuwa na kiungo kinachonyambuka, kwamba Kibabage anaweza kucheza...
  18. chibuOG

    Tuache shortcut; tuwekeze kweli kama tunataka mafanikio ya Taifa Stars

    Asalaam Aleikum Wanajukwaa,Natumai wote mko poa na mnaendelea na harakati za maisha ya kila siku. Niende moja kwa moja kwenye pointi ya MSINGI ambayo ni Timu ya Taifa ya Tanzania yaani TAIFA STARS.Kama kichwa cha habari hapo kinavyojieleza kuwa tunatakiwa tufanye uwekezaji wa kweli kama tunataka...
  19. M

    Wachezaji wa Taifa stars wapigwe viboko

    Maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 Pia soma:FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
  20. Ng'wanamangilingili

    Hemed Moroco sijui nini Taifa stars kocha ang'olewe ama atatufikisha AFCON ijayo?

    Kichwa cha habari kinajieleza, team ni ball papwatu papara papatu. Mbele haichezi katikati hainyumbuliki nyuma inqyumba na pembeni haijai. Yaani bora liende na kubaki kubahatisha tu magori na mashambulizi ya alhamudulilahi, Wachezaji wanaitwa kwa kuona leo kafanya nini ila hakuna consistence...
Back
Top Bottom