Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewapongeza na kuwatakia kila la heri Taifa stars katika ushindi mnono walioupata katika mechi ya leo.
Na huu ndio ujumbe wake
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia...