takukuru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    TAKUKURU Misungwi – Mwanza yaokoa shilingi 18,277,000/=

    UTANGULIZI: KUREJESHWA KWA SH. 10,000,000/= ZILIZOCHUKULIWA KWA UTARATIBU WA MIKOPO INAYOUMIZA WAKOPAJI Mnamo tarehe 21.05.2020 Ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza ilipokea taarifa kutoka kwa Mwalimu Mstaafu aitwaye AUGUSTINE JOSEPH NGOWI kuwa amedhulumiwa mafao yake ya kustaafu...
  2. Nyendo

    Utendaji wa TAKUKURU mkoa wa Ilala kwa kipindi cha Aprili hadi Juni, 2020

    TAKUKURU yasema katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2020 imefungua kesi mpaya 5 na mashauri 22 yanaendelea mashauri hayo ni kama ifuatavyo, Mamlaka ya Mapato (TRA) Mashauri 3, serikali za mitaa mashauri 3, wafanyabiashara mashauri 2,idara ya afya mashauri 4, ujenzi (TANROADS) shauri 1, utapeli...
  3. M

    Tunaitaka TAKUKURU kufanya uchunguzi, kwanini watia nia Ubunge tunatozwa laki nne hadi sita?

    Habari wana jukwaa, Awali ya yote niombe kueleza kuwa huwa napenda kukosolewa kwa Hoja pale mtu atakaposema kuwa nimeongea sivyo au nimedanganya. Ninafahamu kuwa humu wamo ambao wameweka nia kwa ngazi ya ubunge na hivyo baadhi tayari wanafahamu kinachoendelea kuhusu nilichokiandika hapa chini...
  4. Nyendo

    TAKUKURU Kagera yaokoa zaidi shilingi milioni mia mbili na kuwapandisha kizimbani watu 21

    Utangulizi Ndugu wanahabari, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kagera tumeendelea kutekeleza majukumu yetu kama yalivyoainishwa katika Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Sheria namba 11 ya mwaka 2007. Katika utekelezaji wa majukumu yetu tumeendelea kushirikiana...
  5. Nyendo

    Walimu watatu washikiliwa na TAKUKURU Kagera kwa udanganyifu

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kagera tumeendelea kutekeleza majukumu yetu kama yalivyoainishwa katika Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya mwaka 2007. Katika utekelezaji wa majukumu yetu tumeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa mapambano dhidi...
  6. GuDume

    Huyu ndiye Jamaa aliyetaka nikamatisha Takukuru Nihukumiwe Uhujumu Uchumi

    Nlikuwa nmeajiriwa Kampuni flani miaka hiyo ya 2010s ndani ya miezi 3 tu Uongozi uliona nafaa kuwa kiongozi katika kitengo cha manunuzi. Walimtoa aliyekuwepo ambaye mpaka muda huo alikuwa na kashfa nyingi sana. Shida kubwa walikuwa wanamuogopa sababu alikuwa anahisiwa ni mtu wa mfumo na pia...
  7. Nyendo

    TAKUKURU Shinyanga inamshikilia Joseph Jonas Tasia kwa kukutwa na doti mia sita (600) za vitenge vyenye nembo ya Chama Cha Mapinduzi na vya kawaida

    TAKUKURU mkoa wa Shinyanga katika ufatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi, manao tarehe 29/06/2020 majira ya saa tatu usiku mtaa wa Mwasele B nyumbani kwa Joseph Jonas Tasia ilikamata doti mia sita za vitenge zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi na vya kawaida vikiwa...
  8. J

    TAKUKURU: CHADEMA badala ya kulalamika wanapaswa kusoma sheria, mwisho wa uchunguzi waweza kuwa mwanzo wa uchunguzi mwingine

    Mkurugenzi mkuu wa Takukuru amewajibu Chadema kwa kuwataka wakasome vizuri sheria ya kupambana na rushwa kabla ya kulalamika. Mkurugenzi amesema taasisi yake inafanya kazi zake kwa mujibu wa sheria na anaamini Chadema wakisoma sheria hawatalalamika tena kwani watajua utaratibu wa uchunguzi...
  9. Erythrocyte

    Baada ya kuthibitika kutumika kisiasa kuikandamiza CHADEMA ni vema Mkurugenzi wa TAKUKURU akajiuzulu

    Ni wazi TAKUKURU baada ya kushindwa kubaini makosa kwenye michango ya wabunge wa Chadema , kutokana na kudanganywa na Peter Lijuakali, Mbunge aliyeanza vituko Chadema kutokana na chuki ya kukataliwa kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa Chadema Mkoani Morogoro, ikaanza njama zingine nje ya...
  10. CHADEMA

    CHADEMA: Siasa za TAKUKURU zinalenga ‘kuokoteza’ makosa (fishing expedition), Uchunguzi wao hauna nia njema

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KINACHOITWA UCHUNGUZI WA TAKUKURU DHIDI YA CHADEMA Ndugu waandishi wa habari Mnamo tarehe 27 Mei, mwaka huu, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) walitoa kauli kupitia mojawapo ya vyombo vya habari nchini kuwa wanachunguza kile kilichoitwa michango ya...
  11. Analogia Malenga

    Mhariri wa magazeti ya Serikali akamtwa na TAKUKURU kwa tuhuma za rushwa

  12. Suley2019

    Arusha: TAKUKURU yakanusha kumshikilia na kumhoji Mrisho Gambo

    Zaidi soma; Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ahojiwa na TAKUKURU
  13. The Sheriff

    TAKUKURU yafanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa baadhi ya viongozi na watumishi

    Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU amefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa baadhi ya viongozi na watumishi wa taasisi hiyo. Mabadiliko hayo yamehusisha watumishi 6 wa TAKUKURU, watano kati yao wakitokea kwatika vituo vya kazi jijini Arusha. ==== Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupapambana na...
  14. Nyendo

    TAKUKURU yamrejeshea mstaafu mamilioni aliyodhulumiwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Dodoma imemrejeshea Bi. Frida Nahamani (62) mkazi wa Michese Jijini Dodoma kiasi cha shilingi milioni kumi (10,000,000) alizodhulumiwa na Bwana Maswe Wambura Mgaya ambaye ni mmiliki wa Taasisi ya SWAHILI TRUST MICROFINANCE ya Jijini...
  15. Mpekuzi Tanzania

    Mbunge wa Igunga, Dalaly Kafumu mikononi mwa TAKUKURU

    Mbunge wa Igunga Dalali Kafumu anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa tuhuma za kugawa milungula kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa JIMBO ili waweza kumpa kura kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea. Heko kwenu takukuru lakini msiishie kuhoji tunataka kuona wakifikishwa...
  16. Mzukulu

    Uchaguzi 2020 Kama Kampeni tumeshazianza kwanini tunawataka TAKUKURU na CCM wawakamate na wawakate Wanaojipitisha wakati hata Sisi wa juu tunaendelea na Kampeni?

    WAZIRI MKUU- HUDUMA YA UMEME KUVIFIKIA VIJIJI VYOTE NCHINI: Waziri mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli imedhamiria kufikisha huduma ya umeme katika vijiji vyote nchini vikiwemo na vijiji 25 vya Wilaya ya Ruangwa ambavyo bado havijafikiwa na umeme...
Back
Top Bottom