TAKUKURU yasema katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2020 imefungua kesi mpaya 5 na mashauri 22 yanaendelea mashauri hayo ni kama ifuatavyo,
Mamlaka ya Mapato (TRA) Mashauri 3, serikali za mitaa mashauri 3, wafanyabiashara mashauri 2,idara ya afya mashauri 4, ujenzi (TANROADS) shauri 1, utapeli...