Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema takribani watu 345,000 sawa na 34% ya chanjo zilizokuja wameshachanja.
Msigwa amesema kazi kubwa imefanyika kuhakikisha watu hao wengi wamechanjwa na sasa kipaumbele kitakuwa vijijini ambako tunawapelekea chanjo huko huko.
Msigwa amesema chanjo...
Kupitia ziara aliyoifanya Mh Raisi ya kutembelea mkoa wa Pwani hususani (W) ya Bagamoyo
Baada ya kupewa nafasi ya kusalimia wananchi na kusema mahitaji ya Wana Bagamoyo, Mh Mbunge wa Jimbo hilo la Bagamoyo,
Takwimu alizotoa Mh mbunge wa Bagamoyo bwana Mkenge ni za kupikwa, kwamba, (W) ya...
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo Africa CDC inaonekana mpaka tarehe 19 August 2021 Tanzania ina visa 16,970 vya maambukizi ya virusi vya corona na vifo 50.Pia WHO inaonyesha kuna visa 1,367 na vifo 50.
Je, hizi taarifa ni rasmi ? Kuna makosa yaliyofanyika au ni hujuma ? Kuna umuhimu wa jambo...
Amesikika waziri Gwajima akisema wanaandaa takwimu za hali ya ugonjwa wa Corona nchini.
Watu wanapoendelea kufa huku takwimu zikiendelea kuandaliwa bila mwisho, ina maana gani?
Inachukua muda gani kujua idadi ya wagonjwa waliolazwa mkoa kwa mkoa, vifo au waliopona?
Hapa tuna mwenzetu mwingine...
Mashuleni, vyuoni wamejaa wao
Nyumba za kupanga wamejaa wao
Maeneo ya biashara wamejaa wao
Makazini wamejaa wao
Mashambani wamejaa wao
Mahospitalini wamejaa wao
Nyumba za ibada wamejaa wao
Migodini wamejaa wao bali wapo Kama waangalizi
Halafu tunadanganywa na takwimu hizi uchwara kwamba...
Inafahamika kuwa tume ya wataalamu iliyoteuliwa kushauri kuhusiana na ugonjwa huu ilitoa mapendekezo yake.
Inafahamika kuwa % kubwa ya mapendekezo ya tume hiyo yamepokelewa na yako katika hatua mbalimbali za utekelezaji.
Hata hivyo katika yote, mawili haya yangalipo yakielea angani yakiendelea...
Baada ya kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona duniani mwanzoni mwa mwaka jana, dunia ilianza kutafuta chanjo, na hadi kufikia mwishoni mwa mwaka, kampuni kubwa tano za Pfizer-BioNTech, Moderna, AstraZeneca na Johnson & Johnson zilikuwa zimetengeneza chanjo za kukabiliana na ugonjwa huo...
Serikali ya Singapore imetangaza kuwa itaacha kutoa takwimu za visa vya #COVID19 na kwamba muda umefika wa kuishi na ugonjwa huo kama mafua.
Aidha, Serikali hiyo imesema itafuatilia wagonjwa waliozidiwa sana, na pia utoaji wa chanjo na ukaguzi/upimaji kwenye mipaka utaendelea.
===
As...
Hizi ni Takwimu za bara Africa kufikia jana/leo
Source: https://www.worldometers.info/coronavirus/
Nimejaribu ku highlight nchi za Mashariki mwa Africa
Hapa ni ranking ya cumulative cases za ujumla, Tangu corona ianze
Hapa ni Active cases, Yani ukiondoa wale waliopona, ni wangapi ndo...
Jumla ya wakuu wa wilaya walioteuliwa na RAIS Samia ni 139:
11 ni Ph.D sawa na 8%
26 ni Masters sawa 19%
95 ni Bachelor Degrees sawa na 68%
3 ni Diploma sawa na 2%
4 ni ACSEE na CSEE sawa na 3%
95 Wanaume sawa na 68%
44 Wanawake sawa na 32%
Vijana wapo 28 sawa na 20%
Waliowahi kuwa...
Baada ya Wizara ya Afya kutoa tahadhari ya kuwepo kwa viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid 19, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk Shedrack Mwaibambe ameshauri Serikali kuweka wazi hali ya ugonjwa huo nchini.
Akizungumza na Mwananchi jana Jumapili Juni 20, 2021 Dk Mwaibambe...
Takwimu mpya kutoka Mamlaka husika imesema kuwa kwa hivi sasa 77% ya ' Population ' ya Tanzania ni Vijana.
Mnaotaka Kugombea Urais au Kuendelea nao baada ya 2025 Kazi Kwenu sasa katika Kulishawishi, Kulidanganya, Kulirubuni na hata Kulitumia vizuri hili Kundi ili 2025 Ikulu iwe Nyumbani Kwako...
Gavana Luoga ametoa takwimu za mchango wa kanda ya Ziwa kwenye uchaguzi wa Tanzania.
Mwaka 2019, kanda ya ziwa ilichangia Trilioni 34 kwenye uchumi wa Tanzania sawa na 25.9% ya pato la Taifa.
Kanda ya ziwa inazalisha zaidi ya 90% ya dhahabu Tanzania.
Kanda ya ziwa inazalisha zaidi ya 50% ya...
Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha kuziweka wazi Mei mwaka 2020...
Takwimu za serikali zinaonyesha Watanzania sasa wako ama wanakafiriwa kuwa Milioni 60.
Kwenye takwimu hizo, wazee ni Milioni 2 na ushee ila hawajafika Milioni 3. Wazee wa kuanzia umri wa miaka 61. Maximum ni Milioni 3.
Kwenye hizo takwimu ina maana nguvu kazi ni watu Milioni 57, yaani ambao...
Salaam TRA.
Mama took office in late March. Kwa hiyo ni vigumu kumwekea mzigo wa March 2021. Naomba mambo yake yaanze Aprili 2021. Msimchoshe na mambo ya nyuma, yaani kabla ya April 01. Ombi langu kwa TRA, kindly update the nation. Mmekusanya sh ngapi Mwezi Aprili?
Mama Samia kaingia na staili nzuri ya kuweka mambo wazi na si kuficha ficha kama ilivyokuwa kawaida ya mtangulizi wake.
From word go mwaka 2016, uchumi wa Tanzania ulianza kutikiswa kwa matumizi mabaya ya maguvu ya kisheria ya serikali.
Takwimu sa UONGO zilianza kutolewa na ikawa chini ya...
Jana rais wetu ameagiza kuundwa task force ya watalaam kuchambua kwa makini masuala haya ya covid 19 na kuishauri serikali hatua sahihi za kuchukua. Pressing issues hapa ni hasa msimamo wetu kuhusu chanjo za covid na utoaji wa takwimu zinazohitajika WHO kila siku. Tujadili faida na hasara au...
Kumekuwa na mihemuko ya baadhi ya wanajamii hasa wanasiasa za upinzani, wakitaka kupewa takwimu za ugonjwa wa covid 19. WHO nao wamekuwa wanadai takwimu. Ukweli ni kuwa takwimu wanazozitaka hawa baadhi ya wanajamii wazozitaka na malengo yao ni tofauti kabisa na zile WHO wanazozitaka.
1. Hawa...
Hizo ni takwimu za game ya leo numbers dont lie. Kama hujui kusoma basi tazama hata picha.
Simba Sc ilikuwa bora sana, plan A ilikuwa kumiliki mpira na kukataa kufungwa. Plan B ni kupata point 3.
Simba Sc sio timu ya kienyeji inacheza kwa malengo makubwa. Simba Sc ndio timu tegemewa kwa Africa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.