tamisemi

  1. Njaa kali30

    TAMISEMI ingilieni kati manyanyaso haya ya wilaya ya Songwe

    Kwa heshima na taaadhima ninaomba malalamiko haya yawafikie tamisemi na wizara ya elimu. Imekuwa tabia ya muda mrefu sana kwa watumishi wanaofanya kazi katika halmashauri ya songwe kukaaa kituo kimoja kwa mda mrefu mfanyakazi anaweza kukaakituo kimoja zaidi ya miaka 13. Wafanyakazi...
  2. mdudu

    Timu ya Mpira wa miguu Namungo inamilikiwa na Tamisemi?

    Wakuu habari za jumamosi? Naomba Kama kuna mtu mwenye uelewa anieleweshe. Ahsante
  3. U

    TAMISEMI yatoa orodha ya vituo vya afya 90 vitakavyojengwa kwa tozo za miamala

    Awamu ya kwanza ya Vituo vya Afya 90 kati ya 207 katika Tarafa zisizo na Vituo vya Afya, ambazo zimepokea fedha Mil. 250 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la kuhudumia wagonjwa wa nje (OPD), Jengo la Maabara na Kichomea Taka hii hapa.
  4. U

    TAMISEMI sasa ni ya wananchi, Waziri Ummy Mwalimu anastahili pongezi

    Leo nimemskiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na amesisitiza Ujenzi wa Vituo vya Afya katika Tarafa 207 utatumia utaratibu wa FORCE ACCOUNT sio KANDARASI. Na ameagiza watumie Mafundi Ujenzi waliopo ktk eneo husika ili kutoa ajira...
  5. U

    Afya za wanafunzi takribani 2,500 zipo hatarini kutokana na ukosefu wa maji kwa zaidi ya siku 21

    Shule ya Msingi Benako haina Maji Wiki Ya 3 baada ya Kukatiwa Maji Na Dawasco kwa deni La 200,000. Shule hii inapatikana maeneo ya Salasala Kata ya Wazo, Jimboni Kawe Jijini Dar es Salaam. Taarifa zilizopo ni kuwa muda wa wiki 3 sasa maji shuleni hapo hayapatikani hali inayotishia afya za...
  6. Analogia Malenga

    TAMISEMI: Mwanafunzi mmoja atatumia kitabu kimoja

    Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Ummy Mwalimu imesema imetenga Shilingi Bilioni 50 kwenye Bajeti ya mwaka 2021/22 kwa ajili ya kununua Vitabu vya Kiada kwa wanafunzi wote wa msingi na Sekondari Nchini. . Mhe. Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo alipokua akizungumza na...
  7. mwanamwana

    Ufafanuzi: Waziri Ummy asema Shule Shikizi zipo nchini, hutokana na kuhamahama kwa wakulima ama wafugaji

    Waziri TAMISEMI, Ummy Mwalimu ametolea ufafanuzi kuhusu video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha wanafunzi wa madarasa tofauti wakitumia chumba kimoja cha darasa huku walimu wakiendelea kufundisha. Waziri Ummy amesema haya... Hii kweli inafadhaisha, Hizi tunaziita satellite...
  8. MR TOXIC

    Wakurugenzi wapya walioteuliwa watakiwa kuripoti TAMISEMI wakiwa na CV pamoja na vyeti vyao

    Ina maana waliteuliwa bila kufanyiwa vetting?
  9. K

    Waziri wa TAMISEMI tafadhali tafuta fedha uandae semina elekeza ya wateule wapya

    Nadhani maisha yalivyo ni kwamba watoto wa viongozi wakihitimu vyuo awatafuti tena kazi wanasubiri uteuzi. Kwa ukubwa nafasi hizi zilizotoka naomba waziri atumie busara kuandaa semina elekezi la sivyo uchumi wetu utakufa kabisa. Ni sawa mmeamua V8 zipaki nyumbani kwenu yaani baba, mama na...
  10. Cannabis

    Naibu Waziri TAMISEMI, David Silinde aagiza vipindi vya Dini viwe vya lazima kwenye Shule kupunguza uovu

    Naibu Waziri TAMISEMI, David Silinde ameagiza vipindi vya Dini viwe vya lazima kwenye Shule zote ili kupunguza uovu sababu Wanafunzi wenye hofu ya Mungu hawawezi fanya utovu wa nidhamu kama kuchoma Shule “Atake asitake, ahudhurie hata kama hafanyii Mtihani”
  11. Shujaa Mwendazake

    Ummy Mwalimu: Wizara ya TAMISEMI itanufaika na tozo za miamala ya simu

    Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema wizara hiyo itanufaika na tozo za miamala ya simu kwa kujenga vyumba vya madarasa 10,000 na kukarabati shule kongwe za msingi 2,100. Ameeleza kuwa hadi sasa kuna uhaba wa madarasa 100,005 kwenye shule za msingi na sekondari nchini. My Take: Nakumbuka...
  12. Shujaa Mwendazake

    Mtaala wa Elimu ya Taifa unairuhusu TAMISEMI ngazi ya Mkoa kuratibu na kusimamia shughuli za Shule ikiwemo ratiba za masomo

    Habari Wanabodi! Ukisoma Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ukurasa wa 5 kuhusu Utekelezaji wa Ibara ya 146(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) inayohusu ugatuaji. Katiba inatamka katika Sura ya Nane (kuhusu madaraka kwa umma), kwamba...
  13. J

    Waziri Ummy: Masoko na Stendi zote zinazomilikiwa na TAMISEMI kujengewa Visima vya Maji ili kukabiliana na moto

    Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Serikali itajenga visima vya maji kwenye masoko na stendi za mabasi zote zinazomilikiwa na Halmashauri ili kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapojitokeza. Chanzo: Radio One
  14. N

    Ofisi ya Rais - TAMISEMI itoe muongozo wa umri sahihi mtu anaotakiwa kuwa nao anapomaliza chuo

    Mimi nimeumia na nimeniuma sana: haiwezekani mtu ume-graduate 2015 unaachwa kuajiliwa eti anaajiriwa wa 2018 kisa kakuzidi umri Kwahiyo kutokuwa na umi mkubwa ni kosa? Je, ajira za serikali sharti iwe na miaka mingapi? Tunaomba ufafanuzi, Mtu kaanzia kufanya kazi kwenye taasisi binafsi hadi...
  15. beth

    TAMISEMI: Serikali kuifanyia mapitio Sera ya Zahanati kila Kijiji na Kituo cha Afya kila Kata

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange amesema Serikali imeamua kuifanyia mapitio Sera ya Zahanati katika Vijiji na Vituo vya Afya katika Kata. Ameeleza, "Tumeamua hivyo ili tuwe na ujenzi wa Zahanati na Vituo vya Afya kimkakati zaidi...
  16. Jerry94

    Ummy Mwalimu na TAMISEMI kwanini makosa haya yanajirudiarudia au ni mradi wa watu?

    Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Kumekuwa na makosa yanayojirudiarudia kila ajira zinapotangazwa. Ingawa kwasasa wamejitahidi sana kupunguza hilo, sijui ni mradi wa 'wakubwa' au ni makosa ya 'system'?. Mosi, mtu mmoja kupata ajira mara mbili ndani ya miaka mitatu, katika sekta/kada...
  17. Ahmed Saidi

    Ajira TAMISEMI 2021: Serikali imejitahidi kupunguza malalamiko

    Kwanza niaze kwa kumshukuru Mola mlezi kwa kila neema na upendo wake. Natumai wote ni wazima. Nianze tu kwa kuipongeza serikali kwa kuajiri watumishi wapya katika sekta ya elimu na afya, kiukweli serikali kupitia OR-TAMISEMI imejitahidi kutenda haki kwa namna mchakato mzima ulivyofanywa ili...
  18. B

    Nawapongeza Tamisemi kwenye ajira za Afya na Ualimu 2021

    Si kwamba nimebahatika lahasha ila vigezo vilivyo tumika vinajieleza kuwa Haki imeonekana kutendeka na muendelee na vigezo ivyo katika ajira zijazo Kazi iendelee....
  19. Mjomba ni Mama

    Tazama hapa majina ya Waliochaguliwa TAMISEMI Afya na Elimu

    Selection hizi hapa
  20. The Palm Tree

    Waziri wa Elimu na TAMISEMI, ni sawa Wanafunzi Shule za Serikali kuambiwa waende na dissecting kit na vitabu vya tahasusi?

    1. Mwanangu amechaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano na sita (F. V & VI) mwaka huu 2021 Shule ya Sekondari Nyantakara katika tahususi (Combination) ya Chemistry, Biology & Geography (CBG) iliyoko wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera. Hii ni shule ya serikali ya Tanzania. 2. Licha ya...
Back
Top Bottom