Ngome ya CCM ipo Dodoma, Tanga, na Pwani. Mikoa hii inathaminiwa na CCM, kwani wanapewa fadhila kwa kuwapa wabunge wao nafasi za uwaziri.
Katika kipindi kijacho, tunaweza kuona viongozi kama:
2025: Samia Suluhu Hassan
2030: Kassim Majaliwa
2040: January Makamba
2050: Ridhiwan Kikwete...