Huu mtandao unazidi kuwa KERO kwa BAADHI ya watumiaji.
Hivi nikwanini mnagawanya dakika za kutumia mchana na nyingine za usiku? Tena eti kuanzia saa nne usiku, hivi mtu mzima anaongea mambo gani usiku huo kila siku?
Kama kwa utafiti wenu mmeona wapo wateja wenu wengi wanatumia muda huo,basi...