World Tofauti (A Different World in English) is a 2017 Kenyan romantic film directed by Kang'ethe Mungai. The film stars Avril Nyambura and Innocent Njuguna, and features Maureen Njau in a supporting role.
Tukiacha ushabiki na kulishwa maneno kama majibu ya maswali yote mawili kwako ni "Ndiyo" basi unatakiwa kuunga mkono dual citizenship kwa wazawa wa Tanzania
1. Je unataka Watanzania wazawa ambao wako nje (Disapora) wapate haki sawa kwenye jumuia ya Africa mashariki kama wenzao wa Kenya na nchi...
Unasajiri laini ya simu kwa NIDA ila cha kushangaza wanakuwekea ndani ya miezi mitatu imefutwa.
Unaenda kuomba mkopo benki lakini kitambulisho cha NIDA ni kama umepeleka Passport tu kwa nijuavyo.
Suala la kitambulisho cha taifa tulivolichukulia kiukweli tumekosea kiwango kikubwa tena...
Habari wana JF
Kuna kozi nataka kusoma ila naomba ushauri wenu, nijue tofauti zake kwanza na ipi bora, kuna MSc in PROJECT PLAANING AND MANAGEMENT inatolewa IAA, BBA in PROJECT MANAGEMENT inatolewa TIA na Msc in PROJECT PLANNING, MONITORING AND EVALUATION inatolewa IRDP. Naombeni maoni ili...
CODING
Coding inahusisha uandishi wa maelekezo fulani kwa lugha ambayo inaeleweka na kompyuta. Lugha hizo ni kama python, C, C++ n.k. Lakini pia coder anaweza kua na uzoefu na scripting kama vile bash scripting n.k.
Kwa ujumla coder anatakiwa kua na skills zifuatazo ama zaidi ya hizi baadhi...
Waswahili wanapenda sana kukomalia mambo ma hata pale ushahidi ukiwa hafifu au wakiletewa ushahidi tofauti na wanachotaka kuamini, wanakuwa wagumu kukubali.
Nimeona clip inayosambaa ya basi la Simba likirudi kinyume katika mtaa mmoja mwembamba. Kwanza sielewi kinachoshangaza nini kwa gari...
Nawashauri watu wa Kagera mpokee changamoto kutoka kwa mkuu wa mkoa wenu. Kwanza Chalamila hajawataja Wahaya, yeye anazungumzia watu wa Kagera. Sasa huko Kagera kuna Wanyambo, Wahaya, Wakerewe, etc. Kwanini nyie Wahaya mnafikiri kwamba watu wa Kagera ni nyie tu??
Si mnaona mnavyokosea eeh...
Sasa hivi nchi imetulia tulii kama kama maji, hakuna mashindano, hakuna ari ya kutaka kuwa wa kwanza na kuwazidi wengine, hata washindani wa Tanzania kama Kenya wame relaxed na kupumua kwani hakuna mikiki mikiki ya ushindani wanapata kila wanachokitaka.
Hiyo ndiyo tofauti kubwa kati ya Mwanamke...
Wakuu nimeona baadhi ya simu zinakuwa na sehemu ya SIM na eSIM. ni sawa na hizi zenye dual SIM? Line za eSIM ni kitu gani. Tofauti yake na line za kawaida nini? Unaweza kuzitumia Bongo? Natanguliza shukrani.
Inapotokea kwenye mahusiano kuna sintofahamu ya aina yoyote, hapo ndio strength ya bond huwa inapimwa. Mengi hutokea, usaliti, dharau, uongo n.k ambavyo vinaweza pelekea uhusiano kuvunjika.
Na panapotokea mgogoro mzito sana, yule aliyekosewa huwa na option mbili, asamehe au achukue hamsini...
Shalom...!
Nimeskia story nyingi sana kuwa, Matiti yanapokuwa madogo wakati Binti akiwa under Eighteen hivi ni kweli kuwa hayo Matiti yakishikwa Shikwa yanakuwa Makubwa tofauti na mwanzo au ni story tu za watu wakuu...?
Nikasema niulize wadau nikijumuisha madaktari ambao wapo JF pia ili tupate...
Watanzania wenzangu ifike mahali tuwe tunafuatilia mambo Kwa kina na tusiwe benderea fuata upepo.
Leo hii kuna mfumuko wa bei ya vyakula tunaambiwa mkulima anafaidi.
Nasema hivi huu ni uongo Kwa asilimia 100. Mchana kweupe.
Mara zote wakulima huuza mazao Yao kipindi cha mavuno kipindi bei iko...
Kwa jinsi elimu yetu ilipofiki hakika Inasikitisha sana! Nadhani huyu katibu mkuu anapaswa kujitafakari sana.
Kama wanajua mazingira ya wanafunzi ni tofauti hilo ni kosa la nani? Wakati huo Syllabus na mtaala ni mmoja! Bado haitoshi mtihani ni mmoja Tanzania nzima, Kwa nini serikali isiboreshe...
Hii ni taarifa rasmi kutokea Klabu ya Simba
Kocha Mkuu Roberto Oliveira ameondoka usiku huu kwenda nchini kwao Brazil kwa shughuli binafsi za kifamilia na anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa mwezi huu. #NguvuMoja
Je, Kosa lao ni moja ( linafanana ) au ni Makosa Mawili tofauti?
Je, mbele ya Macho na Hukumu ya Mungu kuna mwenye Afadhali Kiadhabu?
Je, Wawili hawa wakikutana kuna ambaye atamshangaa Mwenzake?
Na mkisema Makosa yao (Dhambi zao) ni sawa kwanini Waswahili wengi hukimbilia Kuwaadhibu kwa...
Great Thinkers,
Rais Dkt Samia tangu aapishwe tumeshuhudia uendelevu wa amani, muendelezo wa hatua za kiuchumi, kisiasa, na kiutawala ambazo ziliachwa na Dkt Magufuli. Rais Dkt Samia ni mzalendo, mchapa kazi na muumini wa maendeleo ya dhati kwa watanzania.
Rais Dkt Samia ameendelea kupanga...
Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo...
Tabia iliyomponza Ibilisi ni KIBURI. Baada ya kuambiwa na Mwenyezi Mungu amsujudie Adam sijida ya heshima basi yeye alikataa Kwa kujawa na Kiburi kwasababu yeye alijiona Bora sana.
Na alipoambiwa kwanini ulikataa kumsujudia Adam akasema;
Mimi ni Bora nimeumbwa Kwa Moto na yeye ameumbwa na...
Mkristo anataka apendeze ndipo aende kanisani, mchawi anaenda kuwanga akiwa uchi.
Mkristo anahangaika sana kuuremba mwili wake kwa mavazi mazuri, lakini roho yake imejaa uwongo, chuki, masimango, uchoyo, na vitu vingi vibaya. Mchawi hana muda na mwili wake, ameikabidhi roho yake yote kwa...
Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana.
Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.