toyota

  1. M

    Toyota Ractis 2011 VS Toyota Corolla Runx 2003

    Jamaangu anaomba ushauri achukue ipi kati ya hizo bei zina fanana zote hadi ushuru mil 17+ Ractis NCP120. Cc 1490 Runx NZE-121 cc 1490
  2. TEAM 666

    Toyota Land Cruiser V8 Amazon Ushuru umekua mkubwa kuliko bei ya gari

    Habari wakuu hivi Kuna namna ya kufanya discount ya Ushuruu? Nahitaji kuagiza hii chuma ila Ushuruu umeipiku Hadi bei ya Gari
  3. T

    Exchange deal ya kiwanja na toyota alphard no E

    Habari wapendwa! Kuna jamaa yangu ana uhitaji kibiashara hana mtaji wa hela ila anataka gari aina ya Alphard no E iliyo katika hali nzuri kwa ajili ya wazo lake kibiashara. YEYE: Kiwanja 30 kwa 30 Kipo kibaha mail moja Kina beacons tayari, kina pagale zuri hatua ya rinta, umeme na maji...
  4. USTADH ARABI SAIDI

    GARI TOYOTA COROLLA INAUZWA

    Toyota Corolla One Eleven 111 colour white cc1394 Engen 4E Bei Tsh 6M (Maongezi yapo kidogo) Location- Bunju, Dar es Salaam Fully Document Gari ni Manual Injini safi ni kuwasha na kuondoka Piga Simu 0684129792
  5. Mad Max

    Nini cha kuzingatia ukitaka kununua gari kwa mtu (used)?

    Wakuu. Mbali na kuagiza gari kutoka nje ya nchi, au kununua showroom kuna option ya tatu ya kununua gari ambalo Mtanzania mwenzako analitumia. Hii inaweza kua njia salama zaidi lakini pia ya hatari zaidi usipokua makini. Sasa kuna vitu vya kuzingatia unavyotaka kununua, tutaviweka kwenye...
  6. Mad Max

    Chagua Hybrid Moja hapa: Toyota Prius vs Honda Insight!

    Wakuu. Bila kupepesa macho, kuna izi hybrid mbili kutoka Japan (Toyota Prius na Honda Insight) ambazo zinafanana na kutofautiana mambo mengi sana. Kwa kuanza zote naomba tutumie za mwaka mmoja, 2009 ambapo kwa Prius ndio alikua anaanza generation ya tatu na Insight yeye anaanza generation ya...
  7. kipoma

    Kati ya Toyota spacio na Toyota raum nichukue gari gani hapo?

    Msaada wataalamu
  8. B

    Car4Sale Toyota coaster 1HDT FTE 38,000,000

    Coaster mayai Engine 1hdt-fte umeme Manual transmission Gear box safi Engine safi Year of Manufacture 2000 Location: Mbeya Price: 38,000,000 0717184353 haina dalali
  9. Orketeemi

    Naweza kupata Toyota Rumion Kwa Tsh milion 6?

    Wakuu wote habar zenu... Nauliza kama naweza kupata gari tajwa Kwa bei hiyo. iwe namba D Kama kuna atakayekwazika natanguliz samahani. Naleta Kwa hatua yenu.
  10. Yusufu Mjasili

    Toyota harrier inatakiwa m31. Gari ipo Msasani/ostabey polisi mpya.

    Yes, Nauza harrier tako la nyani m31 karibuni sana. 0715 494920 & 0783 708437. Gari ipo Msasani karibu kabisa na kituo cha polisi ostabey mpya. (Mazungumzo yapo kidogo)
  11. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    Wana JF Nahitaji Toyota Premio Model mpya Engine size CC 1450 Iwe ya Silver au nyeupe rangi nyingine pia sio mbaya Namba DZ au Namba E. Mwenye nayo aje tuzungumze kwenye comments./Inbox Pia mwenye Toyota Rush anicheck. Samahanini sana Madalali nawapenda sana wapiganaji wenzangu...sio mbaya...
  12. kwezi magari

    Car4Sale Corolla rumion inauzwa mpya

    Toyota rumion Cc 1490 Year 2007 Price 16milion Call 0686475568
  13. Mnyenz

    Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani). Mods uzi usiunganishwe.
  14. Mnyenz

    INAUZWA Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
  15. Ibanda1

    Msaada: Toyota Premio kuishiwa nguvu inapopanda mlima

    Habari wanajamvi, Gari yangu Toyota premio (1.5L) imekuwa na changamoto kadhaa amabazo nashindwa kizipatia majawabu. (i) Gari kukosa nguvu inapopanda mlima, hili tatizo lilianza miezi mitatu iliyopita siku moja nilinusurika ajali wakati nina overtake kwenye mlima nilishangaa gari hainipi ile...
  16. Kasri Homes Tz

    Car4Sale Toyota Crown Royal For Sale (Powerful For Masafa ya Mbali na Karibu)

    • Condition: Used in Tanzania • Second condition: Mint • Registration: D • Document: Full • Status: Duty & Insurance paid • Price: TZS 20 million • Location: Dar (0767157788) . ✓ saloon ✓ white ✓ year 2010 ✓ engine 4GR ✓ petrol ✓ cc 2490 ✓ seat 5 ✓ automatic ✓ gear stick shift ✓ from...
  17. kavulata

    Baada ya kushinda kombe la TOYOTA Yanga ombeni udhamini wa TOYOTA

    Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa pumzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya...
  18. kavulata

    Toyota cup, Kumbe Yanga inaweza kuvaa logo nyekundu bila kupata mikosi.

    Kule Afrika Kusini Yanga imecheza na Kaizer Chiefs kombe la TOYOTA na kulazimika kuvaa logo ya TOYOTA kifuani mwa jezi yenye rangi nyekundu. Binafsi nilidhani Yanga inakataa logo za wadhamini zenye rangi nyekundu kwa kuhofia kupata mikosi ya kufungwa kumbe bwana hakuna kitu hicho ni hofu tu...
  19. Suley2019

    FT: Kaizer Chiefs FC 0- 4 Young African SC | Toyota Cup | Free State Stadium, Bloemfontein | 28.07.2024

    Jumapili hii, wananchi Yanga SC watakuwa dimbani tena katika Kombe la Toyota wakicheza na Kaizer Chiefs ya kocha Nasreddine Nabi. ---- Kikosi cha Yanga kinachoanza 5' Keiza 0 - 0 Yanga 10' Keiza 0 - 0 Yanga 15' Keiza 0 - 0 Yanga 20' Keiza 0 - 0 Yanga 25' Goooooal Dubeee 25' Keiza 0 - 1...
  20. Tabutupu

    Toyota Prado TX vs TXL: Key Differences

    The Toyota Prado TX and TXL are two popular trim levels of the Land Cruiser Prado SUV. While they share the same robust platform and off-road capabilities, there are distinct differences in terms of features, comfort, and luxury. Key Differences: Interior: TX: Typically features cloth...
Back
Top Bottom