toyota

  1. Afrolink-Tz Consult Ltd

    Nahitaji Toyota Vellfire au Toyota Alphard new model haraka sana

    Habari zenu Ndugu zangu nina ofa ya mil 15.7 (hela hii pamoja na udalali kama una wewe ni dalali unaeuza) cash nahitaji mwenyewe moja kati ya gari hizo mbili ambazo ni Toyota Vellfire au Toyota Alphard (model mpya) Sio lazima iwe namba E lkn ikiwa D basi iwe ya mwisho mwisho au hata E ya mwanzo...
  2. stabilityman

    Kwanini Toyota IST huwa zinawahi sana kuchoka

    mKWA NINI TOYOTA IST HUWA ZINA CHOKA MAPEMA Toyota IST zina injin ambayo ina uvumilivu kwakipindi kifupi 1) INJIN KUA NA MLIO WA TOFAUT Hapa tatizo ni kutumia oil ambayo sio sahihi hivyo injin hizi zitakuvumilia kwa kipind kifupi baada ya hapo Utashangaa gari ni IST ila ina mngurumo wa...
  3. B

    Toyota Cup 2024 Launch: Q&A with Jessica Motaung & Hersi Said | Kaizer Chiefs | Young Africans

    https://m.youtube.com/watch?v=1weIrkCNRgw SuperSport presenter Thabiso Tema chats to Kaizer Chiefs Marketing and Commercial Director Jessica Motaung and Young Africans President Hersi A. Said ahead of the inaugural Toyota Cup between Kaizer Chiefs and Tanzania's Young Africans at the Toyota...
  4. Upcoming

    Car4Sale Nauza Toyota Rush - Price 12m

    Karibuni wadau nauza gari aina ya Toyota Rush (SERIOUS BUYER ONLY) Engine - Petrol 1491490 Seats - 5 Colour - Mid Night Silver Metallic Transimition - Manual Mileage - 103,000
  5. trust 1

    Nauza Toyota voltz 8.5m

    .
  6. Kaudunde Kautwange

    Tatizo la Power Steering kwenye Toyota Allex

    Wakuu habari! Naomba msaada, gari aina ya Allex imeniwashia taa ya PS, na mara kadhaa imekuwa ikiwasha na kuzima yenyewe baada ya mda. Sasa nahitaji suluhisho la kudumu. 1. Nini sababu haswa? 2. Namna ya kutatua 3. Makisio ya gharama Lakini pia naomba kujua hizi gari kama zinatumia power...
  7. R

    Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

    Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV Habari wana JF Naombeni ushauri wenu je kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1. 1HZ-manual cc 4,164 CC au 2. 1GD-FTV automatic 2755 CC ni ipi bora kwa maana ya 1. matumizi ya barabara ambazo sio za lami kwa...
  8. Brown B

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    SUBARU FORESTER Mwaka 2011 Rangi Red Wine Engine 1990cc Mileage 75,000km Bei 27.5m 📌Remote key 📌Winker Mirrors ☎+255626682228
  9. Siri yangu

    Toyota Brevis na matunzo yake karibuni wajuvi kutoa ushauri

    Habarini za asubuhi wakuu , Samahani naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa magari na wengine ni mafundi mtoe ushauri hapa. Toyota brevis ni gari ambayo imesemwa maneno mengi na tunajua uzalishaji wake haupo tena na kila mtu anasema gari ni jini mara inakula mafuta mara spare zake ni ghali kila...
  10. BARD AI

    Toyota yaomba radhi kwa kudanganya kuhusu usalama wa baadhi ya Magari yake. Yasitisha utengenezaji Corolla Fielder, Corolla Axio na Yaris Cross

    Mwenyekiti wa Toyota, Akio Toyoda ameomba radhi leo Jumatatu kwa udanganyifu mkubwa katika majaribio ya uidhinishaji wa modeli saba za magari huku kampuni hiyo ikisimamisha utengenezaji wa matatu kati yake. Jaribio kubwa la ulaghai katika kampuni kubwa ya kutengeneza magari ya Japani...
  11. Mad Max

    Toyota Hilux: Hi chuma TRA hawataki tuimiliki

    Mi hadi nachoka. Hawa jamaa bwana. Naikuta single cabin CIF $6,000 (mil 16) uko Beforward. Hafu eti ushuru sasa wa TRA mil 28 unalipa. Karibia mara mbili ya bei ya kununua. Gari ya kazi tunabaniana. Sasa ukigusa double cabin unakuta CIF kubwa na ushuru 30+
  12. N

    Nahitaji Toyota Premio

    Habari wadau wa agari, nina milion 9 cash nahitaji toyota premio used ianze namba DF kuendelea mbele iwe haijwah kupata ajali kabisaa iwe haijawah kurudiwa rangi kabisaa hata bampa yaan! Lakini iwe haijawah kuguswa engine zaidi ya kubadilisha oil tu: Mi nipo kigoma naomba isiwe ya silver wala...
  13. P

    Car4Sale Toyota Vanguard inauzwa Tsh milioni 28

    TOYOTA VANGUARD YEAR 2011💦 ENGINE CAPACITY Cc: 2360 MILEAGE: 82496 ENGINE CODE: 2AZ FUEL PETROL STANDARD FEATURES FULL OPTION✅ CODE:2AZ FUEL PETROL 🛢️PRICE:28M CONTACTS:+255754459647
  14. GENTAMYCINE

    Huyu Dereva wa Gari la Toyota Landcruiser Hardtop Nyeupe lenye Plate Number ya T216 DHH ya Tundu Lissu uthubutu wa Kuitumia kautoa wapi?

    Yaani mwenye Gari kapigwa risasi ambazo zilitaka Kumuua halafu bila hata huruma bado kuna Mtu sijui kwa Jeuri yake au Jeuri anayopewa kaona haitoshi akaamua kabisa kwenda na Kung'oa Plate Number ya Gari la Tundu Lissu ya T216 DHH na kuamua Kuitumia kama yake Dodoma hadi kuwa na Deni ya Kuegesha...
  15. Mshamba wa kusini

    Ninunue gari ipi kati ya Toyota vanguard na suzuki escudo 2008?

    Habari wakuu Kati ya vanguard na suzuki escude 2008 ipi ni gari nzuri nataka kuvuta moja wakuu
  16. dracular

    Bei ya control box ya Toyota RAV4 miss Tz ya mwaka 2006

    Habari za majukumu ndugu zangu, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu napenda kuuliza bei ya control box ya gari tajwa hapo juu maana gari yangu iliingia kwenye maji ikapiga shot So nataka kununua mpya.. Naomba kuwasilisha kwenu
  17. Mad Max

    Kuna chuma inaitwa Toyota Century: A Rolls Royce "Cullinan wanna be"

    Sijui nani amemcopy nani, ila kuna chuma nimeiona mitaa ya matajairi bwana, inaitwa Toyota Century 2023. Kwa mbali nikajua ni Rolls Royce Cullinan kumbe ni mali ya Wajapan aisee. Hii chuma ni SUV, engine 3.5L 2GR V6, model code yake ni G70, (sedan yake ndio G60). Unaweza angalia picha jinsi...
  18. Mad Max

    Gari tatu (3) za Toyota ambazo Design yake ilikua from Future

    Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua. Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa. 1. Toyota Will VI Hili gari nikiliona uwa...
  19. Apollo one spaceship

    Nataka kununua Toyota Rav 4

    Anayeuza hiyo gari contact karibu, nipo Serious. Budget ni milioni 7.
  20. Jick

    Wauza spear used, nahitaji sunroof glass ya Toyota ipsum

    Habari ndugu jamaa na marafiki wa JF na wauza spear wote. Ninahitaji sunroof glass ya gari tajwa hapo juu. Kama ipo nicheki PM.
Back
Top Bottom