toyota

  1. and 300

    Toyota Crown Japan Ni taxi

    Tunakumbushana tu kuwa Toyota crown Japan ni taxi tu. So tupunguze shobo na kuvimba bila sababu.
  2. S

    Natafuta Toyota wish 7M

    Nataka kununua Toyota wish namba D aya mwanzoni iwe nyeusi kwa 7M kama unayo naomba namba tufanye biashara hata ikiongezeka laki tatu ya dalali sio mbaya
  3. S

    Natafuta Toyota Brevis 5M

    Nataka kununua Toyota Brevis nina 5M mwenye nayo nipe namba tufanye biashara hata ikiongezeka laki tatu ya dalali sio mbaya
  4. salehe magari

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    NISSAN DUALIS *CROSS RIDER Price :17.5mls (GARI NI MPYA 100%) Year 2010/2011 Engine Cc 1990 Full Ac Low mileage Rim sports 0688591584
  5. Nrangoo

    Inahitajika Toyota corolla

    Wakuu nimeambatanisha na picha hapa chini, mwenye nayo naomba tuwasiliane. Njoo na offer yako
  6. H

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo Naomba kufahamu ubora na changamoto za Passo. Picha: Toyota Passo
  7. kayanda01

    Kwa Tsh. Milioni 5 nifungue Uwakala wa Benki ama ninunue Toyota Probox niipeleke ruti za vijijini?

    Wasalaam. Title yajieleza. Tsh 5M nataka kuizalisha. Nawaza hizo ideas mbili, aidha (a) Kufungua Uwakala wa Bank ama (b) Kununua Toyota probox (mkononi mwa mtu) na kuipeleka route za vijijini. Location: Ndani ya Mkoa wa Geita. NB: Ideas hizo zote mbili ni mgeni nazo, sijawahi kuzifanya...
  8. Mukulu wa Bakulu

    Je, ni wazo zuri kubadili gari kutoka Toyota Vanguard 2011 kwenda Nissan Extrail Third Generation ya 2016?

    Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016. Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu. Gari zote hizi hapa chini.
  9. Mr Why

    Car4Sale Toyota Brevis Used Inauzwa Mwanza

    Toyota Brevis Used Inauzwa Mkoani Mwanza. Inatembea vizuri haina kipengele Bei 2,500,000. Mazungumzo ya Simu ndiyo mwafaka SOLD☑️
  10. Grand Canyon

    Msaada: Toyota Raum steering wheel ina vibrate

    Majuzi nilipata Pancha kwenye barabara ya lami yenye mashimo tairi ikachanika. Tairi ilikuwa tubeless. Kwa kuwa Nilikuwa kwenye mji mdogo sikupata tairi tubeless hivyo nikaweka yenye tube. Baada ya hapo usukani hautulii. Kabla ya hapo kwenye barabara iliyonyooka ningeweza kuachia usukani na...
  11. vipik2

    Toyota Coaster - Special Hire

    Ndugu zanguni natafuta Coaster ya abiri 29, gari itasafiri na watoto wa shule kwa siku tano mbugani Serengeti, baada ya kumaliza ziara gari itarudi kwa kupitia Bunda, Mwanza, Dodoma mpaka Dar, mafuta, huduma za gari na huduma za dreva itakuwa juu yako, naomba tufanye maelewano kupitia - 0734 933...
  12. Magari Aina Zote

    Car4Sale Unatafuta gari zuri la kuagiza nje ya nchi? Pita hapa

    Kupitia uzi sasa unaweza kuagiza gari yoyote kutoka; Japan✔ UK✔ Singapore✔ Dubai✔ China✔ Thailand✔ Korea✔ n.k NB: Ukiagiza gari nasi tunakupa full package; yaani kuagiza, ku-clear bandarini na kusajili. Pia ukihitaji delivery popote ulipo tunakuletea. Tunapatikana Rita towers, ghorofa ya 11...
  13. muuza ubuyu

    Sensor za Toyota Harrier 1998

    Habari wakuu, Nilinunua gari langu tangu mwaka 2016 ilipofika mwaka 2017 lilianza tatizo lakuwa linakomea gear namba 3. Nilikaa nalo kwa muda karibia miezi sita ndiyo kuja kupata ufumbuzi ni knock sensor. Nilitafuta used zikawekwa na tangu siku hiyo gari likapona na kurudi uhalisia wake...
  14. Chizi Maarifa

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Wish New Model

    Picha: Toyota Wish New Model Nimeziona hizi gari natamani kufahamu ubora na mapungufu yake. Ninahitaji gari ndogo kwa mizunguko ya town na safari za Dar Morogoro. So iwe inatumia mafuta vizuri na pia comfortable kiasi flani. Nina gari kubwa ambayo safari za kila weekend na foleni ya kuanzia...
  15. B

    Mshindi wa kampeni ya SimBanking akabidhiwa gari aina ya Toyota Crown

    Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Kimweri (mwenye kanzu) akimkabidhi mshindi wa kampeni ya Benki ni SimBanking, Mayani Yahaya Hassan mkazi wa Dodoma funguo ya gari baada ya kuibuka kidedea katika droo iliyochezwa mapema mwezi huu. Wengine pichani ni wafanyakazi wa Benki ya CRDB ambao walishiriki...
  16. U

    Kisa cha kweli: Tarimo alimlipa Measha Toyota Stout baada ya fumanizi

    Wadau hamjamboni nyote? Hiki ni kisa cha kweli ambacho kilitokea Moshi. Tarimo na Mwasha walikuwa marafiki wakubwa na wote ni wafanyabiashara, japo Mwasha tajiri zaidi. Mke wa Tarimo ni Daktari Serikalini. Tarimo akamtongoza mke wa rafikiye. Mke akamwambia mumewe kuhusu jambo hilo na fumanizi...
  17. Mus_musa

    Nataka kununua Toyota Crown Althele

    Habarini Wakuu, Nataka kununua Toyota Crown Althele ya 2005-6 nataka kujua fuel consumption na Services. Na Kusafiria Dar-Moshi inaweza kucost pesa ngapi kwa Fuel
  18. S

    Natafuta Toyota Corolla Old 1996-2001 ya kununua

    Iwe na Engine 4A, 5A na Automatic Gearbox (manual tutaongea) Iwe imetunzwa vizuri hasa body liwe limenyooka Namba yeyote lakini bora zaidi kuanzia B, C, D Iwe popote tanzania iweze kufika Dar hata kwa gharama yetu Bei ni makubaliano kulingana na hali ya gari
  19. King Jody

    Ninunue gari gani kati ya Toyota IST na Toyota Premio?

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo wanaomiliki magari haya, naombeni ushauri tafadhali, yote nayapenda. NB: Ni kwa ajili ya kutembelea...
  20. H

    Nahitaji ushauri juu ya Toyota Corona

    Naombeni ushauri kwa wale wanaozijua gari za Toyota corona, maana kuna mtu anaiuza na ni namba B, nipo kweny process ya kuilipia na kuifanyia matengenezo mdg mdg.
Back
Top Bottom