Hapa ni maduu, mabitozi na machizi wa kipindi hiyo.
Hili goma la mtu mzima joslin lina kukumbusha wapi na tukio gani ?
Hili goma lina historia nami nzito sana kila nikikumbuka huwa nabaki kucheka😀 tu kifala yule nyang'au alinijulia haswa😃😃
TUKIO LA UBAKAJI SHULENI: WAZAZI MUWE MAKINI NA WATOTO MNAOPELEKA SHULE ZA BWENI
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mwaka 2016 nilipata kibarua cha kujiegesha katika shule ya binafsi maeneo ya Mwembe Mtengu, Kigamboni.
Ile shule nikakuta waalimu wengine vijana ambao ni rika langu. Hapakuwa na...
Sambamba na hilo:
• Nimeambulia kipigo ndoige kutoka kwa mwananchi mwenye hasira kali kwa kuwa nimeshuhudia tukio
• Nimepoteza mpenzi papo hapo
Somewhere in Dar es salaam
Pembezoni mwa fremu moja ambayo hutumika kwa ajili ya wateja wa mama ntilie x kupata msosi, kuna mwanamama ambaye hukaanga...
Ile siku ambapo watu wengi watapotea kwa wakati mmoja duniani kote imekaribia sana. Inaelezwa kwamba taifa fulani lilipochipuka na kukua basi ni ishara. Pia tukio hilo litatokea ndani ya miaka 100 ya taifa hilo, ambayo ni kizazi kimoja.
Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya...
Msurprise mtu yeyote kwa jina lake na nyimbo ( dedication ) ajue hisia zako kwake.
Anaweza kua mtoto wako, mpenzi wako, adui yako, crush wako na zaidi…
Mtaje kwa tag, jina moja au mawili, sehemu alipo, hata kama hayupo JF, huenda akaja kupata ujumbe wake Kutoka kwako.
Warning!!
zingatia...
A Clark County, Nevada judge and a marshal were injured on Wednesday afternoon after a defendant who was denied bond threw himself over the bench and attacked the judge, video shows.
It is reported that the public information officer for the Clark County District Court said the incident...
Tukiwa tunaelekea kumaliza Mwaka wa 2023 nawakaribisha wanamichezo wote wa Jukwaa hili tukaribie hapa.
Naomba Tuweke Matukio ya Kimchezo katika picha ambayo yametokea kwa Mwaka huu 2023 ambapo tukio hilo hutalisahau.
Tukio linaweza kuwa la Football, Boxing, Tennis, Basketball, nk, we tupia tu...
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) imesema inaendelea na uchunguzi kuona kama kuna ukiukwaji wa Sheria za uwindaji baada ya kuonekana kwa video ya Mwindaji wa Marekani Josh Bowmer akifurahia kuwinda mamba mkubwa nchini Tanzania mwenye rekodi ya dunia na kuleta taharuki.
Taarifa ya TAWA...
Kwangu mimi ni the red wedding (episode ya the rains of castamere) pamoja na kifo cha Hodor.....
Naliaga kabisa kwenye hizi scenes 😭😭
The red wedding 💔
Habarini za asubuhi,
Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio hakupatikana tena.
Maswali niliyojiuliza kama ishu ni chaji kwanini asingebust simu akanijulisha?
Hapo...
Habari wakuu, maisha yana mjumuiko wa matukio mengi sana.
Kuna matukio ambayo wengi wetu tunapenda kuyasikia sana na hayatupi shida yeyote, haya ni matukio mazuri au habari njema mfano, kupata mtoto, mavuno mazuri n.k
Kuna matukio tusiyopenda kuyasikia ni mwiba mkali maishani mwetu kwa wakati...
Binafsi nilitegemea baada ya Tukio la Hanang Mkoani Manyara Media ya Tanzania ingekuwa inatupa Elimu zaidi ya nini kimesababisha na hata kutoa tahadhari zaidi kwa eneo husika au maeneo mengine yenye Jiografia kama ya Hanang ili kujiepusha na Majanga makubwa mengine.
Ila cha kushangaza na...
Kama mtaalamu niliyeshiriki kujenga vyanzo vya maji mbalimbali pamoja na mabwawa ninapata shida kuamini kuwa killchotoea Hanang ni natural land slide
Kiwango kikuubwa cha maji kikifuatiwa na tope mda mfupi tena vinatiririka njia ya mto ni kuashiria storage ya maji upsteams kubomoka.
Sasa...
Sijasema wakubwa wasiende ila napenda watakaokuwa front ndio watangulie plus Mahitaji ya Waathirika badala ya kwenda kuleta taharuki nyingine.
Huko PM yupo
Mkuu wa Majeshi yupo
Mawaziri wapo
Na wengine wanaendelea kumikinika ,Sasa sijajua Kama Kasi ya wakubwa kumikinika inaendana na Kasi ya...
Serikali imetoa taarifa kuhusu maendeleo ya hali baada ya maafa ya maporomoko ya tope, mawe, magogo na mawe kutoka mlima Hanang Wilayani Hanang Mkoa wa Manyara, ambapo imesema hadi kufikiasaa 6:00 mchana leo December 08,2023 idadi ya vifo imefikia 80 (Watu wazima ni 48 wakiwemo Wanaume 19 na...
askari
habari
hanang
iron
kufa
kutoka
kutokana
lady
maelfu
mafuriko
magogo
maria salungi
misaada
miti
mlima
mto
paa
picha
saikolojia
silaha
tanzania
tatizo
tukio
ushauri
vyombo
vyombo vya habari
watanzania
Experience yangu binafsi sio mara moja bali ni mara mbili niliazima gari kwa marafiki wawili tofauti, wa kwanza aligongesha bampa wa pili aligongesha karibu na mlango lakini hakuna alienijulisha kilichotokea pindi wanaponirudishia funguo za gari.
Nikiazima gari na ikirudi huwa lazima niikague...
P. Diddy amekumbwa na kesi nyingine ya unyanyasaji wa kingono. Nguli huyo ameshtakiwa katika Mahakama Kuu ya Manhattan akidaiwa kumnyanyasa kingono mwanamke ambaye alimnywesha dawa za kulevya mnamo mwaka wa 1991 katika mojawapo ya kesi zilizofunguliwa chini ya Sheria ya Watu Wazima...
katika
kesi
kingono
kubaka
kurekodi
love
mashitaka
mpya
mwaka
mwanamke
mwanamke mwingine
mwingine
p diddy
puff dady
tena
tukio
ubakaji
unyanyasaji
unyanyasaji wa kingono
Nilipokuwa mdogo, miaka kadhaa iliyopita nilipoteza kamera ya rafiki yangu mmoja aliyekuja kututembelea nyumbani kwetu. Nilikuwa bado mwanafunzi nikiishi pamoja na wazazi. Rafiki huyu aliipata kamera hiyo kama zawadi kutoka kwa ndugu yake aliyekuwa akiishi ughaibuni.
Tulipiga picha nyingi naye...
Nilisoma shule ya sekondari ya bweni wavulana tu. Wasichana na baadhi ya wavulana day! Karibu na bwalo la chakula kulikuwa na duka la shule! Sasa enzi hizo mimi nilikuwa miongoni mwa vijana masharobaro ambao mbele ya wasichana warembo wa day kuonekana unakula ugali maharagwe ilikuwa ni aibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.