tukutane

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mganguzi

    Ndugu Harrison Mwakyembe tafadhali tukutane Monduli kwenye mazishi ya shujaa Edward Lowassa!

    Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi...
  2. MubengaJr

    Vibarua wenzangu tuliopita JKT tuliporudi nyumbani tukaambiwa tujiajiri tukutane hapa

    Niwakumbushe vijana wenzangu, ukiamua kwenda JKT kwa matumaini utakuja kuvaa magwanda ya mabaka ili tukuogope mtaani na unajua kuwa huna connection, fahamu wewe umekwenda JKT kufanya kibarua. Mimi nilihitimu kufanya kibarua changu JKT mwaka 2015. Sasa hivi bado ninajitafuta kitaa sielewi...
  3. Intelligent businessman

    Ambao hatujawahi kunywa pombe au kuvuta sigara, tukutane hapa

    Katika ukuaji wangu wote hadi leo, sija wahi kuvuta sigara au kunywa pombe. 👉Sio ushamba ila hivyo sio vipaumbele vyangu. Vipi Kuna wenzangu na mimi??
  4. G

    Tulioomba ajira uhamiaji tukutane hapa tuna kikao

    Inasemekana watu wanapigiwa simu awatoi majina, je kuna yeyote aliyepigiwa simu?
  5. peno hasegawa

    Mwaka 2024 mwenye taarifa za miradi ya maendeleo Tanzania tukutane hapa!

    Wakuu, happy new year 2024. Wenye taarifa za miradi ifuatayo tukutane tujadiliane: 1. Uwanja wa ndege wa Msalato 2. Ujenzi wa barabara ya mwendokasi kuelekea uwanja wa ndege wa Dar 3. Ujenzi wa chuo kikuu Butiama 4. Ujenzi wa barabara Kwa kiwango cha lami kutoka SikongeTabora hadi Makongorosi...
  6. Melki Wamatukio

    Tuliowahi kushikwa na tumbo la kuhara kwenye mazingira hatarishi tukutane hapa

    Narudi, ngoja niandae kisa kisha nikipaste hapa... Karibuni kwa shuhuda
  7. The dumb Professor

    Tukutane hapa wapenzi wa Cartoons

    Guys! Nostalgia is a real disease. Niliangalia katuni utotoni mpaka leo Bado zile theme songs, characters, story lines zinaexist nyuma ya ubongo wangu. Tukutane hapa wazee wa CN, nickelodeon, Boomerang na Disney. Tukumbushiane baadhi ya cartoons tulizowahi kuzicheki Kwangu Mimi hii hapa top 15...
  8. Jumlisha

    Vegetarian tukutane hapa

    Habarin wana JF. Nimeamua kuandika huu uzi juu ya changamoto ninazizipitia mimi ka vegetarian (mtu asiye tumia nyama) iko hivi mimi niliacha kula nyama na bidhaa zake mwaka 2017 mbaka sasa naeendelea na sina mpango wa kubadili maamuzi shida iliyopo ni jamii yangu wao hawataki kuamini kabisa...
  9. Yofav

    Tunaoishi single (Ghetto Geez) Tukutane hapa

    Habarini wakuu, Nimefungua uzi huu kwa lengo la kutaka kujua wastani wa hali za wenzangu wanaoishi katika status ya u-single hasa katika gharama zetu za kujimudu kimaisha zipo vipi? Kwa mfano katika siku mtu unatumia wastani wa gharama kiasi gani katika kula, Vocha na Usafiri? Kwa mfano mimi...
  10. K

    Tuliowahi kufanya kazi za mauzo kwenye mashirika au binafsi tukutane hapa

    Habari wana JF, Nilikuwa Afisa mauzo (Salesman) kwenye kampuni flani jina sitalitaja, nikiuza bidhaa aina ya Tumbaku. Kupata hela pungufu au bidhaa pungufu lilikuwa jambo la kawaida yaani short kwa ujumla, na hela pungufu umepata ndogo ni elfu hamsini na kuendelea ni short kweli kweli usipokuwa...
  11. Leejay49

    Wanawake wenzangu mnazoeaje maumivu haya ya tumbo?

    Habari ya asubuhi, Wenzangu huwa mnazoeaje haya maumivu jamani?😓😓 Yaani iko hivi, tumbo linauma kama mtu yupo tumboni anavutavuta utumbo, yaani kama yuko na kijiko anakwangua ukoko kwenye sufuria vile. Sasa ushuke chini kiuno jamani, ni kinakamaaa kama sijui nini, ukijinyoosha tu maumivu...
  12. BARDIZBAH

    Wapenzi wa picha za sunset tukutane hapa

    Kama title ya uzi inavyojieleza. Wacha nianze mimi kwa baadhi nilizozipiga. 1. Pemba chakechake sunset view
  13. Faana

    Wale wa hizi enzi tukutane hapa

    Naomba Mods msiufute uzi huu wala kuuhamishia mjuako, binafsi hizi picha zimevuta taswila ya mambo mengi akiwepo mzee pekee aliyekuwa na duka mtaani kwetu, ilikuwa ukienda kununua bidhaa anakuuliza chenji yako ni kiasi gani? Ukishindwa hesabu kama unasoma madarasa ya kuanzia Std 3 na kuendelea...
  14. H

    Wale tunaotumia akaunti zaidi ya moja tukutane hapa

    Inakuwa ngumusana kuzikontroo. Mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk Nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock Nikamfata kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana...
  15. Webabu

    Tumebakiwa na miaka michache tu tukutane na wenzetu nje ya dunia

    Uzi huu unakusudiwa uwe ni endelevu na uwe unapokea taarifa mpya mpya kila huo muda unavyokaribia.Kwa sababu imeelezwa kuwa matayarisho yanaendelea kukutana na wenzetu nje ya dunia. Wanasayansi wengi wanaamini kuwa zipo dalili nyingi zaidi sasa kuwa binadamu hatuko peke yetu kwenye ulimwengu wa...
  16. G

    Ambao tushawahi kamatwa na polisi tukiwa Gulioni tukutane hapa

    Wakuu Habari!. Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2016 Niko Dodoma! Nilipendelea sana kununua madada poa mitaa ya uhindini hapo. Basi bwana Nikiwa Mimi na jamaa angu tukiwa tunachagua bidhaa ya kuondoka nayo, Mara paap Polisi hao hapo! Tulikimbia wee lakini tuliishia kukamatwa. Tukatiwa kwenye Tenga...
  17. sky soldier

    Tuliowahi kuwa wahanga wa kufanyiwa umafia, kukodishiwa wezi au wauaji kwenye madili tukutane hapa

    Tuliowahi kuwa wahanga wa kufanyiwa umafia, kukodishiwa wezi au wauaji kwenye madili tukutane hapa Njlifika mkoa x kukamjlisha dili la milioni kadhaa, mzigo ilinibidi niufate mwenyewe. Nilipofika wenyeji wakanipeleka lodge nzuri, niliona ni ukarimu maana hata watu wa mkoa huo ukarimu sifa yao...
  18. sky soldier

    Tuliowahi kuwa wahanga wa kufanyiwa umafia, kukodishiwa wezi au wauaji kwenye madili tukutane hapa

    Watu huwa wanasema mnyama hatari asie na huruma ni Mbwa mwitu na fisi lakini mimi niseme kwamba kuna wanadamu ni wanyama hatari kuliko kiumbe chochote Njlifika mkoa x kukamjlisha dili la milioni kadhaa, ni mali ambayo ilibidi niifuate. Nilipofika wenyeji wakanipeleka, niliona ni ukarimu maana...
  19. DR HAYA LAND

    Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

    Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu. Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita. Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Back
Top Bottom