uganda

  1. T

    Aibu sana kwa taifa langu Olympic 2024. Kenya ilipekeka wanamichezo 72, Uganda 24 sisi walienda 7 na delegation ya watu karibu 20 + waziri

    Kama kuna kitu kinaudhi nchi hii ni namna mambo yanavyofanyka kiajabuajabu ukiachikia mbali yale mataifa yanayotuzidi sana kiuchumi hata hawq jirani zetu unagundua wako serious sana na mambo yao. Wenzetu wamepekeka wanamichezo wengi sana ambao ndo wahusika hasa lakini sisi tunepeleka watu ambao...
  2. S

    Kusafirisha mzigo kwenda Uganda

    Habari. Naomba kujua njia ninayoweza kusafirisha mzigo kama wa kilo tano (nguo) kwa ajili ya biashara. Kuna basi nimeliulizia naona gharama yake sijakubaliana.
  3. Lord denning

    Vita ya Kiuchumi: Ningekuwa Rais wa Tanzania ningeanzisha ujenzi wa reli ya SGR kutokea Bandari ya Tanga hadi Kagera, Rwanda na Uganda

    Amani iwe nanyi wanabodi! Kupitia Northen Corridor Kenya anataka kuingia DRC, Rwanda, Uganda na Sudan Kusini kwa Reli ya SGR. Sisi Tanzania tunajenga SGR yetu kuingia Burundi na baadae Congo. Kwa hesabu za haraka huko mbeleni SGR ya Kenya ndo itakayoleta faida zaidi kwa Kenya kuliko SGR yetu...
  4. The Sheriff

    Uganda: Wafanyabiashara wagoma kupinga kiwango cha ushuru na mfumo wa ukusanyaji ushuru

    Wafanyabiashara katika jiji la Kampala wako kwenye mgomo wakipinga ushuru wa juu kwa bidhaa zinazoingizwa na mfumo wa ukusanyaji ushuru, Mfumo wa Elektroniki wa Kutoa Risiti na Ankara (EFRIS), pamoja na malalamiko mengine. Hata hivyo, kuna mkanganyiko miongoni mwa wafanyabiashara, na baadhi ya...
  5. JanguKamaJangu

    Binadamu by AY featuring Maurice Kirya Lyrics

    Binadamu by AY featuring Maurice Kirya This is A.Y from Tanzania, Maurice Kirya and Hamdee from Uganda. It’s a dedication to all African who living in poverty. Verse 1 Usiombee mambo yaharibike. Pesa usiishike, mfano wa mti upukutike. Utaonekana si lolote si chochote. Utaonekana...
  6. B

    Gen Z wa Tanzania wapewe ajira maana ukosefu wa ajira ni chanzo cha maandamano tunayoshuhudia Kenya na sasa Uganda

    Wadau Asalam aleykum. Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji. Nawashauri viongozi wangu mlioko kwenye vyombo vya kutunga sera, mfanye kuwaajiri vijana walioko mtaani wenye ujuzi na wasio na ujuzi pia watafutiwe kazi za kufanya. Hii itawafanya kuwa bize na hivyo kuwasahaulisha na ugumu wa...
  7. MK254

    Gen Z wa Uganda waanza kuamsha amsha

    Museveni aanza mapambano dhidi ya Gen Z, japo sidhani kama wale wana uthubutu.... Ugandan police deployed heavily around Kampala City on Monday to forestall planned protests by the youth against corruption in government. In what reflects methods used by their counterparts in Kenya, where the...
  8. Mr Chromium

    Kwanini Watanzania wengi wanaenda Uganda (Makerere University) Kusoma?

    Leo Mr. Chromium nina Swali kwa Watanzania. Naandika sana maswala ya Geopolitics leo tuongelee maswala ya kijamii. Kwanini Watz wengi wanaenda kujiendeleza Uganda hasa Makelele University? Je, vyuo vya Tanzania elimu mbovu au Gharama au Vina masharti magumu? Nasoma majibu
  9. GENTAMYCINE

    Watanzania mliopo hapa Kampala Uganda mnawezaje kula Mdudu (Kitimoto) cha hapa kisicho la ladha kama ya kwetu Tanzania?

    Nitavumilia tu hadi nikirejea kwa Mapumziko au Majukumu yangu Kumalizika huku ili niendelee Kula Mdudu (Kitimoto) kinachopikwa vyema na Watanzania. Yaani Wabongo wote mlioko hapa Jijini Kampala mnatamba Goli (Eneo) la Kitimoto la Machame kuwa ndiyo wanaipika vizuri wakati ukweli ni kwamba...
  10. T

    Bei ya sukari Tanzania ni zaidi ya 3000 wakati Msumbiji, Malawi, Kenya, Uganda na Zambia haizidi 2500. Kwani sisi dhambi yetu nini?

    Sio siri hili jambo linaniumiza sana moyo wangu sijui kuna ushirikina gani kwenye suala la sukari hapa nchini kwetu. Maana licha ya kuwa tuko jirani na bahari kuu tuna ardhi nzuri na tuna kila fursa ya kunufaika kuliko majirani zetu lakini bado tunapata mateso ya kununua sukari kwa gharama...
  11. T

    Anyone from Uganda or Rwanda

    Good morning Folks, I'm here in Dar es salam looking for anyone from those mentioned countries with EA, It would be better if i could get a lady, i have very important matter to discuss with her, Please DM for more information
  12. GENTAMYCINE

    Baada ya Kumsajili Mchezaji niliyemtaka Steven Mukwala kutoka Uganda sasa naomba mnisajilie Kiungo Mchezeshaji kama Haruna Niyonzima Timu itishe zaidi

    Nimefurahi sana Uongozi wa Simba SC kwa Kufanikisha haraka sana Usajili wa huyu Mshambuliaji mahiri mno kabisa.
  13. The Sheriff

    Ongezeko la visa vya ugonjwa wa Monkeypox nchini DRC lasababisha wasiwasi nchini Uganda

    Kuongezeka kwa visa vya maambukizi ya ugonjwa wa monkeypox nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kunaleta wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuenea kwa ugonjwa huo nchini Uganda. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema monkeypox inaenea kupitia kujamiiana na aina nyingine za mawasiliano ya...
  14. Mad Max

    Majirani Uganda wamerudisha Kodi ya EV

    Wakuu vipi. Majirani zetu Uganda wanamzuka sana na Electric Vehicles na Hybrids. Kuonesha mzuka wao, serikali ikaona itoe kodi (zero tariff) kwenye EV, E-Bikes na kupunguza kwenye hybrids kwa mwaka wa fedha 2023/24. Huu msamaha ukapelekea gari za EV zilizoingizwa UG kwa mwaka 2023/24 kufika...
  15. N

    Harsh tweet from a Daily Mirror journalist about Ugandans living in Cornwall, UK.

    He also shared a speech below from President Museveni in order to substantiate his assertions
  16. Lord denning

    Tungekuwa na Baraza la Mawaziri sharp na smart tungekuwa tunaipeleka SGR Uganda kwa focus ya kuifikisha Sudan Kusini na Afrika ya Kati

    Dunia hailali. Kila siku watu wanaumiza vichwa vyao wafanyaje kukamata fursa ili kuwa na maendeleo makubwa kiuchumi. Kenya anapambana akamate soko la mizigo la Uganda, Sudani Kusini , Ethiopia na baade Afrika ya Kati kupitia Sudani Kusini. (Kupitia mpango wao wa The Northen Corridor) Wiki hii...
  17. Tlaatlaah

    GEN.MUHOZI KAINERUGABA KUIONGOZA UGANDA KISASA BAADA YA RAIS MUSEVEN KUNG'ATUKA

    kuna kila dalili mikoba ya uongozi wa juu wa chama na serikali ya Taifa la Uganda kukabidhiwa kwa Gen.Muhozi kainerugaba, mtoto wa Rais wa sasa wa Uganda Yoweri Kaguta Mseveni.. malezi na makuzi yake, karibu maisha yake yote, amekulia kwenye korido za ikulu, jeshini na wakati fulani uraiani...
  18. covid 19

    nimefatilia maandamano ya kenya nataka niwaambie ni swala la muda tu hiki kinachotokea Kenya kitaambukizwa Tanzania, Uganda, na nchi nyingine jirani

    ukingalia kwa makini haya maandamano sio kama hao watoto wanareject hiyo financial bill au politics issue la hasha unaona ni maandamano ya mapinduzi ya kimfumo hawa vijana wanataka serikali ya kenya iendeshwe kileo na hili ni kutoka na viongozi wengi wa africa kutowatilia maanani vijana wadogo...
  19. B

    Katiba Mpya imefanya Mapinduzi ya Kiuchumi, Kenya imezipiku Mapato ya Tanzania, Uganda na Rwanda kwa Pamoja

    Kanuni ni zile zile kwenye uchumi na hata kwenye maisha ya kawaida. Ili ujenge uchumi wako mfukoni unahitaji kukusanya mapato, kubajeti matumizi na kidhibiti upotevu na matumizi holela ya Fedha zako mwenyewe. Kwenye upande wa kudhibiti matumizi na kuhakikisha hakuna ukwepaji wa kodi, upotevi...
Back
Top Bottom