This is sad,
Miaka 18 hata Advance hajamaliza...au ndio anamaliza...
Haya ni maamuzi ya kukurupuka, una uhakika huyu 'mtoto' yuko kwenye 'ajira'rasmi?
Sana sana utawashawishi watoto wasifocus na shule waingie mtaani kutafuta ajira, unskilled jobs.
Huwezi ukafanya mambo( kodi) kama nchi...