ujinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

    Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake. Mimi mwenyewe ni Mfanyabiashara na Mwanasiasa pia, kwahiyo si ajabu mtu mwingine kufanya biashara. Bali kikubwa ni biashara...
  2. matunduizi

    Ukweli mchungu: Adui wa taifa sio Ujinga, umasikini na maradhi, bali ni ni lishe

    Aliyebuni kula liugali kubwa na kamboga kadoko au wali lumbesa na tumaharage kidogo ndio katufikisha hapa. Tunakula ili tujaze tumbo sio kushibisha seli hai kwa virutubisho jengefu. Watu wengi tunashiba tumboni lakini seli za ubongo na za maamuzi ya msingi zinalala njaa kila siku. Matokeo yake...
  3. D

    EWURA inatia aibu kufungia vituo vya mafuta visivyouza

    Habari Wananchi Ifahamike kwamba Siyo jukumu la serikali kulazimisha kuuza! Ewura kama mdhibiti mkuu anatakiwa afanye kazi kisomi siyo kikoloni! Ifahamike Ewura hana shea yoyote kwenye mitaji ya wafanyabiashara ya mafuta: Wakati mfanyabiashara anatafta mtaji huwa peke yake, Anapotafta eneo...
  4. Pang Fung Mi

    Nimekumbuka Mikasa ya Calculus, Algebra na Trigonometry nimewaza kama nilisomea ujinga bila sababu za msingi

    Hello JF, Baada ya uchovu wa mishe fupi za Leo, nikiwa nimepitiwa na usingizi ndani ya matako ya mjapani nikawaza msoto wa kufundishwa ujinga Calculus Algebra na Trigonometry, plus econometrics kwenye uchumi, nikawa nafananisha kazi niliotoka kuifanya na pesa nilizopata na aina ya msoto wa hizo...
  5. Kiplayer

    Siungi Mkono Kujengea makaburi

    Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo. Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa.
  6. lee Vladimir cleef

    Niger ni kipimo kingine cha ujinga wa binadamu

    Vita huja kwa ajili ya kuokoa wengi wasijeumizwa na wengine,majeshi yapo kwa ajili ya ulinzi wa mataifa Yao ili yasivamiwe na wakorodi. Ingawa Ni kweli, toka zamani vita zilitumika kuleta usawa pasipokua na usawa,kuleta haki pasipokua na haki,lkn ni vema kutatmini madhara na faida ya vita...
  7. bongo dili

    Kiwango cha ujinga kimeongezeka sana Afrika, chanzo ni mitandao ya kijamii

    Ujio wa social media vijana wa Africa wanautumia in negative way tofaut na vijana wa mataifa mengine ili kupiga hatua za kimaendeleo. Yanayoendelea kwenye media hayana uhai kwa kesho ya Africa. Watu mengi ni uharibifu na uchafu tu wa akili kujaza saver ya akili uchafu tu ambao haujengi fikra...
  8. Ndondombi Mulin

    Mwanaume, unachopaswa kufanya ukiwa kwenye Mgogoro wa ulezi wa Watoto na Mwanamke

    Mwanaume, NDOA ikishafeli, na Wakati tu mgogoro wa kugombania watoto utapoanza na wewe ukakomaa nao, hapo kaa ukijua tayari umeshindwa kabla hujaanza. Yaani hapo Mwanamke tayari anakuwa amekushinda. Mkienda Mahakamani, utashindwa. Ukienda Kanisani, huko pia utashindwa. Ukienda Ustawi wa...
  9. Nsanzagee

    Umasikini ni wetu na ujinga pia. Tutatokaje?

    Kwanza, kijana uliyeing'ang'ania CCM kwangu mimi nakuona ndiyo mjinga wa kwanza nchini na unapaswa kuwajibika kwa kila machozi ya walalahoi wote nchini na mateso yote nchi inayoyapitia! Unakuwa CCM? Kwani wewe ni jini usiye na huruma na watu? Leo hii nchi inalipishwa mabilioni kwa mabilioni...
  10. Nyani Ngabu

    Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

    Kichwa cha mada kinajielezea. Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity]. Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa. Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku. Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge. Rais Samia katoa mabilioni huku na kule. Watu ambao mtu...
  11. Hance Mtanashati

    Boxing ni mchezo wa hatari, huku watu hawafagilii ujinga kama kwenye michezo mingine

    Kuna hii tabia iliyopo kwenye boxing, huku kwenye boxing watu watakushabikia ukiwa unashinda tu, ukipigwa imekula kwako. Kwenye boxing shinda hata mapambano 100, ila kaa ukijua siku ukijichanganya ukapigwa basi tegemea kupoteza mashabiki zako zaidi ya 85%. Ukipigwa tena pambano linalofuata basi...
  12. K

    Nay wa Mitego na Ukweli mchungu dhidi ya serikali ya Rais Samia na CCM yao

    Msanii huyu huenda akatekwa ama akafanyiwa figisu kubwa, ukweli daima amekua sauti ya walalahoi kwa muda mrefu, hata enzi za Magufuli hakufunga mdomo, alipaza sauti. Ney wa Mitego, amerudi tena na ukweli mchungu, mtegee sikio kwa dakika 5 ameongea mengi ambayo hakuna kiongozi atafurahia maana...
  13. FaizaFoxy

    Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu

    Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti. Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa. Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...
  14. mtwa mkulu

    Nani Ananufaika na kuwafundisha watanzania ujinga?

    Wakuu heshima kwenu. Ukiangalia sura ya elimu ya taifa letu inatia kinyaa. Wanafunzi wanafundishwa juu juu sana na eti sera ya elimu inalazimisha wafaulu kwa wingi. Lugha ya kufundishia ni kiswahili. Hakuna mkazo wa kusoma science kwa undani na utafiti. Hakuna bidii ya kina kuwafananisha...
  15. M

    Waziri Aweso na Mkurugenzi Mkuu DAWASCO tusaidieni wakazi wa Mbezi

    Waziri wa Maji pamoja na Mkurugenzi mkuu wa DAWASCO tunaomba mtukwamue sisi wakazi wa Mbezi hasa Mpiji, Msumi na Msakuzi ambao DAWASCO na wafanyabiashara wa magari ya maji wamekuwa wanatupa mateso sana. Ni dhahiri kutokana na watendaji wa DAWASCO na wafanyabiashara inaonekana hawataki kabisa...
  16. GoldDhahabu

    Kama ni ujinga, huu imeizidi kiwango

    Ni tukio la kusikitisha sana. Limetokea katika Kitongoji cha Bombani, kijiji cha Dumila Mkoani Morogoro. Kwa mujibu wa watoa taarifa, mwili wa mtu aliyedaiwa kufa kifo cha ghafla, ulionekana ukitoka jasho na mapigo ya moyo kupiga kwa mbali. Waliotaka daktari aitwe aje athibitishe kama kweli...
  17. Justine Marack

    Visit Tanzania- Wanasimba hatutaki tena huo ujinga

    Viongozi wa Simba kama mnakua na mambo yenu binafsi ya kujipendekeza, basi ingieni kwenye Siasa. Msilete Uchawa wa kijingajinga kwenye timu yetu. Msimu uliopita mlijifanya Wazalendo sana mkaacha kumtafuta wadhamini kimataifa Bali mkataka kuonekana wazalendo uchwara. Mkaandika Visit Tanzania...
  18. masopakyindi

    Sasa najiuliza, hoja alizo ibua Karume zimejibiwa?

    CCM lazima ibadilike. CCM lazima iende na wakati. CCM isijifikirie kuwa wao ndio wana akili kuliko wengine wote, hasa walio madarakani. CCM ikubali na iunde utarstibu wa kuvumilia kukodolewa ndani na nje ya chama. Picha inayojitokeza ni uongozi wa CCM kutojiamini na kushindwa kujibu hoja...
  19. Mr Why

    Kupunguza viwango vya ufaulu wa masomo huzalisha ujinga katika Taifa

    Madhara ya kupunguza viwango vya ufaulu wa masomo huzalisha ujinga mkubwa katika Taifa. Elimu ni jambo la kupewa kipaumbele katika Taifa kwasababu inaondoa ujinga na kuleta maarifa. Yapo mataifa mengi yanayotilia mkazo swala la Elimu hata yameamua kupandisha viwango vya ufaulu badala ya...
  20. Huihui2

    Live Clouds TV: Ujinga wa Watanzania kwa Pastor Eubert Angel

    Kinachoendelea Clouds TV kutoka Leaders club ni aibu tupu. Pastor Mzimbabwe anayeishi London anawaburuza kama kawaida yao. Nawakunbusha kidogo utapeli wake wa zamani hapa. Kama alivyo prophet Alfa Lukaku, mzaire , nani ya Johannesburg. Alifanya muujiza wa kumfufua mtu. Aliyejifanya kafa...
Back
Top Bottom