Kikosi kidogo cha askari wa Ukraine hivi karibuni kilifanikiwa kuvuka mto Dnipro oblast ya Kherson kutoka upande wa Magharibi na kuingia Mashariki ambako ndiko ziliko ngome za jeshi la Urusi tangu walipoamua kuachia eneo hilo la mashariki ambalo halina umuhimu kwao kiulinzi.
Kikosi hicho...
Haya wadau,
White House warns it is running out of money to help Ukraine fight its war with Russia
The White House has warned that the US is running out of time and money to help Ukraine fight its war with Russia. The White House budget director, Shalanda Young, issued the warning in a letter to...
Vita ya Russia na Ukraine bado inaendelea au wameamua kupumzika ili kufutilia vita ya Israel na Palestina?
Hata vyombo vya habari vime-base zaidi kureport matukio ya Israel na Palestina utadhani vita ya Russia na Ukraine imeisha.
Au wanaviziana?
Mungu wa rehema awasaidie kurejesha amani kwa...
Asee huko Gaza kuna rundo la vifusi na skrepa za vifaru, hamasi wanavibomoa sana. Kwanini media za kimagharibi hazitangazi kama zilivyotangaza vya Urusi kule Ukraine?
https://youtu.be/GQ3eDg-UShA?si=8sJ9o-FJ0o_VcZ42
Hata vifo vya Waisraeli ni vingi mno, kama Israel iliweza kushinda waarabu...
Kama ilivyotabiriwa hapo mwanzo kuwa Ukraine haitoweza kuendeleza vita na Urusi baada ya muda si mrefu.
Hali hiyo sasa imefika wakati wake ambapo vijana waliotarajiwa kujiunga na jeshi sasa wanakimbia kwa mbinu zote kuelekea mataifa ya nje.hasa Moldova, Poland na Hungary.
Baada kuona wakipita...
Azov Brigade ya Ukraine inatambuliwa na ulimwengu wa magharibi kama mashujaa walinzi wa Ukraine ila Hamas wana tambulika kama kundi la kigaidi kutoka Palestine.
Ulimwengu wa Kimagharibi wakiamua kinyesi kiwe chakula wanaamua tu na ukiwa muunga tela watakulisha nawe utaona utamu wake.
Dunia hii...
Wafuatiliaji wa vita watakumbuka kule Ukraine siku jeshi la Zelensky lilipotangaza kifo cha kamanda wa jeshi la wanamaji wa Urusi,general SOKOLOV halafu siku ya tatu yake akaonekana yuko hai kwenye kikao akifuatilia mada ya mkutanoni.Kwa butwaa Ukraine ikasema ilikuwa ni picha yake kutoka chumba...
A Ukrainian major has died after he was accidentally blown up by a grenade given to him as a birthday present.
Hennady Chastyakov was killed as he showed the gift to his teenage son at home on Monday, officials said.
It was initially thought that the 39-year-old had been killed by a...
Tanguj vita vianze baina ya Ukraine na Urusi kumekuwepo na lawama kutoka Ukraine kuwa kutofanikiwa kwa zoezi la kurudisha mapigo ya Urusi kikamilifu ni kutokana na kutopatiwa silaha muhimu walizokuwa wakiziomba.
Hali sasa imebadilika ambapo afisa mmoja na mshauri wa karibu wa raisi Zelensky wa...
Jameni tusisahau Urusi bado inapokea kichapo....
Ukraine destroyed six Russian Su-25 fighter jets in the Tavriya sector of the front in October, the Tavriya Defense Forces’ spokesman, Colonel Oleksandr Shtupun, said on national television on Oct. 30.
"As you can see, they do not feel safe,”...
Msanii Mrisho Mpoto amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kutumia ukali kufikisha ujumbe kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu mbele ya Rais Samia na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kupokea Ripoti ya Utafiti wa Afya ya uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria na Ugawaji wa Magari ya kubebea wagonjwa...
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ, limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979, jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile...
Kumekucha hatimaye mzigo wa ATACMS Umefika uwanja wa mapambano....wako wap waliosema USA hawezi kupeleka ATACMS Ukraine?
Long-range guided missiles that were secretly shipped to Kyiv hit military assets in occupied regions.
Ukraine has used long-range US ATACMS missiles that were secretly...
1. Vita ya Ukraine na Russia ilianza February 2022, vita kati ya Israel na Palestina/Gaza imeanza October 2023. Vita kati ya Russia na Ukraine iliamza baada ya Russia kuituhumu Ukraine kwa uchokozi na vita kati ya Israel na Palestina imeanza baada ya Israel kuituhumu Palestina kwa uchokozi na...
Wazungu wanajua kucheza na akili za watu duniani, yaani wanaunda matatizo wenyewe ili kufunika matatizo mengine.
Kuanzia mwaka 2019 dunia nzima kulitokea janga la Corona virus🦠😷 watu akili na masikio havikutaka kuona wala kusikia chochote tofauti na habari ya Corona na walifanikiwa kupitia...
Mambo mengi, muda mchache ila tunaleta zote.
=========
RUSSIAN PATROL VESSEL PAVEL DERZHAVIN. PHOTO: RIA NOVOSTI
On 11 October, the Pavel Derzhavin, a patrol vessel of Russia's Black Sea Fleet was damaged in the Black Sea near occupied Sevastopol.
Source: Captain 3rd Rank Dmytro...
Jameni $300B sio hela ndogo, ni ndefu kinoma yaani itabidi uunganishe uchumi wa Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, DRC na bado ubaki na salio....
============
The US and European partners are studying the legal basis for using about US$300 billion of frozen Russian assets to restore Ukraine...
Watoto wa mjini wamedukua email ya mkuu na alivyokua mjinga alitumia email yake kuwasiliana hata kwenye baadhi ya mambo muhimu na nyeti yakiwemo mikakati na hata madudu waliyoyafanya....
==================
ROMAN ERSHOV. PHOTO: NATIONAL RESISTANCE CENTER
Ukrainian activists from the Cyber...
Hizi risasi zitasaidia pakubwa kwenye mapambano dhidi ya mvamizi Urusi.
==============
Ukraine has been given the opportunity to replenish military supplies with confiscated ammunition from Iran thanks to a US operation last December.
The move comes amid warnings from Ukraine's Western allies...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.