ukraine

  1. Webabu

    Kuna askari wa Ukraine walivuka mto Dnipro waliko warusi halafu wakacheka kwa upumbavu wao

    Kikosi kidogo cha askari wa Ukraine hivi karibuni kilifanikiwa kuvuka mto Dnipro oblast ya Kherson kutoka upande wa Magharibi na kuingia Mashariki ambako ndiko ziliko ngome za jeshi la Urusi tangu walipoamua kuachia eneo hilo la mashariki ambalo halina umuhimu kwao kiulinzi. Kikosi hicho...
  2. Kanjwinjwi

    Marekani yaelekea kufilisika kisa Vita ya Ukraine

    Haya wadau, White House warns it is running out of money to help Ukraine fight its war with Russia The White House has warned that the US is running out of time and money to help Ukraine fight its war with Russia. The White House budget director, Shalanda Young, issued the warning in a letter to...
  3. King Jody

    Vita ya Israel Vs Palestina Imeifunika kabisa Russia Vs Ukraine

    Vita ya Russia na Ukraine bado inaendelea au wameamua kupumzika ili kufutilia vita ya Israel na Palestina? Hata vyombo vya habari vime-base zaidi kureport matukio ya Israel na Palestina utadhani vita ya Russia na Ukraine imeisha. Au wanaviziana? Mungu wa rehema awasaidie kurejesha amani kwa...
  4. 2019

    Karne hii vifaru basi, huko Gaza vinabomolewa kuliko Ukraine

    Asee huko Gaza kuna rundo la vifusi na skrepa za vifaru, hamasi wanavibomoa sana. Kwanini media za kimagharibi hazitangazi kama zilivyotangaza vya Urusi kule Ukraine? https://youtu.be/GQ3eDg-UShA?si=8sJ9o-FJ0o_VcZ42 Hata vifo vya Waisraeli ni vingi mno, kama Israel iliweza kushinda waarabu...
  5. Webabu

    Vijana wa Ukraine wakimbia usajili katika jeshi na hawakamitiki tena

    Kama ilivyotabiriwa hapo mwanzo kuwa Ukraine haitoweza kuendeleza vita na Urusi baada ya muda si mrefu. Hali hiyo sasa imefika wakati wake ambapo vijana waliotarajiwa kujiunga na jeshi sasa wanakimbia kwa mbinu zote kuelekea mataifa ya nje.hasa Moldova, Poland na Hungary. Baada kuona wakipita...
  6. Mto Songwe

    Azov Brigade, Magharibi wanakuendesha vile wanavyotaka wao kuwa makini

    Azov Brigade ya Ukraine inatambuliwa na ulimwengu wa magharibi kama mashujaa walinzi wa Ukraine ila Hamas wana tambulika kama kundi la kigaidi kutoka Palestine. Ulimwengu wa Kimagharibi wakiamua kinyesi kiwe chakula wanaamua tu na ukiwa muunga tela watakulisha nawe utaona utamu wake. Dunia hii...
  7. Webabu

    Ya Ukraine yametokea na Gaza.Kamanda aliyekufa tangu 2014 apatikana hai akiongoza mapambano.

    Wafuatiliaji wa vita watakumbuka kule Ukraine siku jeshi la Zelensky lilipotangaza kifo cha kamanda wa jeshi la wanamaji wa Urusi,general SOKOLOV halafu siku ya tatu yake akaonekana yuko hai kwenye kikao akifuatilia mada ya mkutanoni.Kwa butwaa Ukraine ikasema ilikuwa ni picha yake kutoka chumba...
  8. BARD AI

    Meja wa Jeshi la Ukraine afariki kwa kuripukiwa na Bomu alilopewa kama zawadi ya 'Birthday' yake

    A Ukrainian major has died after he was accidentally blown up by a grenade given to him as a birthday present.⁠ ⁠ Hennady Chastyakov was killed as he showed the gift to his teenage son at home on Monday, officials said.⁠ ⁠ It was initially thought that the 39-year-old had been killed by a...
  9. Jidu La Mabambasi

    Tulikuwa na biashara nzuri tu na Ukraine!

    Tukubali tu kuwa miaka minne hivi iliyopita tulikuwa na biashara nzuri tu na Ukrsine. Nondo za ujenzi zenye ubora zote zilitoka Ukraine.
  10. Webabu

    Ukraine yasema imeishiwa na wapiganaji. Hata silaha walizopokea kutoka US hakuna wa kuzitumia

    Tanguj vita vianze baina ya Ukraine na Urusi kumekuwepo na lawama kutoka Ukraine kuwa kutofanikiwa kwa zoezi la kurudisha mapigo ya Urusi kikamilifu ni kutokana na kutopatiwa silaha muhimu walizokuwa wakiziomba. Hali sasa imebadilika ambapo afisa mmoja na mshauri wa karibu wa raisi Zelensky wa...
  11. MK254

    Urusi bado inapokea kichapo, Ukraine yalipua ndege sita za Urusi za aina ya SU-25

    Jameni tusisahau Urusi bado inapokea kichapo.... Ukraine destroyed six Russian Su-25 fighter jets in the Tavriya sector of the front in October, the Tavriya Defense Forces’ spokesman, Colonel Oleksandr Shtupun, said on national television on Oct. 30. "As you can see, they do not feel safe,”...
  12. Cannabis

    Mrisho Mpoto ageuka mbogo, amdai Waziri wa Afya magari ya kubebea wagonjwa bila visingizio vya Covid ama vita vya Ukraine

    Msanii Mrisho Mpoto amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kutumia ukali kufikisha ujumbe kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu mbele ya Rais Samia na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kupokea Ripoti ya Utafiti wa Afya ya uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria na Ugawaji wa Magari ya kubebea wagonjwa...
  13. Jidu La Mabambasi

    Jeshi letu lijifunze kutokana na vita ya Ukraine na sasa huko Israel/Hamas

    Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ, limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi. Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979, jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera. Kimsingi baada ya vita ile...
  14. MT255

    Ukraine strikes Russian forces with US-made ATACMS for first time

    Kumekucha hatimaye mzigo wa ATACMS Umefika uwanja wa mapambano....wako wap waliosema USA hawezi kupeleka ATACMS Ukraine? Long-range guided missiles that were secretly shipped to Kyiv hit military assets in occupied regions. Ukraine has used long-range US ATACMS missiles that were secretly...
  15. The Assassin

    Angalia tofauti ya vita ya Ukraine na Russia na Israel na Palestina

    1. Vita ya Ukraine na Russia ilianza February 2022, vita kati ya Israel na Palestina/Gaza imeanza October 2023. Vita kati ya Russia na Ukraine iliamza baada ya Russia kuituhumu Ukraine kwa uchokozi na vita kati ya Israel na Palestina imeanza baada ya Israel kuituhumu Palestina kwa uchokozi na...
  16. Konseli Mkuu Andrew

    Vita ya Palestina na Israel imekuja kuifunika suala la Urusi na Ukraine kwa makusudi

    Wazungu wanajua kucheza na akili za watu duniani, yaani wanaunda matatizo wenyewe ili kufunika matatizo mengine. Kuanzia mwaka 2019 dunia nzima kulitokea janga la Corona virus🦠😷 watu akili na masikio havikutaka kuona wala kusikia chochote tofauti na habari ya Corona na walifanikiwa kupitia...
  17. MK254

    Meli ya doria ya Urusi yapigwa bomu na Ukraine

    Mambo mengi, muda mchache ila tunaleta zote. ========= RUSSIAN PATROL VESSEL PAVEL DERZHAVIN. PHOTO: RIA NOVOSTI On 11 October, the Pavel Derzhavin, a patrol vessel of Russia's Black Sea Fleet was damaged in the Black Sea near occupied Sevastopol. Source: Captain 3rd Rank Dmytro...
  18. MK254

    Mabilioni ya Urusi yaliyotaifishwa kupelekwa Ukraine, yaani $300 billions

    Jameni $300B sio hela ndogo, ni ndefu kinoma yaani itabidi uunganishe uchumi wa Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, DRC na bado ubaki na salio.... ============ The US and European partners are studying the legal basis for using about US$300 billion of frozen Russian assets to restore Ukraine...
  19. MK254

    Wajuba wa Ukraine wadukua email ya mkuu wa majeshi wa Urusi na kuanika madudu mengi tu

    Watoto wa mjini wamedukua email ya mkuu na alivyokua mjinga alitumia email yake kuwasiliana hata kwenye baadhi ya mambo muhimu na nyeti yakiwemo mikakati na hata madudu waliyoyafanya.... ================== ROMAN ERSHOV. PHOTO: NATIONAL RESISTANCE CENTER Ukrainian activists from the Cyber...
  20. MK254

    Marekani yaipa Ukraine risasi milioni moja walizonyang'anya Iran

    Hizi risasi zitasaidia pakubwa kwenye mapambano dhidi ya mvamizi Urusi. ============== Ukraine has been given the opportunity to replenish military supplies with confiscated ammunition from Iran thanks to a US operation last December. The move comes amid warnings from Ukraine's Western allies...
Back
Top Bottom