Habari za uhakika na kupendeza uharifu sasa umepungua na waharifu wamegeuka kuwa watakatifu. ni baada ya waharifu kufikishwa mahakamani na kupewa chaguo la kujiunga na jeshi na kupelekwa Ukraine tena front line . Tutarajie vita ikiisha Ukraine Russia patakuwa paradiso.
Naam, unaweza kudhani ni mzaha lakini ndivyo ilivyo.
Mwaka huu viongozi wengi wa ngazi za juu kutoka Ulaya na Wanadiplomasia mbalimbali wamekua wakipishana huko District of Columbia (Washington), Arlington-Virginia na New York wakipishana milango ya White House, Makao maku ya Republicans...
Ukraine na Palestina wote wako katika vita vya muda mrefu dhidi ya mataifa makubwa yenye nguvu na yanayopigana vita kwa ukatili mkubwa sana.
Kati ya hawa wawili nani angalau ana ishara ya kumshinda adui yake na kupata haki yake anayoidai au angalau kupata hata makubaliano ya amani yenye...
Unaweza kushangaa kwa nini taarifa za askari wa Korea ya Kaskazini kuhusika kwenye vita upande wa urusi zimemshtua sana Korea ya kusini!!
po hivi : Kama korea ya kaskazini inamsaidia urusi maana yake ni kwamba pia ikizuka vita kati ya korea ya kusini na korea ya kaskazini urusi watawasaidia...
Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi ya Jamhuri ya Korea imetoa picha za satelaiti zinazodaiwa kuwaonyesha wanajeshi wa DPRK katika uwanja wa mazoezi wa Sergeevka huko Primorsky Krai, karibu na Vladivostok, na katika kituo cha kijeshi huko Khabarovsk.
Inadaiwa kuwa vikosi vya ziada vya DPRK vimewekwa...
Wanaume waliokwepa kujiunga na programu ya Jeshi na kwenda klabu kula bata huko Ukraine wamekutana nacho baada ya Jeshi la Nchi hiyo kuanzisha msako wa kuwakamata Wanaume wote waliokwepa programu hiyo kwenye kumbi za starehe, matamasha ya Muziki, sehemu za manunuzi, migahawa na maeneo ya Umma...
Wakuu,
Kichwa cha thread chahusika.
Yaani ukijifanya kuwa mfuatiliaji sana wa kinachojiri huko kwa wenzetu unaweza pata wasiwasi na kuhisi dunia itafikia mwisho usiku wa leo. Kumbe maisha yapo tu na yataendelea kuwepo sana.
Mwanzoni wakati nasikia Russia ikiwapiga beat Ukraine pamoja na...
Ukraine imetumia ndege zake zisizo na rubani kutekeleza msururu wa mashambulizi kwenye maghala muhimu ya silaha za Urusi mwezi huu, na kusababisha uharibifu mkubwa katika maeneo hayo na kuharibu tani za silaha ambazo ni muhimu kusaidia mashine ya vita ya Moscow.
Mashambulizi hayo yamesisitiza...
Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amekutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy katika jengo la Trump Tower huko New York mapema Ijumaa wiki hii na amemuahidi kumaliza haraka vita kati ya Urusi na Ukraine ikiwa atashinda kiti cha Urais wa Marekani.
“Tuna uhusiano mzuri sana na pia...
Vita vya Urusi na Ukraine na vile vya Israel na wapalestina pamoja na rafiki zao vinazidi kuikamua Marekani na kuipokonya ile sifa yao ya kuwa taifa kubwa.
Imeelezwa kuwa karibuni hivi nchi hiyo itaidhinisha kwa mara nyengine kiasi kikubwa cha msaada wa kijeshi kwa Ukraine.Hata hivyo msaada huo...
Ryan Wesley Routh: Picha na Reuters.
Shirika la upelelezi la FBI laendelea na uchunguzi wa jaribio la kumuua mgombea wa kiti cha uraisi wa Marekani bwana Donald Trump katika viwanja vya mchezo wa golf vya Trump internation Golf Course.
Mtu aliejaribu kumuua bwana Trump ametambuliwa kwa jina la...
Askari kadhaa wa Ukraine wameonesha dalili za wazi za kujuta na kulaumu uamuzi wa kupelekwa huko wakati wakianza kuzingirwa na majeshi ya Urusi.
Kwa mujibu wa askari hao ambao hata majina yao hawakupenda kuwekwa hadharani ni kuwa maangamizi kwao yalianza tangu siku ya mwanzo ya jaribio lao na...
Wakati Ukraine ikikumbwa na hamas za chini kabisa katika vita na upungufu wa askari na silaha,imeelezwa wapiganaji kutoka Chenchnya wamefanikiwa kuwasukuma nyuma wapiganaji wa Ukraine waliojipenyeza ndani ya mipaka ya Urusi mwezi uliopita.
Habari hizo zinakwenda sambamba na taarifa ya jeshi la...
Baada ya shambulio kali la Urusi kuua idadi kubwa ya askari kuruta wa Ukraine kwenye jimbo la Donest,leo raisi Putin wa Urusi ameweka wazi kuwa wamekuwa wakisonga mbele kwa kasi kuelekea kushika miji muhimu ya Donbas kutokana na kutokuwepo kwa upinzani wa askari wa Ukraine.
Wiki tatu zilizopita...
Zaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia
Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600...
Jeshi la Ukraine lilidai siku ya Jumatano kuiangusha ndege ya kivita ya Urusi mashariki mwa Ukraine huku Urusi ikizidisha kulipiza kisasi katika eneo la mashariki linalokaliwa na Ukraine muda mfupi baada ya Kyiv kuteketeza ghala jingine la mafuta la Urusi katika shambulio la ndani kabisa la...
Katika kile kinachoonekana kuchoshwa na tabia ya mataifa ya Nato ya kuinyima haki ya kushambulia ndani ya Russia kwa kutumia silaha zao za misaada, hatimaye Ukraine imefanikiwa kuweza kutengeneza makombora yake yenyewe yenye uwezo wa kushambulia ndani kabisa ya Russia.
Ukraine imetoa picha za...
Ukraine Yasema Imejaribu Kombora Jipya la Ndani
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kuwa nchi yake imefanikiwa kufanya jaribio la kwanza la kombora jipya lililotengenezwa ndani ya nchi. Ukraine inajulikana kuwa na angalau kombora moja la masafa mafupi, Hrim-2, ambalo lipo katika hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.