Historia ni kumbukumbu ya mambo au matukio yaliyopita haijalishi ni mema au mabaya.
Mtu binafsi, familia, ukoo, kabila, kampuni, taasisi, dhehebu, shule, chuo, wilaya, mkoa, kijiji n.k ina/ana/una/kina/linatakiwa kuwa na kumbukumbu au historia ya maandishi, picha na vitu mbalimbali.
Historia...