usafiri

  1. May Day

    Mamlaka simamieni vizuri huduma za usafiri, kuna 'uhuni' mwingi sana kule

    Siku chache zilizopita nimetumia muda mwingi barabarani nikitumia usafiri wa Mabasi yanayofanya safari kati ya Dar Es Salaama na Arusha. Hakika kuna mengi nimeshuhudia yanayokera mpaka unajiuliza ziko wapi Mamlaka zinazotakiwa kusimamia na kutoa miongozo, ina mana hawaoni haya? Kati ya mambo...
  2. B

    Huku mnakoita Town magari machache sana kuna vyombo vya Usafiri tu

    Nimerudi siku chache zilizopita toka UK, nikaenda USA, nikapitia Canada, Egypt, China, Russia, Morocco na Saud Arabia kuna jamaa zangu walinialika kula sikukuu huko. Wadau hivi yale maziwa ya Camel mnawezaje kunywa? Mimi yalinishinda kabisa. Nyama yake huwa nakula mishkaki mara moja moja. Leo...
  3. ommytk

    Shida ya usafiri leo Kigamboni baada ya daladala kugoma

    Leo tumeamka na siku mpya huku Kigamboni daladala zimegoma ni mwendo wa Bajaj kila kituo buku mpaka buku mbili. Sijui wenzetu huko mlipo hali ikoje.
  4. M

    Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

    Wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan wametenda kosa kubwa sana kwa kutokumshauri Rais kuwa huu haukuwa muda muafaka wa yeye kutembelea Marekani. Marekani Ina hasira na Nchi nyingi duniani kwa kutokuiunga mkono katika harakati zake za kuitenga Urusi katika jamii ya kimataifa. Tanzania tumeamua...
  5. luangalila

    Youtuber na Mdau wa Usafiri wa Anga SAM CHUI aponda Huduma za KQ

    Sam Chui ni mdau maarufu sana wa Safari za Anga jamaa amesafiri na mashirika ya ndege mbali mbali makubwa duniani. Ndani ya miezi hii miwili jamaa ame tembelea Rwandair + Kenya airways Jamaa ameonekana ameponda sana huduma za shirika la KQ kufuatia safari hake aliyo fanya kutokea Kenya...
  6. Analogia Malenga

    Marekani yatoa onyo jipya la usafiri wa Urusi

    Marekani imetoa onyo jipya la usafiri kwa Urusi ambayo inasema mamlaka "inaweza kuwatenga na kuwaweka kizuizini" Wamarekani nchini humo. Ikitaja uwezekano wa kuwanyanyasa raia wa Marekani, onyo hilo linarudia wito kwa Wamarekani kutosafiri kwenda Urusi au kuondoka "mara moja". Pia ilionya...
  7. K

    Serikali inashindwaje kupiga marufuku wapiga debe kwenye maeneo ya stendi za magari ya usafiri

    Wapiga debe ni watu wenye vurugu, watu wa kuwapotosha abiria, watu wa kuwaibia abiria, watu wanaofanya bei ya usafiri kuwa kubwa, ni watu wanaoleta kero. Najiuliza hivi Serikali mnashindwaje kupiga marufuku wapiga debe kutoka kwenye vituo vya usafiri?.
  8. BabaPrince

    Nina tatizo la usafiri toka Moshi kwenda Dodoma

    Nawasalimu wana jamii wenzangu. Nina tatizo la usafiri toka Moshi kwenda Dodoma. Kwa yeyote mwenye connection ya either Lori au gari yeyote ya kusafirisha mizigo ya nyumbani kama sofa, fridge vitanda nk. tafadhali nijulishe. Au ushauri wa njia bora mbadala ya kuhamisha mizigo pia nakaribisha...
  9. danmarc

    Ni wapi naweza pata usafiri wa fuso za kubeba mizigo yangu kutoka Singida hadi Mwanza, baada ya kuhamishwa kikazi

    Habari nimehamishwa KIKAZI kutoka mkoa wa singida kwenda mwanza , na ninauhitaj kuhama na vitu vyangu vyote kama meza ,vitanda ,sofa , TV ,friji NK , Naomba kujua Kwa wenyeji wa singida Mjini wapi naweza nikapata ma FUSO yatakayonibebea hivi vitu vyote Kwa pamoja kutoka hapo singida Hadi mwanza
  10. DeepPond

    Shemeji yangu ananilaumu sana kwenda kwake na Mchepuko Wangu

    Shemeji yang nnaemzungumzia ndie yule niliwai mzungumzia siku moja humu jf kwenye Huu Uzi.[emoji116] https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/41201873 Ni kwamba wiki mbili zilizopita alikuja kupata msiba wa mama ake mzazi uko mkoani. Sasa juzi nikiwa kwa Mchepuko Wangu mama J Akanambia...
  11. K

    Kweli usafiri wa Bolt ni poa sana ukiwa Dar es Salaam

    Nilibahatika kuja Dar es Salaam kwa safari ya kibinafsi na mojawapo la tatizo la Dar ni usafiri. Kwenye hoteli niliyofikia nikawauliza usafiri utakaonisaidia nikiwa Dar na wakanishauri nijiunge na bolt. Kwa kweli usafiri wa bolt ni poa sana. Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda...
  12. 6

    Inadaiwa abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini kwa siku kadhaa wakisubiri usafiri

    Kuna abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini tangu Jumatatu hadi leo wakisubiri usafiri na hakuna sababu za msingi zinazotolewa, watu wanaambiwa wasubiri. Sasa wasubiri hadi lini na mazingira ya kule ninyi mnayajua? Watu wana watoto wachanga kule, wahusika mko wapi...
  13. T

    UDART acheni kubweteka! Mnatoa huduma za usafiri kwa kuringa sana. Serikali iruhusu makampuni binafsi waingize mabasi ili kuchochea ushindani

    Kampuni ya usafirishaji katika jiji la Dar-es-Salaam (UDART) maarufu kama mwendokasi inatakiwa ijitathmini utendaji wake mara moja kwani huduma ya usafiri wa mabasi haya ni kero kwa wananchi. Madereva wakifika katika vituo vyao vikubwa (terminal) badala ya kupakia abiria waliojazana kwenye...
  14. John Haramba

    Serikali yapiga marufuku huduma ya usafiri ya Linkee

    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeipiga marufuku Linkee kutoa huduma ya taxi-mtandao kwa maelezo kuwa haina leseni ya kutoa huduma hiyo. Aidha, mamlaka hiyo imewaonya madereva watakaotumia huduma hiyo, huku pia wananchi wakiaswa kutoutumia.
  15. D

    Msaada: Usafiri wa treni ya abiria kwenda mikoa ya kaskazini 2022 ukoje?

    Wadau naomba kuuliza ratiba na nauli kwenda mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ikoje? Pia ushauri wa jumla kuhusu usafiri huu kwa Sasa. Thanks
  16. MBUTAIYO

    Usafiri wa bus Dar hadi Tunduma

    Habarini za asubuhi Wanajamvi, Kwa wale wa dar poleni na mvua ya asubuhi asubuhi. Naomba kuulizia usafiri wa bus safi na huduma bora toka Dar hadi Tunduma. Nina wageni wangu kutoka nje wanataka kusafiri kwenda Tundumba kwa bus.
  17. Sky Eclat

    Usafiri unakwamisha vijana wengi kujinasua kiuchumi.

    Nikiuliza bei ya kiroba cha mihogo sokoni niliambiwa ni 70,000-80,000. Inamaana ukiwa na heka tano za mihogo Kisarawe, na una van ndogo inayoweza kubeba viroba vinne kwa siku. Una uwezo wa kuingiza laki tatu kila siku ukipelela mihogo soko la ndizi asubuhi. Jioni unawapa vijana viroba...
  18. C

    Kwa Wanaohitaji usafiri wa Coster kesho asubuhi kwenda Dodoma na kurudi

    Kwa wanao hitaji usafiri wa kwenda Dodoma na coaster kesho asubuhi booking na sisi 0682373327, wahi mapema siti zipo chache.
  19. Kurunzi

    Nahitaji Usafiri wa IT kwenda Dodoma

    Nahitaji usafiri wa Gari za IT nahitaji niondoke saa 3 usiku na kufika Dodoma saa 12 asubuhi, kuna issue ya saa 2:30 Asante waugwana nimefanikiwa kupata Coster pale Mbezi nimeanza safari saa 4 usiku nikeingia Dom saa 11:00 Nimemalizana na jambo langu nipo njiani kurudi jijini Dar.
Back
Top Bottom