usafiri

  1. Chomo

    Wanaofikiria kuhusu uwepo wa Level Seat katika daladala sio watumiaji wa usafiri huu

    Wakuu, Kumekuwa na tetesi na minong'ono miingi siku za karibuni kuhusu utumiaji wa usafiri wa umma (daladala), abiria wapande level seat lakini nimesikia huko Dodoma agizo limeshatoka tayari. Turudi nyuma kidogo,ambapo mwaka jana tukiwa katika hali kama hiyo, ikumbukwe shule zilikua...
  2. Genecandy

    Naomba muongozo wa usafiri wa treni Mbeya - Dar es Salaam

    Heshima yenu wapendwa, Naomba msaada jmn Kwa wale walowahi kusafiri kwa tren; kwa mara ya kwanza nataka Kutumia usafiri wa tren Sasa sijui nianzie wapi niishie wapi kuanzia kwenye kukata tiketi;cjui madaraja yake; uzuri wake na changamoto zake pia ili nione kama naweza kumanage! Safari yenyewe...
  3. Sam Gidori

    Serikali kufunga vifaa vya kielektroniki kufuatilia nyendo za vyombo vyote vya usafiri

    Serikali ya Uganda imeingia mkataba na Kampuni ya Teknolojia ya Global Systems LLC ili kuweka vifaa vya kielektroniki (tracking devices) kwenye vyombo vyote vya usafiri nchini humo. Waziri wa Usalama wa nchi hiyo, Meja Jenerali Mstaafu Jim Muhwezi amethibitisha jana kuwa wamesaini mkataba wa...
  4. fasiliteta

    #COVID19 Hii tahadhari ya Corona haihusu Vyombo vya Usafiri?

    Ni wazi kwa sasa Tanzania imeungana na nchi nyingine katika kufata taratibu zinazoitwa za kuzuia maambukizi ya mlipuko wa corona wimbi la tatu katika jamii. Imekua ni week iliyoanza kwa tahadhari na inaendea kuisha ya matamko ya wimbi la tatu ya Janga hili la Covid-19 kuanzia kwa madaktari na...
  5. Kiume3000

    Kiongozi atakayefanya mapinduzi sekta ya usafirishaji atatukuzwa na wananchi wengi

    Eneo lilikosahaulika hapa nchini ni usafirishaji. Hali ni duni kwa Watanzania wengi tumeendelea kuamini kumiliki daladala ili kupata kipato jambo ambalo sio bali kuwatesa wanyonge. Eneo la usafirishaji wa umma (daladala, bodaboda, bajaji, taxi, meli na vivuko) kuna tatizo kubwa. Kwa mfano...
  6. Kurzweil

    Mamlaka za Usafiri Dar hazijali muda wa abiria

    Habari wanaJF, Hoja hii ni mahsusi kwa watumiaji wa usafiri wa Daladala wanaotumia Mabasi ya Mbezi - Kawe na Mbezi Makumbusho pia wale wa Makumbusho - Mbezi na Kawe - Mbezi. Angalieni huu mzunguko; Unatoka Mbezi/Kimara unasimama Taa za Ubungo, ukivuka unasimama tena taa za TCRA kisha unakunja...
  7. Kigoma Region Tanzania

    NGORONGOJO: Usafiri wa watoto mkoani Kigoma

    Ngorongojo ni usafiri uliokuwa ukitumika enzi za nyuma na hadi hivi sasa hapa mkoani Kigoma. Ngorongojo huundwa kwa miti migumu, hivyo mchakato wake wa utengenezaji unaanzia maporini ambapo ni lazima kwenda kutafuta miti migumu kwenye mapori. Ngorongojo ina mpini "kishikio" ambapo hutegemea...
  8. C

    Kero ya usafiri wa daladala Mloganzila

    Habarini wadau wote wa humu. Baada ya kusubiri kwa muda mrefu ili angalau wahusika waone hili tatizo,nimeona ni bora niwape taarifa maana naona bado watu wanaumia. Kabla ya kuzuiliwa Daladala kutoka nje ya mkoa wa Dsm kuingia mjini kati kulikuwa hakuna tatizo la kutoka na Kurudi...
  9. The Sheriff

    Rais Samia aongea na Wazee wa Dar: Aahidi kutojali vyama katika teuzi zake. Serikali kutunza Haki, Demokrasia, Uhuru wa Habari

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili Ukumbi wa Mlimani City kuongea na Wazee wa Dar es Salaam Tunakuletea updates hapa Mwenyekiti wa Wazee wa Dar, Salum Matimbwa Tumepata kadi za msamaha wa Bima, lakini Wazee hatupati baadhi ya vipimo na Dawa tukifika...
  10. KIMOMWEMOTORS

    Miliki usafiri wako kwa 7.9m

    Rahisisha shughuli zako kwa gari hii Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari Pichani ni Toyota Passo ya 2004 ikiwa nchini Japan yenye sifa zifuatazo Mwaka: 2004 Cc: 1300 (hii ni bora kuliko ile ya Cc 1000 Gia: Automatic Mafuta: Petrol Km: 47,000 Matumizi: Km 18 kwa lita Gharama zote...
  11. KIMOMWEMOTORS

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  12. Airmanula

    Msaada wa kampuni gani ya usafiri kutoka Dodoma kwenda Mbeya?

    Habari Husika na kichwa cha habari hapo juu, wadau wa kusafiri tushirikishane kampun gani ya basi zuri, either luxury au semi luxury ya kutoka Dodoma kwenda Mbeya. Asante.
  13. CalvinKimaro

    Watanzania wenzangu, biashara ya usafiri wa anga (ndege) sio kama Uber jamani

    Tunapoambiwa ATCL imepata hasara tusibeze sana. Kuna American Express na Delta Lines wanachungulia kaburi! Na Amar hapo UK British Airways imegubikwa madeni nusura izame! Tatizo lenu ni uzungu pori? Ni mashirika ya wenye mafuta kina EMIRATES, QATAR na wenzao Serikali zao zimenunua madeni...
  14. Victor Mlaki

    Mashirika mengi ya Usafiri wa anga katika Afrika yanajiendesha kwa hasara

    Na Victor Wilbard. Kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia inayohusiana na taarifa a kila mwaka za usafiri wa anga " World Bank Report; Air transport annual report" mwaka 2016 ilionesha kuwa usafiri wa anga unaohusisha hedge za abiria ukiendelea kufanya vizuri katika mataifa yaliyoendelea kwa...
  15. J

    Usalama wa Watoto kwenye vyombo vya usafiri

    Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO) Utumiaji wa viti maalumu vya watoto katika vyombo vya usafiri unaokoa maisha ya mtoto pindi ajali inapotokea kwa asilimia 75% Viti hivi vina nyenzo muhimu kwa ajili ya kulinda Usalama wa Mtoto anapokuwa kwenye gari kwasababu viti kawaida vya magari...
  16. unlucky

    Naomba kueleweshwa mambo kadhaa kuhusu usafiri wa treni

    Habari zenu ndugu zangu poleni na misukosuko ya hapa na pale. Naomba nijue kuhusu usafiri wa treni kwa Dar es salaam utaratibu unakuwaje mfano Dar kwenda Mwanza inakuwa bei gani na inachukua siku ngapi au masaa mangapi na je usafiri w treni ni salama na tiketi yake unakatia wapi manake sijawahi...
  17. EINSTEIN112

    Ushawahi kufedheheka (kupata dharura) ukiwa safarini kwenye usafiri wa umma?

    Kuna mambo mengi yanaweza kukutokea ukiwa safarini 1. Kutapika kwenye gari 2. kubanwa na tumbo la kuharisha 3. Kuachwa na gari wakati wa kuanza safari au wakati mmeshuka kupata chakula. 4. Mengineyo Mwaka flani nilikuwa natoka Morogoro kwenda Dar. kabla ya safari nakumbuka nlikula zile chapati...
  18. YEHODAYA

    Watanzania twendeni Congo tukawekeze Sekta ya Usafiri wa majini na mafuta

    Kila msaka fursa angalia hii clip uone mwenyewe fursa zilipo za biashara ya usafiri wa majini na mafuta Congo. Hizo baadhi tu lakini ukitizama hii Clip waweza gundua nyingi zaidi.
  19. Mr Geniuz Km

    Mimi ni dereva na fundi wa magari, natafuta kazi

    Mimi ni Dereva , mwenye leseni pia ni Mtaalam wa Matatizo ya Gari. Yeyote mwenye uhitaji wa Dereva wa Gari yake nipo Tayari kufanya nae kazi . Nna uzoefu wa miaka 8 wa udereva na uzoefu wa miaka 6 wa Matengenezo ya Magari . Taaluma zote mbili za Udereva na matengenezo ya Magari nimesoma...
  20. YEHODAYA

    Serikali ianze mikakati ya mito kutumika kwa usafiri wa umma na utalii

    Tanzania ina mito mingi tu lakini cha ajabu hatuitumii kwa usafiri kama mito mingi ya nchi za wenzetu zikiwemo jirani zetu Congo ambako watanzania waweza pia wekeza huko kwenye usafiri wa mito bado biashara ipo sana. Hapa ni boat meli ya mto kongo ya abiria sisi mito yetu inatiririka bure.
Back
Top Bottom