usafiri

  1. Stroke

    Kwa wale tunaohofia usafiri wa anga tukutane hapa

    Hakuna kitu kinatisha kama ndege inapoanza kupaa aisee. Yaani unaona tu majengo yalee kama viberiti. Nakumbuka kuna safari niliwahi kukacha kurudi na ndege nikapanda basi. Ile kitu acha tu.
  2. Matanga

    Adha kubwa tuipatayo abiria tunaosafiri na mabasi ya mikoani

    Serikali yetu hebu tusaidie wanyonge na hii tabia inazidi shamiri sna kwa wale ndg zetu wanao safiri mikoa ya mbali #Dar_to_mwnza, #Dar_to_mbya, #Dar_to_kgma, #Dar_to_Arusha kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa wanapaki mabasi yao sehemu ya...
  3. J

    Pamoja na mbwembwe zote LATRA hawajafikia ubora wa Scandinavia Bus sekta ya usafiri wa abiria!

    Nimejaribu kufuatilia kwa karibu maboresho yanayofanywa na LATRA kwenye sekta ya usafiri wa abiria lakini sijaona Jipya. Nikikumbuka kampuni yangu pendwa ya mabasi ya Scandinavia naona viwango walivyovifikia wakati wanafunga kampuni bado havijafikiwa na hawa Latra. Mambo ya online booking na...
  4. J

    Waziri Mkuu Majaliwa amezindua safari ya meli ya MV Mbeya II itakayotoa huduma katika Ziwa Nyasa nchini na nchi jirani za Msumbuji na Malawi

    Meli ya MV. Mbeya II ambayo imezinduliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Januari 5, 2021.i 20.1 ambazo zimetumika katika kujenga meli tatu ambazo kati yake mbili ni za mizigo MV Ruvuma na MV Njombe kwa thamani ya shilingi bilioni 11 na meli ya abiria na mizigo ya MV Mbeya ii kwa shilingi...
  5. luambo makiadi

    Krismasi yapamba moto Kilimanjaro. Magari, treni, ndege zafurika abiria

    Wakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuri
  6. Influenza

    Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

    Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.
  7. N

    Naomba ufafanuzi kuhusu usafiri Wa Meli/Boat: Unguja-Pemba-Unguja (28 & 29/12/2020)

    Heshima Kwenu Nyote Wakuu, Nilikuwa nataka namimi niende nikapaone Pemba tarehe tajwa hapo juu. Sasa naombeni muongozo kwenye mambo yafuatayo; 1. Je, naweza kutoka Unguja siku ya J3 tarehe 28/12/2020 (Jioni) na Kurudi (from Pemba to Unguja) siku ya J4 tarehe 29/12/2020 (Jioni)? 2. Je...
  8. Zekidon

    Haipendezi kwa Mwanaume kupanda usafiri wa Boda Boda

    Kwakweli haipendezi kabisa Mwanaume kukamatia boda boda. Mwanamke haina tatizo kabisa. Kwanza vile mnavyokaa tu, inatia mashaka, Bora bajaji au Tax kabisa.
  9. mwanachuo

    Malipo ya usafiri wakati wa kuanza kazi na kumaliza mkataba

    Niliajiriwa kwa mkataba wa mwaka mmoja na kampuni moja ya fedha . Hata hivyo nililipwa pesa ya mafunzo na nauli pekee nikitarajia kulipwa malipo ya kusafirisha mizigo na kujikimu lakini hawakufanya hivyo japo mkataba ulionesha naajiriwa kutoka Moshi kwenda Lindi, ingwa wakati wa kumaliza...
  10. Rusumo one

    Mgomo wa Vyombo vya Usafiri; Mabasi, Coaster na Hiace kati ya Uvinza na Kigoma

    Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza. Sisi wananchi wa Uvinza na viunga vyake tunaomba Serikali yetu tukufu iingilie kati suala la mgomo wa vyombo vya usafiri Kigoma-Uvinza toka juzi usafiri haupatikani tunashindwa kufanya shughuli za kimaendeleo ambazo zinatufanya kutoka kituo kimoja kwenda...
  11. Extrovert

    Car4Sale Nauza hii kwa ambao mnatafta usafiri

    Gari ni mpya Plate no. imetoka jana. SPECIFICATIONS: Make: Toyota Model: RunX Body Style: Hatchback Color: Sky Blue Odometer: 58,000km Transmission: Auto Bei ni 12.5m subjected to Negotiations.
  12. sinyora

    Kwa bajeti ya milioni 5, nitapata gari gani zuri kama chombo cha usafiri

    Wakuu poleni na hongereni kwa majukumu. Nisiwachoshe nimechoka na hekaheka za boda boda nina bajet ya mil 5 naweza kupata gari used iliyo vizuri? Mimi ni bonge kidogo sitaki Passo wala Vits. Nashukuru.
  13. TODAYS

    Uchaguzi 2020 Kusitishwa kwa usafiri wa boti Zanzibar na Bara siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 28

    Ndugu na jamaa wanaotarajiwa kufanya safari ya kuja Zanzibar au kwenda Bara mnapaswa kufanya safari zenu mapema kabla ya wiki ijayo ya tarehe 28. Mkumbuke siku hiyo hakutakuwa na chombo kitakachobeba raia kutoka sehemu tajwa hapo juu.
  14. Mmawia

    Video: WanaCCM wakiwa wamebebwa kwenye gari wakipelekwa kwenye mkutano

    Hakika wanaCCM wameendelea kujionesha kuwa wao ni bora liende. Haiwezekani mwanadamu unampakia kwenye usafiri wa kuhatarisha maisha yake kiasi hiki.
  15. U

    Kwanini kuna tofauti kubwa ya gharama za usafiri kwa kampuni za Uber na Bolt? Je, mamlaka za usimamizi zinachukua hatua gani?

    Wadau nimeshangazwa sana na tofauti kubwa ya gharama za kutumia usafiri unaotolewa na Kampuni mbalimbali kwa utaratibu wa Kisasa Kwa mfano kutoka Upanga hadi Tegeta Kwa Ndevu kwa kutumia usafiri wa aina moja lakini kampuni tofauti , Tofauti ya gharama ni Tsh 6,000! Wazoefu wa masuala ya...
  16. barafu

    Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM na mgombea wao waanza kutumia chopa kama usafiri wa kampeni

    Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake. Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara...
  17. E

    Ndege zina umuhimu mkubwa sana katika Sekta ya Usafiri, utalii na uchumi na taifa kwa ujumla

    Habari ndugu zangu, marafiki na watanzania kwa ujumla. Natumai muwazima wa afya tele. Leo nitakwenda kuelezea umuhimu wa ndege katika taifa letu ambalo sasa linatambulika kimataifa na kupewa heshima kubwa sana baada ya kupata Rais mwenye maono na mpenda maendeleo. Kabla sijaanza kuchimba kwa...
  18. M

    Kuna magari ya Dodoma-Arusha kuanzia saa saba mchana?

    Salamu Wakuu, napenda kujua usafiri wa kutoka Dodoma kwenda Arusha upoje! Nafahamu kuna magari ya Asubuhi na Hadi saa 3. Vipi kuanzia saa 7mchana!?
  19. Miss Zomboko

    Wamiliki wa mabasi walalamikia gharama za usafirishaji wa abiria kuongezeka. Waiomba Serikali kupitia upya sheria ya usafiri

    CHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA), kimesema kuna umuhimu kwa serikali kupitia upya na kushirikisha wadau kikamilifu kuhusu kanuni za sheria ya usafiri, ili kuondoa tozo zitakazoongeza gharama za uendeshaji kwa usafirishaji wa abiria. Kwa mfumo mpya, kwa sasa tiketi za usafiri...
Back
Top Bottom