used

  1. Dr. Zaganza

    Unahitaji Coaster Used? Njoo Kwa Tukushauri

    Stop over auto parts, wataalam wa kuuza spares za Coaster aina zote na magari aina ya Coaster used,tumekuwa tukiwasaidia wanunuzi wa Coaster Used mambo muhimu ya kujua kabla hujanunua Coaster used. Mambo hayo ni pamoja na kukagua gari ukiwa na fundi mzoefu uliyenaye au ukitaka tutumie mafundi...
  2. kidadari

    Naomba ufafanuzi kuhusu Tractors zilizotumila Afrika Kusiniin South Africa

    Kuna makampuni mengi South Africa yanauza matekta na zana za kilimo kwa bei ambayo sio mbaya sana huku yakiwa kwenye ubora mzuri. Kwa wenye ujuzi au waliowahi kununu vip ubora wake upoje na pia kuna changamoto gani kwenye hizo zana za kilimo.?
  3. P

    230,000/= 3TB Transcend External HDD - used mint condition

    Used but in mint condition. Call 0734846322
  4. Geza Ulole

    Tanzania's tourvan model "warbus" to be used in Kenya's election 2022

    Homeboyz donates cars to Raila Odinga Friday, October 01, 2021 ODM Leader Raila Odinga (centre) when he received vehicles donated by Homeboyz Entertainment in partnership with Mombasa-based businessman Bernard Odhiambo at Chungwa House on October 1, 2021. Courtesy | ODM Samwel Owino...
  5. Tripo9

    Nahitaji mashelf used kwa ajili ya kajiduka kadogo

    Nahitaji mashelf used kwa ajili ya kajiduka kadogo tu. Mashelf ya mbao used namaanisha toka kwenye Duka lililofungwa labda. thanks.
  6. incredible terminator

    Kama una magazeti used mengi ninanunua

    Habari wakuu wale wazee wa maofisini ambao kila gazeti lazima mnunue, usilimbikize gazeti ulizosoma ofisini, ninanunua Gazeti used kwa kilo moja shilingi elfu moja 1000/TZ SH. Hata kama una kilo 1000 niambie nitanunua zote, hata ukiwa na tan 10 za gazeti ninanunua kwa kilo shilingi elfu moja...
  7. KingOligarchy

    Tunauza na kununua bidhaa zilizotumika

    je una bidhaa ambayo unataka kuiuza? karibu tukuuzie bidhaa yako iliyotumika , jiunge na group letu la whatsapp https://chat.whatsapp.com/FVBnU70HjaE2pyVxB7nTth
  8. Sky Eclat

    A syringe used to treat syphilis in 1545

    Suffering from a case of Syphilis? Don’t worry, the Tudor’s got you🥺 Syringe recovered from Henry VIII’s ship the Mary Rose which sank in 1545. These syringes were often times used to treat syphilis by injecting mercury. Syringes were used as urethral syringes, for treating diseases such as...
  9. The Boldly

    Natafuta PS 2 used

    Wakuu Natafuta PS2 used. Kwa walioko Dodoma, tuwasiliane hapa
  10. Dyf

    Phone4Sale Samsung A72 used inauzwa

    Samsung A72 RAM :8GB STORAGE: 128GB SIMU HAINA TATIZO LOLOTE-IMETUMIKA MIEZI MIWILI TU, FULL BOXED INCLUDING RECEIPT NAIUZA KUTATUA CHANGAMOTO LOCATION :DAR ES SALAAM- UBUNGO SURVEY PIGA SIMU: 0658323300 750,000TZS
  11. mirindimo

    Kituo cha mbezi wanagawa used receipt kwa wateja ??

    TUKIWA TUNAENDELEA NA KODI YA MSHIKAMANO KUNA HAYA MALALAMIKO TRA NI YA KWELI HAYA ?? "This is what taasisi zinatakiwa kudhibiti kuhakikisha kodi zinakusanywa sawa sawa, tulikosea njia tukaingia kituo cha mbezi mwisho, kwenye kutoka tukalipishwa buku but wametupa risiti iliyotumika huku...
  12. Q

    SOLD: Used Simtank 5000Litres yanauzwa Magomeni

    Used Simtanks mbili za Lita 5000 Kila mmoja yanauzwa Magomeni Mikumi. Kila mmoja linauzwa kwa 250,000. Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0687320462 au 0693890769.
  13. Mamaya

    Ni wapi nitapata AVR amplifier used kwa bei nafuu??

    wakuu babari, nikipita kwenye maduka ya bongo ya electronics naona zimejaa subwoofer za mchina tu na hometheter za mchina na sio malysia wala japan. kwa sisi wanazi wa.mziki ningependa nipate walau mashine ya avr amplifier 7.2 channel yenye bluetooth,usb na walau inasukuma kuanzia 150watts...
  14. Dr. Zaganza

    Nahitaji King'amuzi cha Azam Used

    Habari wakuu. Mwenye king'amuzi cha azam used tuwasiliane hasa kama upo Dar au Kibaha Simu 0713-039 875
  15. W

    Tunauza vifaa mbalimbali vya magari

    Usiharibu gari yako kwa Spacer nitafute kwanamba +255742662669 kwa sport shock-ups zasaizi yauvungu unaouhitaji katika gari yako.Kwa spare nyingine za Magari pia karibu Dukani Mwananyamala Komakoma.
  16. Rion Jr

    Mambo ya kuzingatia kwenye kununua boda boda used

    Mimi ni kijana ambaye niko jiji Dar es Salaam katika harakati za kutafuta pesa nmefikiria kununua boda boda ili niweze kujiongezea kipato lakini kutokana na boda boda mpya kuwa gharama sana nmefikiria kununua boda boda used ambayo gharama yake inaweza anzia kwenye 800k had 1.2M Nilikuwa nauliza...
  17. Chiwaso

    Used vehicle purchase inspection form

    Habarini za Mchana wana Board. Watu wengi hupata hasara wakati wa kununua magari kwa watu wengine (used vehicles), kwa sababu huwa hawana taarifa ya kutosha kutoka kwa amma wataalamu au jamaa wa karibu kuhusu gari analotaka kununua. Ili kuepuka hasara hiyo, nakuwekea FOMU maalumu, ambayo kama...
  18. Swahili AI

    Wapi wana mtumba mkali kati ya hawa?

    Wakuu, Nilikua napita kwenye mtandao wa kuuza magari, kwa wenye uzoefu/ufahamu.... Ni wapi wana gari makini zilizotumika?
  19. Bryce mziba

    Naomba kuunganishwa na Wauzaji wa refurbs au used laptops

    Wakuu, Nipo Dar es Salaam, kwa anayeuza au kujua wauzaji wa laptops used au refurbished. Nahitaji mzigo mmoja wa laptop aina ya HP kuanzia Core i3 generation ya 5 🙏🙏
  20. C

    INAUZWA Nauza used alternator ya BMW E90 3-series

    Alternator aina ya Bosch 150A kwa BMW E90 3-series. Ni used lakini inafanya kazi vizuri. Bei laki 5. Wasiliana 0759970963
Back
Top Bottom