used

  1. A

    INAUZWA Sofa used zinauzwa

    Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
  2. Sky Eclat

    It’s called ECO toilet, it can compose human waste and can be used as manual.

    It can be cleaned with water and you don’t need running water to use it. After cleaning with water you can wipe the surface with antibacterial wipes.
  3. The Signal

    Natafuta chainsaw used

    Habarini wadau kama mada inavyojieleza hapo juu. Natafuta chainsaw used. 1.Aina ni HUSGVARNA(272) 2.20 Inches Kwa mtu aliyetayari naomba tuwasiliane NB. Iwe kwenye hali nzuri isiwe imechoka.
  4. Donnie Charlie

    If you used this computer, you should be above 35…

    Prince of Persia.
  5. profesawaaganojipya

    Naomba kujua kodi za kuagiza gari used na mpya

    Wadau wa JF naomba nijuzwe kwa ufasaha, kodi ipi ni kubwa, kati ya kuagiza gari mpya kabisa japan, na gari used japan, mfano gari toyota premio ya 2011 na ya premio mpya sio used ni mpya ya 2018.
  6. EmmanuelKamaghe

    INAUZWA Total station kwa ajili ya kazi za survey bila chaja na begi lake inauzwa Tsh Milioni 2

    TOTAL STATION KWAAJILI YA KAZI ZA SURVEY BRAND NI TOPCON USED BILA CHAJA NA BEGI LAKE.... 2 MILLION. MAWASILIANO 0621390287 WHATSAPP AND NORMAL CALLS.
  7. A

    Soko la used computer UAE

    Kwa wale walioko kwenye soko la kuuza used computers na spare part au accessory zake na wanatafuta soko la kununua vifaa hivi kwa bei poa ya jumla karibuni UAE, soko linajitosheleza kabisa, unachokitaka kwenye hili soko utakipata, model kuanzia 2010 and above. Kwa maelezo zaidi niletee DM
  8. peter msuku

    INAUZWA Nunua pikipiki used nzima haina kipengele

    Habari. Kama unaitaji pikipiki used za aina yoyote na kwa Bei unayoitaka tutakupatia tunapikipiki za aina zote. Tembelea Instagram @saantz_pikipiki_used Tupigie simu namba 0684998047 tukuhudumie mikoani pia tunatuma
  9. Samatime Magari

    🚨ONYO: Ukinunua gari used kabadilishe Jina

    Ni Mwishoni mwa mwaka 2021 Kipindi cha sikukuu Kabla hatujaupokea mwaka Kimario alinipigia simu asubuhi asubuhi akaniambia kuna issue very sensitive anahitaji msaada wangu, Nilijaribu kudadisi issue ni nini akaniambia ni muhimu tuonane kwanza ndio ataniambia. . Alisisitiza issue ni sensitive...
  10. geofreyngaga

    Nahitaji used gas oven

    Habari. Kwa yeyote anaeuza au anajua wapi naweza pata oven inayotumia gesi yenye uwezo wa kubeba mikate 90 ile tunayosema gram 500. Note: iwe used. Iwe Dar Pwani au Morogoro Call/Whatsapp 0652494919
  11. S

    Nahitaji Battery used ya Toshiba satellite

    Habari wakuu Nahitaji battery used ya Toshiba satellite ,aliyenayo atume Bei yake na picha (Kwa Dar es salaam tu) WhatsApp +255765696086 Models PA5024U-1BRS,PA5025-1BRS au PABAS260
  12. kyesha

    Spea used za tvs ninaziuza nicheki inbox

    Tyre & limu (mbele) 95,000 Seat 50000 Cheses (ina mkasi,kifua,stend, plate number na blue card) 150,000 Keria 40000 Medigadi mbele 15,000 Footrest nyuma 15,000 Bampa 15,000 Tenk 45,000 Maongezi yapo!! Vipo Songwe!! Inbox me Nakutumia popote ndani ya tz
  13. M

    Rim used za Landlover Puma

    Nahijitaji nipate Rim tano za landlover Puma used. Ila ziwe ktk hali nzuri Bei Maelewano Nipo Dsm. 0673728756
  14. DR HAYA LAND

    Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used

    Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni. Gesi Godoro Nk aje nipo DSM Temeke
  15. W

    Used Pioneer Amplifier 1000watts inauzwa

    Original imenunuliwa Nje na imetumika kwa mda mfupi.Bei yake ni Shillingi 350,000.Kama unauhitaji tupigie simu au tuma meseji namba 0742662669.Napitikana Dar es Salam Mwananyamala Komakoma karibu na CRDB bank
  16. desabby

    Vifaa vya saloon ya kike vinahitajika

    Nahitaji vifaa vya saloon ya kike kwa bei ya used mwenye navyo plz nichek 0783414538
  17. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale iPhone 8+ GB 64 inauzwa. Used for 3 moon only

    Imetumika miezi mitatu tu Gb 64 Afya ya Betrii: 100% bei elekezi: 600,000 0713096076, Chamanzi, Dar es salaam
  18. luangalila

    Msaada Bei ya kioo cha PC Used

    Kuna Pc ina zingua kioo naomba kujuzwa bei ya kioo ised ktk haya maduka ya kkoo
  19. Cordy bnei shirk

    INAUZWA Friza used heavy duty naliuza lipo dar

    Friza linauzwa Used na linapiga kazi fresh Bei:355,000Tsh Piga 0673206639 Friza lipo mwananyamala
  20. B

    INAUZWA Nauza pikipiki used TVS 125 Gia 4 Kwa 1.3m

    TVS hio. Cc 125 gia 4. Imetumika mwaka mmoja. Full document. Bei 1.3mil. Iko Nyakato Mwanza Piga 0623865841 tuongee biashara.
Back
Top Bottom