used

  1. Lameckjr

    Natafuta machines ya kununua (Backhoe) used

    Habari wakulungwa Niko dsm, Natafuta backhoe, used ya kununua It is urgently pls Tuwasiliane 065-932-5453
  2. WENYELE

    Ushauri: Used Car ndo imetoka Japan iko majini inakuja

    Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio. Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini. Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika...
  3. Patience123

    Phone4Sale Used Redmi 9C for sale

    Ram 3gb Rom 64gb Bei 270k. Nimetumia miezi 6, haina tatizo lolote. Iko na box lake. Ukihitaji njoo PM.
  4. daraja la kigamboni

    Kwa nini haya magari used yanauzwa bei ndogo sana?

    Mark 2 Mark X Passo Haya magari yakiwa used hapa nchini yanauzwa bei ndogo sana ukilinganisha na mengine yenye umri sawa mfano IST, VITZ Nawasilisha
  5. Pritty wa joseph

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Hallow wana JF, weka bei, picha, mahali ulipo, contact zako na specifications za device yako.
  6. Ndebile

    Laptop Used Inahitajika Haraka

    Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo: Brands: Dell au Hp Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi Ram: 4gb au zaidi Hard drive disc: angalau 500gb Screen size: 15" au zaidi Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
  7. Sky Eclat

    Did you know Cornrows were used to help slaves escape slavery?

    Today in Black History!!! Very Interesting!!! Did you know Cornrows were used to help slaves escape slavery? Slaves used cornrows to transfer information and create maps to the north. Since slaves were not allowed to read or write they had to pass information through cornrows. It is...
  8. polokwane

    Napata wapi dalali wa magari (used) ambaye ni muaminifu na anakulengesha kwenye gari nzuri

    Shida ndio hiyo kwanye mada.kama kuna anaye mfahamu dalali au kampuni inayo uza magari used na bei nzuri sio used kutoka japan iwe used hapa hapa home , used zabjapan bei imechangamka Maeneo iwe Mwanza, Dar, Arusha au Dodoma
  9. Donnie Charlie

    Contraceptive used by Africans in Ancient times. It was chewed by women about once a week to prevent pregnancy

    This is a root of an Acacia specie, it is a contraceptive used by Africans in Ancient times. It was chewed by women about once a week to prevent pregnancy. This method still works and there are no side effects. https://t.co/kT7G74uOPS
  10. Miss Zomboko

    TV4Sale Jipatie smart TV inch 55 used in excellent condition

    Habari Ndugu, Rejea kichwa cha habari hapo juu. Brand zilizopo ni Hisence na Boss Bei ni 750,000 (Mazungumzo yapo boss) Mahali zinakopatikana ni Kimara darajani (Kimara mwisho) TV zilikuwa zinatumika Kibiashara kwenye Kukodisha Ukumbini kwa ajili ya Sherehe. Zinauzwa hazina tatizo lolote...
  11. R

    INAUZWA Nauza Bajaj used (2.3m tu)

    Habari wakuu. Nauza Bajaj TVS, ipo Mbauda Arusha. Ipo katika Hali njema. Bei 2.3m. Mazungumzo kidogo yapo Kwa mteja atakayekuwa serious. Simu 0776655978 au 0656388678
  12. usedphotocopytz

    INAUZWA Used photocopier machines zinapatikana bei poa na imara

    Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,Bei zetu zinatofautina na ufanyaji kazi wa mashine na ukubwa wake,tupigie tukupe ushauri ipi inakufaa kwa kazi zako na shuhuli...
  13. MKONGORO

    Niuzie Azam decoder used

    Wakuu habarini za majukumu! Ninaomba yeyote anaeuza decoder ya Azam aniuzie whats app 0683965391 Asanteni
  14. Lawrance franci

    EXTERNAL HDD 750GB used but in Mint Condition

    Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition. Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal 70,000/= location:Dar-es-salaam wa.me.255716889489
  15. Baraka sheni

    INAUZWA Jipatie pasi used kwa bei sawa na bure

    PASI HIYO INAUZWA KWA 20000 UNAJIPATIA PASI HAINA TATIZO LOLOTE KAMA UNAVYO IONA. IPO TEMEKE KIJICHI. 20000 TU MAONGEZI YAP contact 0694185384 O
  16. The Boldly

    Natafuta PS 2 USED

    Wakuu habari. Natafuta PS 2 used kwa walioko Dodoma. Tuwasiliane....
  17. Loraa sum's

    TV4Sale Used Smart TV inch 43 na Dish la Azam

    used smart tv : inch 43 imetumika miezi 3 Kampuni: homebase Ina :warranty,boksi,stand ya ukutani na chini, remote na waya zake Eneo: Dar-es-Salaam, Ubungo Riiverside Bei: 650,000 Contact: 0712518770.
  18. P

    INAUZWA 4TB Transcend External HDD used but in mint condition

    4TB Transcend External HDD used but in mint condition. Ipo Dar Es Salaam. Call: 0712198128 Price: 250,000
  19. Wisdom Flag

    NATAFUTA CAMERA NZURI USED BAJETI YANGU 800K

    Mwenye camera nzur used naomb tuwasiliane wakuuu bajet yangu 800k
  20. M

    Friji used linahitajika...

    Wakuu, FRIJI liwe na sifa zifuatazo Used kubwa 1.5 au 2 size Lisiwe chakavu Lisiwe na hitilafu yoyote Linaweza kuwa Aina ya Boss and the like but the Boss much prefered.. Uwe tayari kunisafirishia Malipo baada ya makubaliano. Inbox Ahsante..
Back
Top Bottom