Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio.
Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini.
Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika...
Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
Today in Black History!!! Very Interesting!!!
Did you know Cornrows were used to help slaves escape slavery?
Slaves used cornrows to transfer information and create maps to the north.
Since slaves were not allowed to read or write they had to pass information through cornrows.
It is...
Shida ndio hiyo kwanye mada.kama kuna anaye mfahamu dalali au kampuni inayo uza magari used na bei nzuri sio used kutoka japan iwe used hapa hapa home , used zabjapan bei imechangamka
Maeneo iwe Mwanza, Dar, Arusha au Dodoma
This is a root of an Acacia specie, it is a contraceptive used by Africans in Ancient times. It was chewed by women about once a week to prevent pregnancy. This method still works and there are no side effects.
https://t.co/kT7G74uOPS
Habari Ndugu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Brand zilizopo ni Hisence na Boss
Bei ni 750,000 (Mazungumzo yapo boss)
Mahali zinakopatikana ni Kimara darajani (Kimara mwisho)
TV zilikuwa zinatumika Kibiashara kwenye Kukodisha Ukumbini kwa ajili ya Sherehe.
Zinauzwa hazina tatizo lolote...
Habari wakuu.
Nauza Bajaj TVS, ipo Mbauda Arusha. Ipo katika Hali njema. Bei 2.3m. Mazungumzo kidogo yapo Kwa mteja atakayekuwa serious.
Simu 0776655978 au 0656388678
Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,Bei zetu zinatofautina na ufanyaji kazi wa mashine na ukubwa wake,tupigie tukupe ushauri ipi inakufaa kwa kazi zako na shuhuli...
Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition.
Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal
70,000/=
location:Dar-es-salaam
wa.me.255716889489
used smart tv : inch 43 imetumika miezi 3
Kampuni: homebase
Ina :warranty,boksi,stand ya ukutani na chini, remote na waya zake
Eneo: Dar-es-Salaam, Ubungo Riiverside
Bei: 650,000
Contact: 0712518770.
Wakuu,
FRIJI liwe na sifa zifuatazo
Used kubwa 1.5 au 2 size
Lisiwe chakavu
Lisiwe na hitilafu yoyote
Linaweza kuwa Aina ya Boss and the like but the Boss much prefered..
Uwe tayari kunisafirishia
Malipo baada ya makubaliano.
Inbox
Ahsante..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.