Hahahah ngoja nianze na kicheko unafiki, hivi wanaonijua huwa naandikaga pumba eti?
Anyway sikuumbiwa mapenzi, ninayotamani yote hufa. I hate love, ila sina jinsi, najua napoteza ila sina namna, nahitaji muda sana.
Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani, furaha...