uwajibikaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Rostam Aziz na FAIDA ya kuwa karibu na Mtoto wa Rais

    Rostam Aziz anasemekana kuwa na kampuni hidden 80, kweli una nia njema na Serikali ya Dr. Samia una kampuni zaidi ya 80 za siri why? Lazima Rostam Aziz aangaliwe watanzania tusije kulia mbeleni. Rostam Aziz ameendelea kutisha wawekezaji wazawa nchini, Sawa Kwenye Sukari ametumia kampuni za...
  2. Mhafidhina07

    CCM jitahidini kuweka uwazi na uwajibikaji katika kodi za wananchi,nina sisitiza hakuna mbadala wenu.

    uwajibikaji ni kitendo cha kutekeleza sera,sheria na utaratibu kwa uadilifu na uwazi,kuna faida kadhaa za kuwepo uwajibikaji naelezea kama zifuatavyo kujenga misingi imara ya uongozi,uadilifu,utekelezaji wa shughuli za kijamii na kuweka mfumo zuri kati ya serikali na wananchi,inapotokea...
  3. R

    Pre GE2025 Awadhi Haji kubaki ofisini licha ya vitendo walivyofanyiwa CHADEMA ina maana gani? Kwanini hawajibishwi?

    Rais Samia angelikuwa amechukizwa na udhalimu alioufanya Awadhi, basi angelikuwa amemfukuza kazi kama alivyowafukuza akina Ummy, Kairuki na wengine wengi baada ya ku underperform to her expectation so to say, if I am right in that thinking! Pia soma: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi...
  4. Chaliifrancisco

    Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

    Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo' Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa...
  5. Tajiri wa kusini

    Waafrika bila shaka tunaanza kujitambua

    AMANI INAPIGANIWA UHURU HUPEWI BALI UNAPIGANIWA/AFRIKA WAMEJAA MATAPELI. ✓Julius MALEMA ANAKWAMBIA ya kwamba Mataifa ya Afrika magharibi wakiwa huru na kuachana na Mfaransa basi Mfaransa lazima ataangukia Pua katika Siasa na uchumi WA Dunia/Ufaransa ni matapeli Wa MDA mrefu Sana uko Afrika...
  6. KING MIDAS

    Kwa hiki wanachokifanya DP WORLD bandarini, maadui zetu wakubwa ni viongozi wetu walioruhusu upuuzi kudumu muda mrefu

    Wananzengo, mu Hali gani? Kwa masikitiko makubwa Leo nawatangaza hadharani maadui wakubwa wa taifa letu. Laiti tungekuwa na uongozi imara tungekuwa mbali sana kwenye mafanikio ya kiuchumi. DP WORLD wamepewa bandari bure, wamepewa na vitendea kazi bure. Leo wameongeza Terminal Trucks kumi na...
  7. Shooter Again

    Bora nikae kimya milele kuliko kupigania haki ya Watanzania!

    Katika ujinga ambao sitokuja kuufanya ni kuchongoa mdomo wangu eti kupigania haki ya watanzania wenzangu. Yaani mimi nimpiganie haki mwenzangu halafu nife yeye abaki anakula raha. Pia soma: SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na...
  8. Roving Journalist

    Wadau mbalimbali wakutana Arusha katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwazi na Uwajibikaji (ITAC) kujadili Mbinu za Kisasa za Ununuzi ili Kudhibiti Rushwa

    https://www.youtube.com/watch?v=Ii1HHXakCro Mkutano wa Kimataifa wa Uwazi na Uwajibikaji (ITAC) ulioanza Agosti 6, 2024 jijini Arusha unaendelea ambapo unajadili kuhusu Matumizi ya Mbinu za Kisasa kwenye Ununuzi wa Umma ili Kudhibiti Rushwa na Ubadhirigu, Kuhuisha Ununuzi wa Kielektroniki, Ubia...
  9. B

    Kusuasua kwa harakati za ukombozi nchini ni matokeo ya uongozi dhaifu

    Kwamba hawa nao tumawapa majukwaa ya kisiasa na kuwashangilia? Kwamba tuna hata wenye kujidhania kuwa ni wenye hoja kuliko hata wenye CV zao zinazojulikana kimataifa? Kwamba tumefikia hatua ya kuwaacha hata wapuuzi kuwanyanyapaa wenye akili zao? Na Bado tupo tupo tunakenua? Ama kwa hakika...
  10. L

    Tanzania ina tatizo gani mpaka viongozi washindwe kuwajibika ipasavyo?

    Wakati mwingine ukifikiria maamuzi ya watendaji wa nchi hii yatakushangaza. Kwa mfano: Bunju mwisho stand ya mabasi, walikuja wakasema mabasi yatoke yawe yanapaki barabarani watengeneze barabara na stand. Imepita zaidi ya miezi mitatu hakuna matengenezo ya stand wala nini na magari yanaendelea...
  11. 1911

    Kauli za kipuuzi zinazotolewa na viongozi kukwepa uwajibikaji

    1. Serikali imejitahidi sana 😪😪 2. Ungekuwa wewe ndio kiongozi ungefanya nini?😥😥 3. Sio kazi ya serikali kumletea mwananchi maendeleo binafsi, kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira. 😕😕😕 4. Tanzania ndio nchi pekee yenye kiwango kidogo cha ———, mmeona nchi X, Y, Z?😠😠 5. Deni letu ni...
  12. Mzee Saliboko

    Hakuna uwajibikaji Afrika

    Abraham Lincoln-democracy is a government of the people, for the people by the people. Ludovick Uttoh- maoni yake kusema kuwa kila kitu kinafanywa na mtu mmoja serikalini. (Sijakopi kama ilivyo) Tanzania kila kitu kina fanywa na rais hata kama kimefanywa na mtu mwingine na yeye anapenda. Mfano...
  13. Z

    Pre GE2025 Rais Samia: Cheo ni sawa na nguo ya kuazima ambayo siku yoyote mmiliki wa nguo anaweza kuichukua!

    Rais Samia amewaonywa Viongozi wote walio pewa dhamana kukumbuka kuwa cheo ni sawa na nguo ya kuazima hivyo wanapaswa kutenda kazi kwa uadilifu na kwa masilahi ya nchi, ameyasema hayo wakati akiwaapisha viongozi walio teuliwa hivi karibuni baada ya utenguzi. Pia soma: Mpango: Kiongozi usifikiri...
  14. Gemini AI

    KERO Stendi ya Kawe inatutia hasara wenye Daladala, Mashimo yanavunja Spring wakati wanakusanya 1,000 kila siku

    Wakuu, hivi Viongozi wa Kawe wanatuchukuliaje tunaotumia Kituo cha Daladala Kawe? Kituo halifanyiwi matengenezo yoyote wakati kila siku watoza ushuru wanachukua Tsh. 1,000 kwa kila Daladala inaingia kituoni. Hizo hela zinakwenda wapi? Pia soma: Ni aibu Kawe - Dar kuwa na Kituo cha Daladala cha...
  15. J

    MJADALA: Je, unapendekeza Serikali na Sekta Binafsi zifanye nini cha tofauti ili kuondoa tatizo la ajira nchini?

    Takwimu za Benki ya Dunia na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo ya Jamii na Uchumi (REPOA) zinakadiria takriban watu 800,000 hadi 1,000,000 huingia katika Soko la Ajira Tanzania kila Mwaka, ambapo wanaopata kazi ni kati ya 60,000 hadi 200,000 tu Je, unapendekeza Serikali na Sekta Binafsi zinafanye...
  16. Cute Wife

    KUMBUKIZI: Mpina aliwahi kutoa mapendekezo Makamba, Maharage Chande, Bodi ya TANESCO washtakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi

    Akiwa anaongea na waandishi wa habari Mpina amesema amepeleka mapendekezo yake kwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC pamoja na kwa Spika akiomba aliyekuwa Waiziri wa Nishati January Makamba, aliyekuwa Mkurugenzi wa TANESCO Maharage Chande, Bodi ya TANESCO na Mkurugenzi wa kampuni ya Arab Contactors...
  17. P

    Alipanda mpaka mnara lakini wapi! Unafikiri anaandaliwa kwa cheo kingine au ndiyo imetoka hiyo?

    Nyuki wa mama tulieni na mapovu yenu kidogo, nimekuja kuwakumbusha tu katika one and wtp za viongozi kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Wanasema eti kapanda na kushuka :KEKLaugh...
  18. D

    Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

    Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu. Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo. Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024 Huku kwetu Africa, Rais...
  19. Kichuguu

    Vyombo vingi vya habari havina taarifa za kutosha za yanayoendelea nchini. Tunategemea hawa ndio wahabarishe umma juu ya mambo ya msingi?

    Kila wakati huwa ninajiaminisha kuwa umma mkubwa wa watanzania hawako informed kabisa, yaani wako kwenye gizo totor kuhusu mambo ya nchi yanayogusa maisha yao. Hii inakuwa reflected na idadi ya ounline news outlets tulizonazo. Jambo kubwa lililotokea kwenye serikali jana ni mabadiliko ya...
  20. Cute Wife

    Pre GE2025 Pamoja na maboko yote aliyofanya Makonda bado anadunda. Je, amerudi kuwa lastborn wa taifa hata afanye nini hagusiki?

    Wakuu, Tumeona mkeka wa mama, kamla kichwa Byabato, Makamba na Nape, huku baadhi ya watu wakikisia ni matukio yaliyotokea hivi karibuni ndio yamewaondoa kwenye nafasi walizokuwa wakikalia. Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari...
Back
Top Bottom