vitabu

  1. M

    Nahitaji vitabu vya ujasiriamali au uchumi

    Kama kichwa kinavyojieleza napenda sana kisoma vitabu vya ujasiliamali au uchumi mwenye navyo anisaidie
  2. colin_morgan

    Mwenye vitabu vya C- Programming basic

    Natumai mko poa sana wakuu Kama kichwa cha habari hapo juu Ninaomba yeyote mwenye softcopy za C- Programming books aniseidie nizipate, nitashkuru sana Ahsanteni in advance.
  3. OMOYOGWANE

    Kwanini viongozi wengi wanapowekwa rumande/gerezani au kuitwa kwenye kamati ya masdili hupenda kubeba vitabu?

    Hivi huko gerezani au mahabusu kuna V.I.P? Ili mtu aweze kusoma kitabu ni lazima akae sehemu ambayo ni comfortable, Kwanini viongozi wetu wanapopata majanga hupenda kubeba vitabu mfano wanapoelekea mahakamani au kwenye kamati ya maadili , Mwenye majibu atusaidie
  4. Mohamed Said

    Soma vitabu hivi ujue historia ya tanu na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    SOMA VITABU HIVI UJUE HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA Unajua kwa nini kadi ya TANU No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni ya Ally Sykes na No. 1 ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere? Unaijua azma ya Hamza Mwapachu (1913 - 1962) katika kuwakusanya vijana wasomi ndani ya TAA...
  5. ALPHA2012

    Soko la Vitabu vya General Studies

    Wadau, nimeandika Kitabu cha somo la General Studies kinachoitwa " EXCEL in General Studies". Ni Kitabu cha maswali na majibu. Kuna jumla ya maswali 108 pamoja na majibu yake. Somo hili hufundishwa wanafunzi wa Kidato cha 5 na 6 hapa nchini. Nimeshauza kwa baadhi ya wanafunzi waliopo Dar es...
  6. ALPHA2012

    Nauza vitabu vya General Studies

    Habari wana Jamvi? Nauza vitabu vya somo la General Studies (GS) linalofundishwa kwa Kidato cha 5 na 6. Kitabu ni cha mfumo wa "Review' yaani kina maswali 108 pamoja na majibu yake. Bei ni shs 10,000. Mimi napatikana Dar es salaam sehemu za Tegeta. Unaweza kuagiza kwa kunipigia simu namba 0744...
  7. ALPHA2012

    Nauza Vitabu vya GS vya maswali na majibu

    Habari wana jamvi? Nauza vitabu vya somo la General Studies (GS) linalofundishwa kidato cha 5 na 6. Vitabu ni aina ya "Review" kwa maana vina maswali takriban 108 pamoja na majibu yake. Bei yake ni shs 10,000 kila kimoja. Niko Dar es salaam sehemu za Tegeta lakini kama uko mbali nitakutumia...
  8. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Laptop Zimewasili na Ofa ya Vitabu, Best and Cheap

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta computer za kipekee, chache aina...
  9. Mkulungwa01

    Kwa wale waandishi wa vitabu online ni App gani unatumia kuandika masimulizi marefu?

    Salam, hivi kwa wale waandishi wa simulizi ndefu mitandaoni, ni app gani nzuri hutumia kuandika simulizi? Na je, utaratibu upoje?
  10. M

    Mbunge Jerry Silaa kuingia na Sanduku la Vitabu kwenye Kamati ya Maadili inaleta tafsiri gani?

    Tumeshuhuduia jinsi Mbunge wa Ukonga Jerry Silaa alivyoingia na sanduku lililosheheni vitabu na nyaraka mbalimbali, pale alipoitwa na kamati ya maadili kwa ajili ya mahojiano. Najaribu kutafakari kwamba kitendo kinaleta tafsiri gani, lakini nakosa majibu, mwenye majibu tafadhali atuwekee hapa...
  11. M

    Jerry Silaa kwa CV hii umestahili kubeba vitabu hivyo

    Na CPA loading hongera sana Mkuu.
  12. Mohamed Said

    Soma vitabu hivi uwajue mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika

    WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA Vitabu hivi vina historia ya kusisimua ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika katika chama cha TANU lakini historia imewasahau. Ukianza kufungua ukurasa wa kwanza hutokiweka chini hadi umemaliza kukisoma. Soma mazungumzo ya Tewa Said Tewa na...
  13. mathsjery

    As a software engineer, what can you tell them, if you can't solve a problem?

    You just say that you can’t solve the problem. If somebody asks me to find an element in an unordered list with less than O(n)O(n) complexity, I’ll just tell them “sorry, this problem cannot be solved - maybe we can change the problem so that the list is kept ordered?” Or sometimes the problem...
  14. OMOYOGWANE

    Nashauri kila mwana JF asome vitabu vya Neuroscience

    Habari wakuu, Kuna wakati nilihitaji kujua lwanini kampuni ya cocacola inawatumia watu maarufu duniani kutangaza bidhaa zao tena inawalipa mabilioni ya pesa, nkatamani kujua hayo matangazo yanamshawishi vipi binadamu anunue cocacola, nkajiuliza kwanini wakati Cristian Ronaldo anaongea na...
  15. Lycaon pictus

    Nisaidie kupata hivi vitabu halafu tutalipana namna hii

    Ninashida na kitabu cha someni kwa furaha 2B kile chenye hadithi ya Bulicheka. Na kitabu cha Alfu Lela Ulela(Ile tafsiri ya zamani achana na hii mpya ya Mkuki na nyota) vitabu vyote vinne. Ukivipata viscan na kunitumia scan yake. Hicho someni kwa furaha ntalipia 10,000 na hivyo Vya alfu lela...
  16. Wildlifer

    Vitabu vyangu bora vya nyakati zote. Vipi vyako?

    Salaam WanaJF! Binafsi ni msomaji sana wa Vitabu. Kupitia vitabu nimejifunza mengi, nimesafiri kwenda kwingi na nimekutana na wengi. Katika Usomaji wa vitabu, kila mtu anavyo vitabu ambavyo kwake ni bora zaidi na kwa sababu zake. Kupitia uzi huu naomba tushirikishane vitabu bora kabisa kwako...
  17. R

    TANZIA Mwandishi wa vitabu vya kiswahili na kiingereza Greyson Mhilu amefariki dunia

    Mhilu, alifariki jana akiwa ARUSHA baada ya kuugua muda mfupi. Msiba uko UKUN, BAGAMOYO. Wakati wa uhai wake amewahi kuwa Mkuu wa Shule EAGLES, Bagamoyo na kufundisha shule mbalimbali zikiwemo LILIAN KIBO na MBEZI BEACH za DAR es SALAAM. Ameshiriki kuandika vitabu vingi na kuedit vingine...
  18. politicians

    Mathematics lovers,wapenda hesabu vitabu vinauzwa

    Habari wadau,kwa wale wapenda hesabu tuna vitabu tunauza kwa bei rahisi Tsh.30000/=,vyote hivyo,tucheki 0687234549.
  19. Shimba ya Buyenze

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati...
  20. Makirita Amani

    Karibu kwenye klabu ya kusoma vitabu mtandaoni (online book club)

    Rafiki yangu mpendwa, Ukiniuliza ni kitu gani ambacho mtu yeyote akikifanya anaweza kubadili kabisa maisha yake na yakawa bora, sitafikiria mara mbili. Nitakujibu mara moja kwamba ni USOMAJI WA VITABU. Ninaamini mno kwenye usomaji wa vitabu, vimebadili mno maisha yangu na kila ambaye...
Back
Top Bottom