vitabu

  1. sky soldier

    Kwanini Waandishi maarufu wa vitabu Tanzania wengi wao bado uchumi haujakaa sawa?

    Nadhani ni wengi hapa tumewahi kununua vitabu katika safari zetu za elimu. Unakuta kuna kitabu flani karibu kila mwanafunzi alikuwa nacho. Ila sasa ukija kuangalia hali za maisha za hao waandishi unakuja kugundua vitabu hivyo haviwasaidii sana kiuchumi. WHAT IS THE PROBLEM?
  2. LIKUD

    Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

    Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books... Mtu anae Soma vitabu...
  3. B

    Natafuta duka linalouza vitabu vya risiti

    Wakuu Habari, Wapi naweza pata duka linalouza vile vitabu vikubwa vya kuandikia Risiti za mkono kwa hapa Dar?. Nataka kuanza biashara ndogo nahitaji hivi vitabu kwa ajili ya Risiti na kumbukumbu msaada anayejua upatikanaji.
  4. Dr. Zaganza

    Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Vitabu

    UPDATE LEO JULY 2 2021 LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia...
  5. mgendege

    Kwanini vitu vinapanda bei sana siku hizi?

    Pole na majukumu wa Tanzania wenzangu kwa kulijenga taifa letu. Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg. Cement...
  6. benny gilbert

    Vitabu vya PCM (A-Level)

    Habari wana elimu, kama title inavyojieleza hapo juu. Nauza softcopy ya vitabu vya maswali na majibu kwa combination ya PCM. Kuna vitabu vya topics kama 1. Organic Chemistry Questions & Answers 2. Inorganic Chemistry Questions and Answers 3. Mechanics Questions and Answers 4. Mathematics...
  7. AbuuMaryam

    Ni kipi kinachozingatiwa na Wizara ya Elimu kwenye kubadili mitaala ya vitabu?

    Kwa mfano vitabu vilivyobeba hizi hadithi vilikuwa na mapungufu gani mpaka mkaviondoa? Sadiki na Chitemo Bwana Sikuelewi Muwa uliozamisha meli Hawafu mwenye nguvu Muwa uliozamisha meli KAMA UNATAKA MALI UTAYAPATA SHAMBANI Na vitabu hivyo ni darasa la 3 na 4 lakini hadi leo TUNAVIKUMBUKA...
  8. B

    Siku ya Wanawake Duniani isitumike kutengua maandiko ya vitabu vitakatifu

    Kuna hii kitu yetu inaitwa siku ya wanawake, kuna hii kitu inaitwa super woman na kuna hii kitu tumeanzisha inasema mwanamke ni kichwa cha familia. Wanawake kuna sehemu tumetumbukizwa shimoni na wapigania haki za wanawake na bila kujijua tumejaa viburi na sasa tunajitokeza hadharani kudai sisi...
  9. T

    Vitabu vya software application development

    Habari za mda huu wadau, ningependa kujua ni wapi naweza kununua au kupata vitabu vya programming language kama javascript na java kwa Dar es Salaam, Nimejaribu kutafuta maduka mbalimbali ya vitabu bila mafanikio. Yeyote anayeweza kunisaidia tafadhali
  10. Lycaon pictus

    SOFTWARE Soma vitabu vya kiswahili kwenye hii app

    Humu kuna vitabu mbalimbali vya kiswahili. Tumebadili namna ya ulipaji. Sasa unaweza kusubscribe kwa Tsh 6000 na kusoma vitabu vyote mwaka mzima. Kila mwezi tunaongeza vitabu kadhaa. https://play.google.com/store/apps/details?id=app.b.maktaba
  11. Makirita Amani

    Vitabu 31 vya kusoma mwaka 2021 ili maisha yako yawe bora zaidi

    Inapokuja kwenye mafanikio, kila mtu ana maana yake. Lakini kwa ujumla, mafanikio ni pale mtu anapokuwa bora zaidi ya alivyokuwa huko nyuma. Kifedha kama ulikuwa na kipato kidogo na kikaongezeka, umefanikiwa. Kimahusiano kama ulikuwa na hali ya kutokuelewana na wale wa karibu na ukaitatua...
  12. lee Vladimir cleef

    Unawakumbuka waandishi gani na vitabu vyao waliovuma Sana hapa Tanzania?

    Kama umesahau Basi nakukumbusha wachache. Alistabrus Elvis Musiba - Kufa na kupona, Njama, Kikomo Faraj Hassan Hussein Katarambula - Simu ya Kifo, Pili Pilipili. Hawa waandishi vitabu vyao vilitingisha Sana East Afrika. Musiba alikua na Mhusika katika vitabu vyake aliekua Jasusi Mbobevu...
  13. Red Giant

    Umesoma vitabu gani mwaka 2020?

    Habari wakuu? Ni mwisho wa mwaka. Tutafakari usomaji wetu wa mwaka huu. Vitabu vingi nimevijua kupitia michango ya members humu. Mi nimesoma vitabu vichache tu, sikuwa na usomaji mzuri. 1. Screw business as usual cha Richard Branson. Anaeleza jinsi biashara zinaweza kubadilika na kuweka...
  14. Manthom

    Naomba mwenye link ya vitabu vizuri vya English medium

    Mwenye link ya vitabu vya English medium vizuri please naomba link
  15. E

    Ni vitabu vip vizuri kwa combination ya ECA (Economics, Commerce and Accounting)?

    Habari za Leo wakuu, Ni vitabu vipi vizuri wa combination ya ECA (Economics, Commerce and Accounting). Au kama una vitabu vya hii combination nijuze hapahapa.
  16. abeli tz

    Natafuta sehemu maarufu inayoprint vitabu kwa bei ndogo

    Kwa majina naitwa abeli kikimba, napatikana mkoa wa Iringa, mimi ni mwandishi na napenda kuandika sana na nimeandika vitabu saba ila bado ni soft copy, naomba mnijuze kama kuna sehemu iringa hapa,mbeya morogoro au dar wanapoprint vitabu kwa bei nafuu itakayompa urahisi msomaji kununua. Pia...
  17. Dr. Zaganza

    Natafuta Mwalimu wa kunifundisha kuuza vitabu Amazon and the like

    Habari zenu. Nina vitabu kadhaa,nimeuza kwa online nchini,ninapenda Sasa niuze Amazon na sites zingine. Hivyo naomba mwenye uzoefu, anipe darasa full kwa malipo Simu: 0713039875
  18. GENTAMYCINE

    Tujitahidi kuwa na matumizi mazuri ya Ndimi zetu kama ambavyo hata Vitabu vya Mungu vimetuelekeza hivyo

    Mkoa wa Kipolisi Kinondoni wanamshikilia Mfanyakazi za Ndani , Happiness Sela (24) kwa tuhuma za kumchoma kisu Ezekiel Nyamuko (24) kwa kile kinachodaiwa kuwa alipatwa na hasira baada ya kuambiwa na mtu huyo kuwa ana roho mbaya kama sura yake ndio maana haolewi. Chanzo: HabariLeo Sasa...
  19. askofu rashid

    Nataka nikae mbali na Social Media kuepuka siasa,nataka nianze utaratibu wa kusoma vitabu

    Asee nimekua rafiki sana wa mitandao ya kijamii tangu mwaka 2009 lakini naona hakuna kitu nimegain zaidi ya concentration yangu kuwa katika vitu visivyokuwa na maana. Kama niliweza kushinda jaribu la kupiga punyeto na kuangalia porn nadhani nitashinda. Nilichogundua mambo mengi tuyaonayo...
  20. Superpower

    Jinsi ya kusoma maandishi na vitabu vya lugha yoyote ile

    Kama kichwa cha habari kilivyojieleza hapo juu, ni kwamba kutokana na maendeleo ya kiteknolojia swala la kujua lugha limekuwa sio tatizo tena kwa wewe kujipatia maarifa. Sasa mm Leo ningependa kushare na nyinyi habari hizi. Kwa kuwatumia video mbili ambazo ni part 1 inahusu kutafsiri hardcopy...
Back
Top Bottom