vitabu

  1. Red Giant

    Ni vitabu vyenye maudhui gani vinatakiwa kuandikwa ili kuweka historia ya nchi sawa na kufunza vizazi vijavyo?

    Nafikiri kuna mambo yanatakiwa kuwekwa katika vitabu ili kuweka historia sawa. Tunahitaji vitabu vidivyo kuwa kna muegemeo wowote, vitakavyotoa fact tu. Unafikiri vitabu kuhusu nini? Mimi nafikiri. 1. Kitabu kuhusu kashfa ya Lowasa na kujiuzulu kwake. 2. Kitabu kuhusu maisha ya JP Magufuli...
  2. Lycaon pictus

    SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

    Sasa ndani ya App yetu ya maktaba unaweza kujisomea vitabu vyote vilivyomo bure kabisa. Ingia playstore na install Maktaba by pictuss APP. Unaweza kusoma vitabu hata ukiwa offline. Link ya app inapatikana katika post no 16. Vitabu vilivyopo mpaka sasa. 1. Hekaya za Abunuwasi na hadithi...
  3. Red Giant

    Naomba kujua vitabu vya science fiction vilivyoandikwa na Watanzania/ kwa Kiswahili

    Kama kuna mtu anafahamu kitabu cha aina hiyo, kilichoandikwa na Mbongo au kwa Kiswahili, naomba anijuze.
  4. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Vitabu

    LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa...
  5. The Palm Tree

    Waziri wa Elimu na TAMISEMI, ni sawa Wanafunzi Shule za Serikali kuambiwa waende na dissecting kit na vitabu vya tahasusi?

    1. Mwanangu amechaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano na sita (F. V & VI) mwaka huu 2021 Shule ya Sekondari Nyantakara katika tahususi (Combination) ya Chemistry, Biology & Geography (CBG) iliyoko wilaya ya Biharamulo mkoa wa Kagera. Hii ni shule ya serikali ya Tanzania. 2. Licha ya...
  6. G

    Kama kisu kinavyonolewa ili kiwe kikali, lazima nasi tuunoe Ubongo kwa vitabu

    Godson kitomary Pichani ni kitabu cha "COLENEL GADAFFI" Kinachoitwa "THE GREEN BOOK" Na ndani yake kina mambo matatu kama ifuatavyo: 1. Jinsi ya kutatua matatizo yatokanayo na demokrasia 2. Kutatua matatizo ya kiuchumi 3. Misingi ya kijamaa na nadharia ya mataifa yanayoendelea. Ndicho kitabu...
  7. Yoda

    Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

    Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho. Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia. Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa katika msingi huu. Story gani ujawahi kuiamini kama ni ya kweli na halisi katika kitabu cha dini yako?
  8. Roving Journalist

    Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), kuanza kuandika Vitabu vya Kiada kwa Masomo ya Ufundi Kidato cha Kwanza hadi cha nne

    Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa makubaliano hayo jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Juni 17, 2021 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk. Leonard Akwilapo amesema ni wazi kuwa wataalamu wa masomo ya ufundi wapo kwenye vyuo vya ufundi na hana shaka na wataalamu...
  9. Ahmed Saidi

    Hivi vitabu wanavyotumia watoto wetu ni tatizo sana

    Nilikuwa namfundisha mtoto wa sister mara nikafika kwenye jedwali hilo hapo chini, Sasa kila nikitafuta majibu naona chenga,dah sijui ni mimi kilaza au kitabu ndio kina shida? Kama kitabu ndio kina shida kwanini hivi vitabu vipo mashuleni?
  10. C

    Nashare nanyi vitabu viwili vya Majasusi wa Israel

    Vinasisimua sana, kimoja kinahusu Red sea resort hadi kuna movie yake imechezwa, kingine kuhusu Sylia Raphael bado nakimalizia hiki. Attachments hizi hapa, kwa enquiries nicheki PM
  11. Alevet

    Naomba kujua vitabu vya combination ya PCM Form 5 na 6

    Wadau nina mtoto anaenda form five PCM, mimi mzazi natakiwa kumnunulia vitabu, ninachojua ni Nelkon kwa physics. Je, vingine vizuri ni vya aina gani wakuu?
  12. Baba ilumba

    Msaada wa mwenye PDF files za vitabu hivi

    Jamani yeyote mwenye link ya kuvipata vitabu mbalimbali ya Physics kwa class 12/ form six na vinginevyo atusaidie mana kuna link niliona humu mwezi uliopita ka sijakosea Ila saivi sioni. TAFADHALI JAMANI NI MUHIMU SANA LINK HIZO NAOMBENI HATA MWENYE FILES TU YA HIZO VITABU AWEKE HUMU.
  13. Red Giant

    Vitabu vya vichekesho.

    Tuachane na comics, ni kitabu gani ulisoma ukacheka sana. Mi nilisoma kitabu kinaitwa Haifai. Hiki kinazungumzia jinsi ya kujiendesha kwa adabu katika mazingira mbalimbali. Muandishi anaitwa Abdu Baka, ni cha zamani, miaka ya 60 huko. Hiki kitabu kinafurahisha sana. Kingine nilichocheka sana...
  14. K

    Kwanini Marais wa Tanzania huandika vitabu wakishastaafu na marais wa Marekani huandika wakiwa madarakani?

    Kwanini Marais wa Tanzania [emoji1241] huandika vitabu mara tu baada ya kustaafu, tofauti na Maraisi wa Marekani ambao huandika Vitabu kabla ya kuukwaa Uraisi. Hii picha inakufundisha nini?
  15. MSEZA MKULU

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile. Hapa...
  16. Ryzen

    Vitabu bora kwa ajili ya Finance

    Habari wanaJF, ni tumaini langu humu kumejaa watalaamu wa Finance and Accounting. Mie ninahitaji kujifunza na kusoma Finance personally.. kwa hivyo nahitaji recommendations ya vitabu Bora equivalent kwa Dip au Degree ya Finance. Kama utaniwekea na PDF itakuwa poa zaidi. Asanteni.
  17. Maria Nyedetse

    Msaada wa vitabu

    Habari za asubuhi wanajamvi, Samahani naomba mwenye vitabu hivi PDF anisaidie tafadhali 1. Rich Dad Poor Dad 2. Why A students Work for C students 3. Cash Flow Quadrant Vitabu vyote hivi vimeandikwa na mwandishi Robert Kiyosaki. Kama kuna vitabu vingine mfano wake pia itakuwa vizuri
  18. Mohamed Said

    Hili ni juma zima la vitabu duniani

    HILI NI JUMA ZIMA LA VITABU DUNIANI 5 ''Rajabu Ibrahim Kirama Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam'' Mwandishi: Mohamed Said Mchapaji: Readit Books Ltd Dar-es-Salaam Ukoo wa Rajabu Ibrahim Kirama wa Machame Nkuu umehifadhi kwanza kichwani historia ya wazee wao kwa simulizi kutoka kizazi...
  19. Mohamed Said

    JUMA LA VITABU ULIMWENGUNI

    LEO SIKU YA VITABU DUNIANI 1 "The School Trip to Zanzibar" Mwandishi Mohamed Said Mchapaji: Africa Proper Education Network, Dar es Salaam Hiki kitabu kimechapwa mwaka jana 2020 na kinawafaa sana watoto wa shule za msingi kwa kujifunza Kiingereza na historia ya Zanzibar. Kupitia kitabu hiki...
  20. Mohamed Said

    Leo ni siku ya vitabu ulimwenguni

    LEO SIKU YA VITABU DUNIANI 1 "The School Trip to Zanzibar" Mwandishi Mohamed Said Hiki kitabu kitabu kimechapwa mwaka jana 2020 na kinawafaa sana watoto wa shule za msingi kwa kujifunza Kiingereza na historia ya Zanzibar. Kupitia kitabu hiki mwanafunzi atajifunza mengi katika maisha ya kila...
Back
Top Bottom