Mnyampala ni moja ya waandishi wa mwanzo mwanzo kabisa Tanzania. Nisaidie vitabu vyake vitatu. Kama unavyo viscan halafu nitumie. Kila kitabu 10,000.
1. Diwani ya Mnyampala
2. Kisa cha mrina asali na wenzake wawili.
3. Historia, mila na desturi za wagogo wa Tanganyika.
Habarini wanaJF
Natumai nyote mko bombastic au sio.
Naomba kuuliza kama kuna softcopy au hardcopy ya hivi vitabu viwili mtu anaweza akashea nami
AGORO ANDURU - TEMPTETATION AND OTHER STORIES
LAWI JOEL - YOUR ROOTS GRANDSON AND OTHER STORIES pia kama unavyo vingine vya waandishi hawa wawili...
Habarini wanaJF,
Moja kwa moja kwenye hoja.
Je, kuna uwezekano wa kuvipata hivi vitabu aidha softcopy au hardcopy kwa majina vinaitwa:
"TEMPTETATION AND OTHER STORIES" mwandishi anaitwa AGORO ANDURU
"YOUR ROOTS GRANDSON AND OTHER STORIES" mwandishi ni LAWI JOEL.
Ni vizuri sana yaani sana...
Nirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya...
Habari wa JF!
Leo nitaongelea muendelezo wa biashara ya uandishi wa vitabu, makala nyingi nilielezea biashara ya ebook ambayo mwandishi hawezi kupata hasara kama wanayopata sasa kwa wale wanaouza whatsapp na facebook.
Leo kwenye kupitapita youtube nimeona tangazo la nguli wa ushauri wa...
Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?
Kwenye Kitabu cha Quran (cha Waislamu) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi...
Habari wana JF,
Ni kitambo kidogo sijaonekana humu JF, leo nimeona nitoe ushauri kwa waandishi wa vitabu; nimepokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wakitaka kujua namna ya kuuza vitabu vyao online(e-book) na namna ya kupata jukwaa nzuri la kuuza vitabu vyao bila kutapeliwa na wajuaji online...
Wanajamvi habarini na asubuhi.
Naomba niandike uzi wangu wa mwisho kwa mwaka huu, lakini uzi wenyewe unanichanganya sana kwamba BINADAMU WA KWANZA KUWEPO DUNIANI ALIKUWA MWEUPE (MZUNGU) AU ALIKUWA MWEUSI TII (MWAFRICA).
Juzi kati hapa niliandika uzi kumhusu mtu mweusi, lakini watu kadhaa...
Mwakikagile's books are used in various academic disciplines up to the post-graduate level including doctoral studies. He has also been invited to give lectures at different colleges and universities. And as a public intellectual, he has also been sought for interviews by BBC, PBS and Voice of...
Habari za mda huu?
I hope ni wazima.
Kuna kitabu nakisaka mtandaoni leo siku ya tatu hv, lakin kila site nnapokikuta ni lazima ununue.. sasa nlikua naomba wajuzi wanisaidie kama kuna njia yoyote ya Kudownload hv vitabu bila kulipia.
Ahsanteni
Ni mwisho wa mwaka. Kama kawaida tushirikishane vitabu tulivyosoma mwaka huu. Inasaidia kujua vitabu vizuri na kushirikishana maarifa. Mi nimesoma vitabu vifuatavyo, baadhi vilipendekezwa na members humu JF.
1. Bad Samaritans.
Kitabu hiki kinaelezea jinsi ambavyo mataifa tajiri yanavyoshauri...
kakangu anaye mtoto anasoma sheria katika chuo fulani hapa bongo, ameniomba list ya vitabu vilivyoandikwa Kitanzania vya sheria vinavyoweza kumsaidia dogo chuo amnunulie. Naamini Maprofesa wetu watakuwa wameandika andika, navikumbuka vya ?fimbo na Dr Tenga, nimemrushia ile ya land. kwa...
Kwa takwimu zilizopo katika tovuti ya TAMISEMI, vitabu vya masomo ya biashara kwa wanafunzi wa Advanced Level ambayo ni Accountancy, Commerce na Economics ni vichache ukilinganisha na vitabu vya masomo mengine
Kwa mwaka 2021, kulikuwa na vitabu 378 vya Accountancy, 392 vya Commerce na 4,057 vya...
Nauza vitabu ya course ya udaktari
Kwa wale wanafunzi wa medical doctor
Vitabu hivi vitawapa sana madini
Niko dar es salaam
Contact 0657710078
Bei maelewano
Wanajamvi habari kuna vitabu hapa vya wanafunzi wa masomo ya science naviuza kama ifuatavyo
1. Understanding biology for Advanced level 20000 Tsh
2. Pure mathematics 1st edition@ 10000 Tsh
3. A. level Chemistry Ramsden fourth edition 20000 Tsh
4. Advanced chemistry Cambridge low price @...
Wakuu, nimekuwa nikifuatilia mashahidi wengi mahakamani Wanakula kihapo kwa hivi vitabu, na kudai watasema ukweli mtupu. Na kumalizia Mungu awasaidie. Lakin mwishowe kwenye ushahidi wanasema uongo live live. Kitendo hicho mm naona nikuvinajisi vitabu vitakatifu.
Kwa mfano tu mzuri, hivi...
Huku ndani namwaga madini mengi sana nilitoa habari ya menina kudai mamiilioni ikapostiwa instagram copy and paste yangu yangu kuna ya biashara kudaiwa kuuza mechi hadi kitenge kapost ingawa kapost pia ila source ni nuhu adams wa ghana natishiwa inbox eti nitafungwa harakisheni fastaa...
Habari zenu wapendwa; kwa wapenzi wa kusoma vitabu je ni kitabu gani unatamani kukisoma lakini hakijawahi kuandikwa? Au ni topic gani ungependa kuisoma kwenye kitabu? Je ni kujifunza kazi za mikono? Mapishi? Hadithi? Ni nini unatamani kusoma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.