Bei ya 1 SQM ni 3,800 tu kwa viwanja vya Makazi na 4,500 Kwa viwanja vya makazi na Biashara , na viwanja vyetu vimepimwa na kupata Bicon kutoka wizarani.
Pia unaweza kuwasiliana nasi kupitia namba hizo hapo chini
Call or WhatsApp 0698 718 260.
Rejea kichwa cha habari apo juu kuna viwanja ambavyo vimekatwa vinauzwa vyenye Square mita 500 kila kimoja eneo ni zuri na viko karibu na shule ya secondary ya The new ambassador..kutoka viwanja vilipo mpaka kufika uwanja wa ndege wa JK nyerere ni dakika 5 tu..
Johannesburg, Afrika Kusini, tarehe 19 Septemba 2024, Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania kupitia Kiwanja cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) imepokea tuzo ya kuwa Kiwanja chenye Ubora wa Usalama Afrika kwa mwaka 2024. Tuzo hii imetolewa na Baraza la Kimataifa la Viwanja vya Ndege (Airport...
Habari za muda huu...
Viwanja vinauzwa..
📍 Vipo goba kantina (Makongo road)
⌚ Dakika mbili kutoka Goba center 🔥
⌚ Dakika 15 kutoka Mlimani city 🔥
🛣️ Mita 30 tuu kutoka barabara ya lami
🏟️ Upande wa kulia kutokea Mlimani city
🏟️ Upande wa kushoto kutoka Goba
🏟️ Viwanja vipo tambalale...
Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo
Ina Vyumba 2 kimoja master
Jiko,public toilet, sebule
Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20
Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa
Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000
Bei mln 19 maongezi yapo kidogo
0675 065906
apartments
inauzwa
jkt
kibaha
kibaha maili moja
kimara
linauzwa
madukani
magufuli
mbezi
mbweni
moja
nyumba
nyumba inauzwa
stendi
stendi ya magufuli
vinauzwa
viwanjaviwanja vinauzwa
zinauzwa
Habari wana JF
Ninauza viwanja vilivyoko maeneo tofauti tofauti hapa Mwanza.Viwanja hivi ni yale yaliyokuwa mashamba,lakini baada ya mji kuendelea kukua sasa yalikatwa na yanaendelea kukatwa kwa ajili ya viwanja vya makazi.Maeneo haya siyo mali yangu binafsi,isipokuwa nimeaminiwa na kupewa...
Viwanja vinauzwa Mbutu Kigamboni vimebaki viwanja 7 tu kwenye mradi.
Ni mbutu mbele ya dege eco village uelekeo wa baharini(mita 400) kutoka baharini).
Viko barabarani barabara iendayo kichangani.
Ni km 22 tu kutoka ferry.
Bei ni shilling elfu 25 kwa square meter.
Tanzania, kama taifa, kuamini kwamba tunawapenda watoto wetu, tunazidanganya nafasi zetu, ukweli hatuwapendi.
Kuna matukio mengi yenye kuthibitisha kuwa hatuwapendi watoto wetu, ama viongozi wa taifa hili hawawapendi watoto wa wanaowaongoza maana wao wa kuwazaa hawapitii mapito ya wale wanao...
Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?
Na Thom munkondya.
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa...
Ukweli ni kwamba kama kmc wameweza kujenga uwanja mzuri vile imagine viwanja kama ccm kirumba,sokoine, jamhuri n.k vingepewa halmashauri wakarabati soka na michezo mingine ingeshamiri namna gani!?
Yani ikitokea nimepewa nchi Hilo ndio jambo la kwanza la kufanya
Maoni, serikali iruhusu halmashauri za wilaya, manispaa au jiji kama zinajiweza basi zijenge viwanja vya mpira ili kuendelea kukuza vipaji vya soka na kuendelea kutusahaulisha shida nyingine za maisha humu Tanzania. Au serikali kuu yenyewe ijenge viwanja vidogo vidogo sehemu mbalimbali nchini...
I couldn't watch the match between Singida Big Stars and Ken Gold due to the surroundings of the pitch. The environment is so bad that it's unwatchable.
What does TFF do with the money they earn?
kiwanja mama wanatembea wanauza maparachichi 🚮.
Nauza Mashamba - Dodoma kwa bei nafuu, heka kwa Tsh.300,000/-yapo wilaya ya chamwino vijijin kwa maelezo zaidi piga simu no.0694 662625, Karibuni na pianauza mashamba na viwanja Dodoma Veyula vimepimwa million 2.
Leo nimeshangaa pale nilipoegesha gari Terminal 2 kwa saa 72 na kudaiwa 75,000 za maegesho na kuambiwa kuwa “Long term parking” inahesabiwa ukiegesha Terminal III.
Kwanza, kaka aliyekuwa pale nikamuomba anisaidie (najua kuna uwezekano huo kwani mfumo unaona wazi gari limekaa muda mrefu hivyo...
Anonymous
Thread
kero
kubwa
maegesho
mamlaka
ndege
parking
taa
viwanjaviwanja vya ndege
Viwanja 2 vinauzwa kwa pamoja.
i. Sehemu: Makuburi, Mabibo. Dar es Salaan.
ii. Ukubwa: 1780 sqm
iii. Vina hati.
iv. Bei 120m
Ni hivi vyenye vidoti vya kijani.
Mawasiliano: 0743-398408
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML
Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML.
Nina kiwanja maeneo...
bagamoyo
banana
bandari
bucha
daycare inauzwa
eneo
eneo linauzwa
eneo linauzwa msakuzi
goba
goba mpakani
heka
inauzwa
jirani
kibaha
kibaha maili moja
kibamba
kiluvya gogoni
kimara
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
madafu
mashamba
mawili
mbezi
mbezi mwisho
moja
mpakani
mwisho
njia
njia panda
nyumba
nyumba inauzwa
plot for sale
shamba
shule
tabata
ukubwa
university
vigwaza
vinauzwa
viwanjaviwanja salasala
viwanja vinauzwa
yanauzwa
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii...
Utangulizi.
Jina langu ni Juma, na nimejikita katika biashara ya kununua, kuendeleza, na kuuza viwanja. Safari yangu ya kibiashara inaanza miaka michache iliyopita, wakati nilipogundua fursa kubwa katika sekta ya ardhi.
Mara ya kwanza nilipokuwa natafuta njia ya kujiongezea kipato, nilikumbana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.