Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
Kama kichwa cha habari kinavyosema!
Mtoto wangu kasoma shule moja inaitwa St. Charles Borromoe ipo Mbeya Mafiati. Kamaliza darasa la saba mwaka huu. Shule hii inaongozwa na masister wahindi hapo. Juzi nilienda kupeleka form asign mkuu wa shule mtoto alikuwa anaenda kufanya interview...
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!
Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini
1. Walimu hawafuati ratiba...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa...
Kwanza imenibidi nicheke,
Ndugu yangu kaniomba hapa nimpe ushauri hasa ajaze mkoa gani kati ya iringa, morogoro na Dodoma kwa ajili ya oral interview... Yeye ni mwalimu wa Economics, sasa nikamuuliza kwani kwa ujumla mnaitajika walimu wangapi katika hilo somo?
Ndiyo ananiambia kuwa Tanzania...
Jeshi la Polisi nchini, linawashikilia walimu 4 na mfanyabiashara mmoja, kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kwa kuwadanganya kuwekeza katika sarafu za kimtandao (cryptocurrency) na matokeo yake kutoweka na fedha zao walizowekeza.
Hayo yamesemwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa...
Ualimu ni taaluma inayotaka nidhamu na maadili ya hali ya juu. Hilo ni kwa kuwa ndio taaluma inayohusiana moja kwa moja na malezi ya watoto.
Hata hivyo, uzoefu unaonyesha kada hiyo imekuwa ikikabiliwa na changamoto mbalimball, Ikiwamo utovu wa maadili na ukengeukaji wa miiko miongoni mwa...
Lugha ndio kikwazo kikuu chenye kuleta hofu kwa watanzania kutoka nje ya nchi, hata waliosomea english medium inabidi wakajipige msasa kwa kina ras simba kabla ya kuondoka ni kwasababu lugha haijakaa sawa licha ya kuitumia mashuleni tangu chekechea mpaka wanahitimu vyuo, LUGHA ! LUGHA ! LUGHA ...
bado
confidence
english
english medium
hata
huwa
kimbilio
kitu
kuishi
kwao
kwenda
lugha
nje
pekee
shida
ugumu
waganda
wakenya
walimu
wanafunzi
wao
watanzania
watoto
watoto wetu
wazambia
Ni kawaida kwa walimu wanaotarajia kufanya aptitude test kuwa na maswali mengi juu ya nini cha kutarajia na wapi pa kuanzia maandalizi. Japokuwa hakuna majibu maalum au sahihi ya nini hasa kitakachoulizwa kwenye mtihani, ni muhimu kuelewa lengo la aptitude test na kujifunza jinsi ya kujiandaa...
THE APTITUDE TEST OVERVIEW
(Written Aptitude Test): Mtihani wa Uwezo: Maelezo, Utaratibu wa Kujiandaa, na Angalizo Muhimu by Josephat.
1. Nini Mahana ya Mtihani wa Uwezo (Written Aptitude Test) ?
Mtihani wa uwezo (Written Aptitude Test) ni jaribio linalopima ujuzi na uwezo wa mtu katika...
Huu mwezi kumetokea matukio mengi kwa Walimu na wanafunzi, Walimu wakitoa vipigo vikali sana kwa wanafunzi, wanafunzi wakipokea ngumi chembe kidevu, ngumi za macho, fimbo 50.
Sikatai wanafunzi wasipigwe lakini, piga fimbo zako tatu au nne then pita kushoto, sasahivi mitandao imeleta mapinduzi...
Hello,
Kwa walimu wenzangu na wenye experience na interview za utumishi, tupeane updates.
Kama ni mwalimu wa Geography inamaana nijiandae vipi? Nisome course za Education like EP, EP, Psychology,,,au nisome subject matter.
Yaani nijiandae na Geography contents. Najua interview Kwa walimu ni...
Ni walimu wakenya wanao fundisha kwenye shule za English Medium za Tanzania.
Wanasema ; 👇👇👇👇👇
" Zamani tulikuwa na soko kubwa Tz kwa sababu kwenye mfumo wa elimu wa Tz kulikuwa na mitihani ya darasa la 7. Lakini sasa hivi mitihani ya darasa la 7 imefutwa. Ipo mitihani ya kidato cha 2...
Ndio hivyo,
Ndio maana nikasema nchi hii bado hatujapata mtu serious mwenye uchungu wa maendeleo
Kama kuna wafanyakazi nchi hii wameachwa nyuma basi ni Maticha..
Yaani kwenye huo mshahara wao ndio walipe kodi,
Wanunue chakula,
Wapate nauli ya kwenda kazini,
N.k
Wakati kuna milioni nyingi tu...
Hatmaye Chama Cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (CHAKUHAWATA) chazidi kushika kasi kwa kuongeza idadi ya wanachama, wengi wao wakiwa ni wale wanaohama kutoka CWT.
Wilayani Butiama mkoani Mara kumekuwa na kasi kubwa ya uhitaji na ujazaji wa fomu za kujitoa kwenye chama chao cha...
1. Hivi karibuni imeripotiwa Walimu wa kiume wa Madrassa kulawiti watoto huko Mafia, Zanzibar na Sumbawanga.
Soma: Mkuu wa Wilaya ya Mafia: Watoto 15 wamelawitiwa na Ustadhi wa Madrasa Kisiwani Mafia
2. Nashauri kuanzia Sasa Walimu wa Madrassa wawe WANAWAKE tu kuepusha majanga zaidi.
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.