Je Ushawahi kukutana na Taarifa tamu tamu mtandaoni au taarifa ambazo zilikufanya ujisikie kutamani, hasira, chuki, au hofu?
Basi hauko peke yako.
According to Scientist, wataalamu wa saikolojia, watu wengi ni wahanga wa wa habari potofu mtandaoni.
Hatahivyo, cha muhimu ni kutokupanic au...
Zamani nakumbuka ilikuwa mchawi nguvu tu, chochote utakachopanda kinakubali na kinafika
Siku hizi sasa mkulima ana vikwazo na maadui kibao! Hebu cheki mtu unalima mazao yako kisha kuna
Viwavi
Panya
Njiwa
Ndege
Kware
Panzi
Mchwa
Vibaruti
Beetle
Serikali
Majongoo
Konokono
Halmashauri
Mafuriko...
Ikiwa tarehe Mosi Disemba ni siku ya Ukimwi duniani, mbali na kwamba dunia inakumbwa na majanga ya magonjwa mengine lakini janga la Ukimwi bado halijasahauliwa. Nchi mbalimbali zimekuwa na mipango ya kuhakikisha zinatokomeza kabisa ugonjwa huu. Wanasayansi wa sehemu mbalimbali wamekuwa wakikuna...
Suala langu:
Nimekuwa nikisikia Mengi kuhusu ndoto, Wengine mara oohh sijui mlango wa kuyaona yaliyopo nyuma ya Dunia, Mambo yasiyoonekana etc.
Wengine wanasema kuwa ndoto ni matukio ambayo tunayafanya kila siku...yanajikusanya.
Swali langu:. Kwanini Hajawahi tokea Binadamu yoyote akaota...
Habari!
Hata Marais Kuna wakati huombana ushauri.
Katika familia yetu tuko 8 kwa mama mmoja na kwa baba jumla tuko 17.
So far, kuna brother wetu wa kwanza kabisa yeye ndiye mwenye pesa kuliko wote . Yeye ni mkulima mkubwa kidogo. Nikimaanisha mvuno mmoja million 20 hakosi. Pia ana kijiwe cha...
Habari za majukumu kila mmoja,
Niko nchini Israel kwa sasa ila Huwa nikipata pesa huku (shekhel) Huwa nakutumia kwa kadi yangu ya visa ya crdb ambayo ninayo huku.
Tatizo ni kuwa Sina uwezo wa kujua kama pesa yangu ipo kwa account yangu kama nilivyotuma.
Ndipo wazo la online banking likanijia...
Nimepita mitaa fulani huko nimesikia kuna watu wanasema hayati JPM ukali wote ule ila alikuwa hamaanishi alivyokuwa akizungumza .
Binafsi nimepitia video chache nikaona hayo madai hayana ukweli wowote na alikuwa na nia nzuri na hili Taifa .
Kuna wale wataalamu wa body language mnasemaje ...
Habar za majukumu wana jamvi,
Kwa wale wataalamu wa pc msaada wenu plz
Nimenunua pc aina ya hp 450, wakati nainunua pale dukan , niliiangalia betri yake ili niweze kujua kwamba inakaa na chaji?
Ilinionesha kwamba chaji inakaa masaa matatu na dk 40. (03:40)
Lakini baada ya kufika om na kuanza...
Nimeoa toka 2020,Mimi na mke wangu tumefanya juhudi mbali mbali za kupata mtoto, lakini mpaka sasa imeshindikana. Mke wangu anaingia period kama kawaida japo sio kwa mzunguko ulio rasmi unabadilika badilika.
Anaweza akaingia kwa 28,35,40 sometimes hata 50 days. Mliowahi kuingia kwenye hali kama...
Hivi karibuni kumekuwa na Trends kuwa kuna kiwanda fulani hapa Dar es Salaam kinatengeneza mayai ambayo sio ya kutagwa na kuku na haya mayai bhana yanakuja yakiwa yamepakia viini viwili ndan yake.
Tunaomba msaada wa ufafanuzi kutoka kwa wataalamu wa chakula na dawa, juu ya haya mayai ya kisasa...
Salaam wakuu, Nime ona ni share Fursa hi ya nafasi za kazi zilizo patikana
👉Wana hitajika wataalamu wawili, wa kushughulikia maswala ya umeme wa viwandani.
👉Pamoja na mtu anae jua lugha ya kichina, kwa ufasaha vizuri.
👉Eneo la kazi ni Tanga na Daresalaam.
👉Ila Kuna vituo vya kuzungukia pia.
Baada ya ufafanuzi wa Waziri wa Fedha kuhusu namna mitumba hiyo itavyokuwa inaingizwa nchini, haya ndio baadhi ya maswali ninalojiuliza na mpaka sasa sina majibu.
Je, wewe hapo uliopo, unaamini tunao wataalamu wa kukagua vifaa kama hivyo?
Je, si kweli kuna wakati itahitajika teknolojia katika...
Wakuu mimi ni beginner kwenye hizo mambo za app development, nilipanga kujifunza app development, ila nikapata ushauri nijifunze web development (Front end) kwanza, nina endelea nayo, kwa sasa namalizia CSS, ni ingie Javascript.
Nika amua niweke sawa mazingira kabla ya kuanza ndo nikadownload...
Wakuu habari ya nyie, kuna hiki ki redio nimeombwa msaada hapa kukirekebisha, kina shida moja.
Waya ule wa speaker vile vidogo (Sijui ndo wanaviita twitter), pale kwenye ki tobo unapoingia kimekufa, sasa nafikilia hivi inawezakana nikauchukua na kuunga kwenye ule mwingine, tobo lililokufa ni...
Taarifa iliyovuja na Washington Post kuipata ni kwamba Urusi imekuwa ikisaidia Iran kutengeneza drones chapa Shahed -136
==============
Russian officials visiting Iran as part of cooperation on attack drone development earlier this year were forced to hunker down in their hotel after an...
Habari za asubuh .
Kuelekea msimu wa kiangazi ni msimu ambao sisi wakulima tunauita msimu wa kukosa kutokana uhaba wa maji ,
Ila mm Kuna kitu namefikiria kukifanya kwenye sector ya umwagiaji katika kupungaza kutegemea maji ya mvua(kilimo Cha mvua) , nataka nichimbe bwawa kwa ajili ya kuvunia...
Tanzania inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa Agosti 08, 2023 Jijini Luanda, Angola kwa ngazi ya Maafisa Waandamizi.
Wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo, imeshuhudiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ikikabidhi...
Nimetembelea hospitali moja yenye jina kubwa tu hapa mjini Dar es salaam, Nilichokiona kimenishangaza sana.
Jinsi hiki choo chao kilivyowekwa kila kitu sehemu moja na mlango wa choo ni mmoja, yaani kama mkiingia wawili basi mnaonana.
Siku ya majuzi jumapili. Sina hili wala lile wakati vitu karibu vyote vya mbele viko on? Radio (av receiver) tv na pc.
Ghafla tu vikazima mara naona moto katikati ya waya wa cable. Haraka nikazima switch ukutani.
Akili ya kwanza nikajua kuna kifaa kishaungua.. Nikatoka kwenda kula then...
Hamza Saidi Johari
WORK
Board Member - Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency
Director General - Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA)
Part time Lecturer - University of Dar es Salaam (UDSM)
Part time Lecturer - National Institute of Transport (NIT)
Executive Secretary (CEO) -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.