wimbo

Dappled Cities (formerly "Dappled Cities Fly") are an indie rock band from Sydney, Australia.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Kuna mrembo mmoja anautesa moyo wangu nimeamua kumwimbia huu wimbo na hii ndio picha yake yupo humuhumu

    Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi. Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha. Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda. Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea...
  2. Frumence M Kyauke

    Mbosso: Nasema sitoi wimbo mpya niueni

    Mbosso ni mmoja wa wasanii ambao umesainiwa chini ya lebo ya WCB inayomilikiwa na staa wa bongo Diamond Platnumz. Alisainiwa baada ya kuondoka kwenye bendi maarufu ya Yamoto ambayo walikuwa bendi ya wanachama wanne. Na Kumfanya awe msanii pekee aliyesainiwa chini ya lebo ya Wasafi. Mbosso ni...
  3. LIKUD

    Wimbo Huu unasafisha Na kupandisha nyota haraka Sana . Unatoa Na kufukuza mapepo yote. Unavunja Kila maagano mabaya Na kuharibu Kila madhabahu ovu

    HII Ni kwa waamini tu. Kuna watu ( wakristo kwa waislamu) huwa wanafikiria kwamba ili kuondokana Na Shari Za Ibilisi Ni lazima wapige Dua nzito, visomo vizito vizito, maombi mazito nakadhalika. Ni Kweli WaPo sahihi Dua,visomo, maombi vinasaidia Sana katika kupambana Na Shari Za Ibilisi but...
  4. chizcom

    Phil Collins -Do You Remember: Lazima hisia zako zitarudi nyuma kwa huu wimbo

    hii nyimbo ya Phil collins- do you remember kiukweli kama umemipitia kwenye mapenzi na uliyempenda,ulitaka kuwa chaguo lako,kulingana na maisha ya hapa na pale. Nitawarudisha nyuma lyrics We never talked about it But I hear the blame was mine I'd call you up to say I'm sorry But I wouldn't want...
  5. I wish i have

    Wimbo wa milele?

    Kwa anayemfahamu huyu binti ana UMRI gani? Tumuoe tunamiliki GOROFA NA VOGI? SASA TUSHINDANE KWA UTAMADUNI - Mbinu za kupata RAIS BORA WA TANZANIA WAJAO
  6. Acehood

    Mashairi ya wimbo wa Lucky Dube "Guns & roses" yanagusa sana hasa kwa tunayofanyiwa na viongozi wetu

    Lucky Dube Lyrics "Guns & Roses" I don't know why I keep believing That one day, they'll bring us together When they've shown In more ways than one That all they care about is the dollar You belong to the one political party I belong to the one musical party Our differences are worlds apart...
  7. LIKUD

    Hizi ndio hesabu za Ney wa Mitego kwenye wimbo wake mpya uitwao " Baba"

    Kwa maoni yangu wimbo wa " Baba" by Ney wa Mitego ni " commercial" Na sio wimbo wa kisiasa kama watu wengi wanavyo weza kuutafsiri Msanii Ney wa Mitego amemtumia Hayati Magufuli kama " point of contact" kufikisha ujumbe wenye lengo la kupush agenda yake ktk biashara ya muziki wake Lengo Hasa...
  8. The druid

    Ombi la nyimbo za cosmas chidumule za injili

    Yeyote mwenye nyimbo original za cosmas chidumule za "libarikiwe neno hili" na "ya nini mizigo hiyo" naomba anisaidie whatsapp no 0717297545 Kwa upendo wa kristo.
  9. Mmawia

    Msanii atoa wimbo wa 'Mbowe sio Gaidi'

    Hata baadhi ya watu wakitaka kutunyamazisha basi mawe yataongea. Wasanii wametoa wimbo wa Mbowe siyo Gaidi. Wacha tuusikilize ndugu wazaleeendo wenzetu.
  10. Grey256

    Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

    Shaloom wakuu, Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's ambapo walianza kuibuka waimbaji wa kujitegemea wa nyimbo za injili na kwa wingi wao imepelekea...
  11. Niache Nteseke

    Wakali wa Music Naomba Kujua Huu ni Wimbo Gani Wakuu...?

    Heshima kwenu wakuu...? Naomba msaada wa kujua huu Wimbo niliuskia kama miaka mitatu nyuma wakuu. Huu Wimbo ni Wimbo wa South Africa kama skosei, upo kimajonzi flani hivi, natumai kuna wadau ambao ni music addicted wanaweza kutupa jina la Wimbo au walioimba Wimbo huu. Natanguliza shukran...
  12. Kasomi

    Kwa mara ya kwanza Dulla planet Aachia Wimbo wake

    Mtangazaji wa kituo cha redio cha East Africa Radio kwa zaidi ya miaka 13 akitambulika hasa katika kipindi cha Planet Bongo, Abdalah Ambua a.k.a Dulla planet Ambua ameachia wimbo wake wa kwanza kwa jina la Unaendaje Wimbo wake ameuchia leo na mara ya kwanza umepigwa kwenye kipindi cha planet...
  13. Superbug

    Freeman Mbowe nakudediket wimbo wa Michael Jackson You not alone

    Mh mbowe Sina zawadi ya kukupa Ila kwa upendo mkubwa Sana Mimi na familia yangu tulionao kwako tunakupa zawadi ya wimbo wa MICHAEL JACKSON ; YOU ARE NOT ALONE. Barikiwa.
  14. Idugunde

    Waziri Bashungwa Wimbo wa bia tamu upigwe marufuku. Unahamasisha ulevi na uzembe

    Huu wimbo hauna tofauti na ule wimbo wa zamani uliokuwa unahamasisha kubomoa na kujenga kesho. Sasa hivi mitaani vijana wanapiga huu wimbo huku wakilewa hovyo na kuhamasisha ulevi. Waziri Bashungwa piga marufuku huu wimbo mara moja.
  15. sky soldier

    Wimbo wa kumkashifu Rais Biden unavuma mno Marekani

    Wamarekani washamchoka huyu mzee 😂 😂 atafutiwe tu kitanda alale wimbo huu umebanwa sana kutojulikana ila kwa jinsi biden alivyochokwa, video inaenda views milioni licha ya kuimbwa na msanii mchanga Hapa ni baadhi ya wamarekani wakiimba kwa hisia kali
  16. K

    Wimbo mpya wa SIMBA SC - Simba ni noma noma kweli....

  17. Stephano Mgendanyi

    Anaitwa lidox mnyama (#karagweboy), ametoa wimbo mpya wa unanifaa

    ANAITWA LIDOX MNYAMA (#karagweboy), AMETOA WIMBO MPYA WA UNANIFAA. PLEASE FOLLOW ME ON LINK IS ON MY BIO ENJOY GOOD MUSIC FROM YOUR BOY #karagweboy https://instagram.com/p/CTCzov-K1Ya/ @spotify and @spotifyafrica as Lidox Mnyama u can streem and watch my songs in Spotify...
  18. REJESHO HURU

    Wimbo wa Dully Sykes ft Maua Sama 'Naanzaje' Vs 'Naanzaje' by Diamond Platinumz

    Udukuzi umefanyika hapo tena kwa hali ya juu. Ningeshauri Diamond angeomba remix tu na brother men Dully Skys Dully Ft Maua: Diamond Platnumz:
  19. Superbug

    Wimbo wa Diamond Baba Lao unatufundisha maisha ya mwanadamu sio milele

    Kwenye wimbo wa Diamond wa Baba Lao yope wanatajwa na kusifiwa watu ambao Leo hawapo Tena kwenye circles of power . Magufuli baba Lao. Makonda baba Lao . Hawa Leo wote hawapo mmoja kafa mwingine majaliwa yake anajua Mungu. Funzo tukanyage kwa adabu ardhi ya Mungu.
Back
Top Bottom