wimbo

Dappled Cities (formerly "Dappled Cities Fly") are an indie rock band from Sydney, Australia.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    KWELI Shakira aliiga ala ya muziki katika wimbo wake wa Waka Waka?

    Mwaka 2010 FIFA walimpatia nafasi Shakira ya kuandaa na kuimba wimbo maalumu kwa ajili ya michuano ya kombe la Dunia ya mwaka 2010 iliyofanyika Afrika ya Kusini. Kwa taarifa za juu ni kwamba Shakira Isabel Mebarak alitupiga na kitu kizito kwani alifanya sampling na kuiba melody ya wimbo wa...
  2. Mr Why

    Ney Wamitego ameendelea kupigilia msumari kauli ya vijana inayosema kataa ndoa kupitia wimbo wake wa bachela

    Ney Wamitego ameendelea kupigilia msumari kauli ya kataa ndoa kupitia wimbo wake wa bachela Katika wimbo wake chorus inasema "sisi ndio mabachela hatutaki ndoa mabachela tunakula ujana mabachela waache waoane" https://youtu.be/mzQ-K56cCDc?si=0FPFHb3wTrkPoM9f
  3. GENTAMYCINE

    Hivi ndiyo mnataka kusema kuwa Watanzania huu Wimbo mpya na Mtamu wa Twanga Pepeta uitwa Mmbea hamjausikia na Kuusifia?

    Bado sijaona kama Twanga Pepeta kwa Tanzania hii na bado sijaona Muimbaji mzuri kama Charles Baba Kingunge. Kitu kikipendwa na GENTAMYCINE jua hadi Malaika wa Mbinguni nao Wameshakipenda. Shikamooni Twanga Pepeta.
  4. M

    Kondeboy kwanini wimbo wako huu kwa Yanga hukutaja wachezaji wote

    Wimbo mzuri sana ila umewataja tu kina Yao, Bacca, Zingeli, Aucho, Chama, Aziz, Dube na Baleke. Kipa wetu bora kabisa Diara hujamtaja. Huyo Aziz uliyemtaja ungemalizia Ki maana haijulikani ni yupi kati ya wawili tulionao. Hivi unamuachaje Musonda. Kwanini usiwakumbuke wachezaji wazawa kama...
  5. GoldDhahabu

    Huu ndiyo wimbo wa Taifa la Zanzibar

    Nimeusikiliza leo kwa mara ya kwanza, lakini sijaufaidi vilivyo kwa sababu siyajui maneno yake. Tafadhali anayeyafahamu anisaidie. Asante.
  6. Uwesutanzania

    Watu wa nyimbo za dini mkuje mnisaidie jina la huu wimbo

    Nimetafuta kwa youtube shida zinakuja nyingi. Nimejalibu kuuimba hapo mnaweza nisaidia kupitia hiyo sauti hapo chini. Wimbo Bwana ndie mchungaji wangu mimi Sitapungukiwa na kitu katika maisha yangu Wandameza mbele yangu bwana machoni pa watesi wangu umenipaka mafuta bwana.
  7. W

    Wimbo wa Lady JayDee aliouimba kwa lugha 7

    Distance: Lady Jaydee Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza, mpenzi uko mbali nami Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza, mpenzi uko mbali nami Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe, kodwa ukude nami mpenzi I love...
  8. Uwesutanzania

    Watu wa zamani (malegendary) mkuje mnisaidie jina la huu wimbo

  9. Nyanda Banka

    Mfahamu aliyetunga wimbo wa taifa wa Tanzania

    Wimbo wa taifa wa Tanzania "Mungu ibariki Afrika" ulibuniwa na mtunzi kutoka Afrika Kusini Enoch Sontonga. Wimbo huu asili yake ni wimbo Nkosi Sikelel’i Afrika aliotunga mwaka 1897. Tafsiri ya jina hilo kwa kiswahili ni Mungu ibariki Afrika. Ni wimbo maarufu zaidi Afrika ukitumika pia katika...
  10. Uwesutanzania

    Watu wa Blues mkuje mnisaide natafuta jina la huu wimbo wa kizungu

    Wimbo kaimba mdada ila nakumbuka tu kwenye kiitikio, Anaimba aie ieeee aeee eha Apolo apolo aeee eha Aie ieeee aeee eha apolo apolo aeee eha Sijui kaimba nani
  11. Kaka yake shetani

    Aliyeimba huu wimbo wa "Huu mwaka" mi naona kakosea huu mwaka 2024?

    Pita pita mtaani yaani watu wamechoka sana hakuna cha maana maisha yao yamekuwa magumu. Nuru za watu zimepotea na kama watu wamejikatia tamaa. Kweli ni nyimbo nzuri ila imekosea kuingia 2024
  12. JanguKamaJangu

    Lyrics za Wimbo wa "Utanipenda" wa Diamond Platnumz

    Tanta lala la Ooh la la la la la Mmh Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree Umeneja umebaki jina Hanitaki hata Tale Oooh wale shabiki zangu Walionisifu kwa maneno matamu Leo maadui zangu Ni mitusi tu kwa instagram...
  13. W

    Ulikuwa wapi wimbo huu ulipotoka?

    Nibebe - Nyota Ndogo “Nibebe” from the album “Mpenzi” Nyota Ndogo featuring Nonini Nonini Ngoma kali hufanya niwakumbushe wakenya Vile Swahili ni kitamu Au sio Nyota aa, Nyota aa Ndogo oo, Ndogo oo Nakupenda sana sitoficha Kama kukupenda ni makosa Sitaki kuwa sawa duniani Kwani nakupenda sio...
  14. kalisheshe

    Anaeijua tafsiri ya wimbo wa affaire d'etat wa Koffi Olomide anisaidie hapa

    Hii ngoma ni kali sana na nmeisikiliza bila kujua tafsiri yake kwa muda mrefu sasa, Naona tu kina Boure mpela, Soleil wanga, fally ipupa, Bebe kero, Brigate sarbati, na Fally ipupa wakilalamika bila kujua wanamaanisha nini https://youtu.be/xtE9cdjeoh0?si=RG2Qy-xTNaNwK9JL Hebu mwenye tafsiri...
  15. AndreRieu

    Anayejua jina la huu wimbo naombeni wakuu,

    Msaada wenu unahitajika hapa
  16. T

    Je, kuna wimbo ulikuwa unaupenda sana lakini kulingana na tukio fulani maisha mwako ukatokea kuuchukua wimbo?

    Wakuu habari za muda huu, natumai mnaendelea vema na majukumu ya kujenga Taifa. Kama uzi unavyojieleza hapo juu, kuna wakati inatokea tuu kuna wimbo wowote ule uwe wa dini, qaswida, au nyimbo za kizazi kipya au hata cha zamani unatokea kuupenda sana wimbo huo na pengine wimbo huo...
  17. M

    Msaada natafuta huu wimbo

    Habari za Jumapili wadau, naomba mwenye wimbo jina lake unaitwa NITUME MIMI BWANA kuna mapadre sijui ndo wameimba, ila ni wanaume pekee ndo wameuimba, Mwenye nae auweke tu hapa niuchukue maana huko google kote hakuna pa kuichukua zaidi tu upo YouTube na mi sitaki, nataka tu ukae kwenye simu...
  18. Extrovert24

    Wimbo wa kwaya Kumuhusu Shetani

    Habari za muda huu wakuu, Let's go Kwani yule aliyeimba "Shetani na Mama mkwe wake wanalia, Shetani na Mama mkwe wake wamekalia msumari" Alikuwa anawaza Nini Wakuu ???
  19. JanguKamaJangu

    Mashairi (Lyrics) ya wimbo wa Sisi Ni Wale wa Phina

    Msanii wa Bongo Fleva, Sarah Michael Kitinga "Phina" aliimba ujumbe huu kupitia Wimbo wa "Sisi Ni Wale" aliouweka kwenye Chaneli yake ya YouTube, Desemba 29, 2023 na hadi Novemba 28, 2024 umetazamwa zaidi ya mara Milioni 10.99. Wimbo ulilenga zaidi kumpa Mtu Moyo wa kuendelea kujituma katika...
  20. Tajiri wa kusini

    Wimbo wa Taifa Unapaswa kubadilishwa haukisi hata kidogo" wabariki Viongozi wetu" Viongozi gani hawa wala rushwa? Mafisadi?

    Nyimbo ya Taifa ya Tanzania unapaswa kubadilishwa haukisi na Aina ya mashairi yanayopatikana kwenye hizo nyimbo yenu eti" wabariki Viongozi wetu" Viongozi gani? Hawa wala rushwa? Mafisadi? Waiba Mali ya umma?kiukweli nachukizwa na Huu Wimbo WA Taifa Popote pale ukiimbwa Katika vitu ambayo...
Back
Top Bottom