yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. msindohr

    Ni yapi maoni yakokuhusu game ijayo ya Simba na Yanga?

    Simba ataendelea kuwa mteja? Kocha mpya wa Yanga naye ataiona Simba?
  2. Minjingu Jingu

    Kwa sasa Yanga tunasubiria baadhi ya wachezaji waachwe Simba tuwachukue

    Sioni kama tunatafuta mbadala ya hawa group stage failure. Wanasubiri tu waje kushindana na teams kama GOPCO waoneshe ufundi wao. Na Singida big stars, Ihefu, na JKT au DODOMA JIJI. Huku tunategemea Simba ikiacha au ikionesha little interest kwa wachezaji flani ndo tukabebe. Kwani uongo? Makapi...
  3. ngara23

    Rais na msemaji wa Yanga wapo Morocco, waliofuzu shirikisho wapo Mbarahati

    Hii ndo tofauti ya CAFCL na shirikisho Timu ikicheza Club bingwa CAFCL itaalikwa kwenye majukwaa makubwa ya kimpira Viongozi wa timu za shirikisho hawawezi kusimama kwenye majukwaa makubwa, Soma Pia: Hafla ya upangaji wa Makundi AFCON 2025, Tanzania tutapangwa na nani? Viongozi wa Simba wapo...
  4. Minjingu Jingu

    Nadhani Simba wana mtu wao kule ndani CAF. Sielewi hizi takwimu, ina maana Eng. Hersi kashindwa kuipandisha Yanga?

    Wadau nmeikuta tena hii sehemu. Ina maana Hersi anashindwa kupenetrate kule ndani kuipandisha Yanga? Yaani Simba wapo Shirikisho. Bado wanapigiwa promo na kukuzwa kila sehemu? Why? Kwa nini?
  5. M

    Yanga yatinga robo fainali ligi ya mabingwa kwa kuichabanga Copo mabao 5 0

    Mwaka huu msipobeba ubingwa hambebi tena, soka mliloonesha leo kwa Copo sio la kawaida, mbarikiwe sana wanaume nyie. Ndio maana sikushangaa Kamwe kwenda Morocco kwenye droo, tuombe mungu mpangiwe vibonde wenu Simba muingie nusu fainal. Kwa ushindi wa Leo Yanga wameipita Simba kwenye ranks za...
  6. Minjingu Jingu

    Kocha Yanga azungumzia Maandalizi kombe la Shirikisho

    Kocha wa yanga Side azungumzia jinsi walivyojipanga kuzichabanga teams nyenzao itakazokutana nazo katika Kombe la Shirikisho la CRDB. Kocha amezungumzia umuhimu mkubwa wa kombe hilo na jinsi walivyojipanga kuhakikisha wanalibeba au kufika fainali. Side ameonekana kuungwa mkono na wanayanga...
  7. M

    Yanga imepata sababu ya kumfukuza kocha wake. Ni 08 March

    Baada ya kugundua falsafa yake ya gusa, achia twende kwao haina Afya kwa Yanga, uongozi umepata sababu ya kuachana na kocha wao huo na sababu pekee ni baada ya kukumbuka Kuwa mechi yao na Simba itakayochezwa March 2025 YANGA ITAFUNGWA KWA MAGOLI MENGI TU NA MENGINE YA AIBU NA KUFEDHEHESHA...
  8. Minjingu Jingu

    Huyu DC ameidharau sana Yanga. Nimeshindwa mwelewa kabisa kwa hii kauli yake kwa TBR United

  9. GENTAMYCINE

    Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said jifunze Ustaarabu na una mengi ya Kujifunza kutoka kwa Viongozi wa Simba SC

    Umetoka Uwanjani na kama kawaida Waandishi wa Habari wanakufuata Kukuhoji unawatisha kwa Kuwaangalia kwa Macho makali huku Unazuga unakunywa Maji wakati hata Kiu chenyewe ulikuwa huna. Na kuonyesha Jeuri hukutaka Kuzungumza na ukaingia haraka Garini na Kundoka. Sijawahi kumuona Kiongozi yoyote...
  10. Allen Kilewella

    Ukitoa pointi Yanga ilipata Kwa kuingia fainali shirikisho, Yanga inabakiwa na pointi ngapi?

    Kwa kuwa Yanga wanayaona mashindano ya shirikisho ni madogo Sana kwao, Kwa Sasa kama pointi Yanga walizopata kwa kuingia fainali ya Kombe la shirikisho Afrika zikitolewa, Yanga itabakiwa na point ngapi? Bila ya kuingia fainali za shirikisho Yanga ingekuwa hapo ilipo?
  11. Minjingu Jingu

    Wilson Oruma amshukia Kocha Yanga Saed Ramovic aache unafiki na kuficha Makosa yake

  12. Minjingu Jingu

    Mastar Yanga kufungiwa AVIC huku wakigombea Kombe la Shirikisho

  13. Gwele

    Yanga haijawahi kuwa klabu ya maana kimataifa

    Tukiachana na kombe la shirikisho ambalo ndio Yanga wamewahi kupata mafanikio makubwa ya kufungwa fainali klabu hii ya Yanga haijawahi kuwa na mafanikio wala ubora wowote ule kimataifa Yanga ndani ya miaka hii mitano imecheza klabu bingwa mara mbili na katika misimu yote Yanga imeshindwa...
  14. GENTAMYCINE

    Naomba kujua je, malengo ya Chama kuhamia Yanga SC kuwa anafuata Mashindano makubwa ili afike mbali yametimia?

    Yaani Simba SC wakuache kwa kukuona Kiwango kimekwisha, kisha ujidanganye kuwa utafanikiwa huko Uendako?
  15. W

    Wakati kocha wa Yanga anasingizia ligi ya Tanzania haina ushindani baada ya kutolewa makundi, Simba yupo Nafasi ya sita CAF Ranking,

    Orodha ya vilabu bora africa baada ya hatua ya makundi
  16. Li ngunda ngali

    Viongozi wa Yanga ni furahisha genge, mpira ni Sayansi na siyo taralila nyingi

    Huo ndiwo ukweli. Ukiwasikiliza hasa Idara ya Ali Kamwe, kutwa kujigamba na wazi unaona ni watu wanao penda sifa za kijinga na zisizo dhahili. Mpira wa miguu siyo rede ama kwaya, bali ni Sayansi iliyo bayana. Huwezi ukafanikiwa kufaulu mtihani wa Sayansi ya football kwa mbwembwe na mapambio ya...
  17. N

    Uzalendo kwanza:Tunaomba 'CAF' wairuhusu Simba iwape Yanga alama mbili ili wafuzu kuingia robo fainali!

    Habari wana jukwaa... Kwa heshima na taadhima tunaliomba shirikisho linalosimamia mpira wa miguu Afrika 'CAF' waturuhusu tuwape utopolo alama mbili Ili wafuzu hatua ya robo fainali. Yanga atakuwa na jumla ya alama kumi ambazo zitaiwezesha timu hiyo kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...
  18. Allen Kilewella

    Kilichowafurahisha Yanga nini siku ya kupanga makundi hadi wakashangilia?

    Siku ya kutangaza makundi ya mashindano ya CAF Yanga walishangilia Sana. Kilichowafanya washangilie ni nini? Waliona timu walizopangwa nazo ni vibonde au vipi? Angalia jinsi Yanga walivyoshangilia timu walizopangwa nazo.
  19. M

    Ukimuondoa Zamalek Kombe la Shirikisho naomba, wanitajie timu ambayo ingeweza kuichalenge Yanga hii iliyotolewa Klabu Bingwa!

    Ningependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4! Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga...
  20. M

    kihistoria Yanga haijawai kupata zaidi ya point 8 kwenye makundi ya ligi ya mabingwa. Inapaswa ibadilike misimu ujao

    Yanga inapaswa tubadilike Haya maisha ya kutegemea kuvuka robo kwa point chache tunapaswa tuyaache. Hata msimu uliopita yanga tulivuna point 8 tu kwenye group stage. Makundi yote hakuna timu hata moja iliyovuka na point 8. Hata mwaka jana ni yanga peke yake ilienda robo na point 8. Katika...
Back
Top Bottom