yesu

  1. Mwigunejacob

    Historia fupi ya Mchungaji Paul Nthenge ambaye aliwaanisha waumini kufunga bila kula kwa siku kadhaa ili kumuona Yesu. Huyu ni Paul McKenzie Nthenge

    Historia fupi ya Mchungaji Paul Nthenge ambaye aliwaanisha Waumini kufunga bila kula kwa siku kadhaa ili kumuona Yesu. Huyu ni Paul McKenzie Nthenge wakati kanisa lake la Good News International huko Malindi lilipoimarika miaka michache iliyopita. Hakuwa mtu aliyechanganyikiwa, kama...
  2. Shemasi Jimmy

    Lijue Baraza la Sanhedrin lililotengeneza mashitaka ya kumuua Yesu

    LIJUE BARAZA LA SANHEDRIN LILILOTENGENEZA MASHITAKA YA KUMUUA YESU Wote waliokuwepo katika Baraza wakasimama, wakampeleka Yesu kwa Pilato. 2 Wakafungua mashtaka yao kwa kusema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu. Yeye anawaambia watu wasi lipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni...
  3. Mohammed wa 5

    Hivi ni kweli Picha ya Yesu ni mzungu halafu picha ya Shetani ni mtu mweusi?

    Yesu ni mfano wa wema na upendo na Mambo mazuri Hilo liko upande wa watu weupe (wazungu) Shetani ni mfano wa dhambi, roho mbaya na mabaya yote yapo upande wa mtu mweusi (Africa) White people (wazungu) wanatuchklia katika upande wa shetani mtu mweusi (Africa) ni kiumbe chenye roho mbaya...
  4. Yesu Anakuja

    Upi Ukweli juu ya kifo cha Yesu?

    Hivi Yesu alikufa? ni kweli? kwasababu gani? Doc hii inasambaa kwenye magroup,jamaa anaongea magubiri mazuri
  5. Lycaon pictus

    Unaifahamu siki(Vinegar) aliyonywesha Yesu?

    Siki ni nini? Siki hutokana na pombe. Ili kutengeneza pombe fangasi hubadili sukari(Glucose) kuwa pombe(Ethanol). Sasa kuna bakteria wanaweza kuibadili hiyo ethanol kuwa asidi(Acetic acid), na hiyo ndiyo siki. Kiasili siki inatoka kwenye pombe. Kwa wakazi wa nyanda za juu kusini watakuwa...
  6. S

    Leo nafufuka na Yesu Kristo. Naomba msamaha kwa wote niliowakosea humu JF, nami nimewasamehe.

    Huku JF wakati mwingine huwa naingia nikiwa serious na nikiwa makini kweli kweli. Lkn Kuna muda nakuwa na stress zangu tu naamua kuja kuziondolea huku. Hivyo kuna muda natoa maoni yanayoweza kuwa yamewakwaza baadhi yenu. Nachukuwa fursa hii kuomba radhi kwenu nyote ktk siku hii takatifu...
  7. Mamujay

    Kwanini Yesu hakuwa na wanafunzi wanawake?

    Naombeni majibu wakubwa. Kama hauna majibu ni bora ukakaa pembeni. Sitarajii kebehi
  8. Kiranja Mkuu

    Hali ya Yesu wa Kenya muda huu

    Jana niliona maandalizi yakifanyika, waliandaa misumari mikubwa, mbao kubwa za msalaba na pia nyundo kubwa Pia kulikuwa na mijeredi, marungu na fimbo nyingi sana. Pia kulikuwa na mikukì standby, naona hii ni ya kumchomea ubavuni akiwa pale juu msalabani. Leo bado sijapata updates za kutoka...
  9. MIXOLOGIST

    Yesu wa Kenya anaenda kusulubishwa, manabii na mitume wa mchongo wakae kwa tahadhari

    Amani iwe nanyi, Kazi ya Mungu siku zote ina upinzani mkali. Tumeona Yesu OG, mitume na manabii walivyo uwawa, teswa na kudhihakiwa. Soma maandiko kwa urahisi wa rejea. Huko jirani, wadau wanataka kumjambisha yule yesu wa mchongo, wanataka kumsulubisha kwa kadiri ya maandiko wakitarajia...
  10. Kaka yake shetani

    Tumpongeze Yuda, bila yeye Yesu asingekwenda mbinguni Wala tusingefahamu pasaka

    Shukrani za dhati kwa Mwenyekiti cha wasiliti bwana Yuda kutuletea pasaka. Na kuanzisha mtindo wa usaliti.leo tuna mayuda wengi duniani kila Kona. Tumebakisha siku chache tumkumbuke Yuda maana tumemsahau
  11. M

    Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

    Naam, Kama tulivyojadili katika kipande cha kwanza sasa kuhusu Sanda hii ambayo Jamii kubwa miongoni mwa wakazi wa Dunia hii huamini ni Nguo takatifu aliyovikwa bwana baada ya kusulubiwa. Kitambaa hiki kulingana na tafiti inaonyesha Taswira ya Mtu aliesulubiwa na kusulubiwa ilikuwa adhabu ya...
  12. R

    Kwenye ekaristi takatifu ni Yesu au Mungu katika nafasi tatu??

    Kwa wakristo wanaoamini Imani ya TRANSUBSTANTIATION, kwenye mkate na divai, pale ni Yesu peke yake yupo? Maana Mungu ni mmoja na hagawanyiki. Basi tulipaswa kusema pale Yuko Mungu katika ukamilifu wake, katika nafsi zote tatu, ama sivyo basi yupo Yesu katika Hali yake ya kibinadamu tu na umungu...
  13. M

    Maasai hawana habari za Yesu wala Mohamad ila wamenyooka kwenye misingi yao na maadili mazuri

    Nikiwaambiaga watu ya kwamba Afrika tamaduni zetu na dini zetu za asili ni bora kuliko hizi dini zilizoletwa kwa ajili ya biashara ambazo ni ukristu na uislamu huwa wanabisha. Hebu tazama maasai, hawa jamaa wanaweza ishi na mtu yeyote. Hawana tabia za ajabu ajabu na za kishenzi kama hawa jamaa...
  14. Da Vinci XV

    Shroud of Turin (Sanda Aliyovikwa Bwana Yesu Inayoonyesha SURA Yake). Je, ni kweli ilikuwa ya yesu kristo?

    SEHEMU YA II Pia soma sehemu ya I Shroud of Turin (sanda aliyovikwa Bwana Yesu inayoonyesha sura yake) ni kweli ilikuwa ya Yesu Kristo? HUENDA LEORNARDO DA VINCI ALIUHADAA( danganya) ULIMWENGU Na Da'Vinci XV, Zanzibar, Masalkheyr wakuu Naam Kama tulivyojadili katika kipande cha kwanza...
  15. Makanyaga

    Huu hapa Muziki wa zamani kabisa uliowahi kurekodiwa hapa duniani; ulipigwa mwaka 1440 Kabla ya Yesu kuzaliwa

  16. JanguKamaJangu

    Kenya: Maafisa wa Jeshi la KDF wamtembelea Yesu wa Tongaren, wapiga naye picha

    Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) wamemtembelea kiongozi huyo wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem Sect, Eliud Simiyu maarufu ‘Yesu wa Tongaren’ anayeishi Kaunti ya Bungoma ambaye anajinasibu yeye ni Yesu ambaye yupo kwenye mchakato wa kuiokoa Dunia. Kumekuwa na Wakenya wengi...
  17. L

    Jinsi Yesu kristo alipozungumza na mimi zaidi ya miaka kumi iliyopita

    Nilikuwa ni mtu wa starehe Sana miaka ya nyuma, ila mwanzoni nilikuwa si mtu wa kulewa Wala wanawake Sana, ila siku moja nilipoanza pombe nilijikuta n
  18. Jemima Mrembo

    Mjue ‘Yesu wa Tongaren’ anayeogopa kusulubishwa na kukimbilia kujisalimisha Polisi

    Kiongozi wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem sect lililopo Bungoma nchini Kenya, Eliud Simiyu. Kenya. Kiongozi wa kiroho wa Kanisa la New Jerusalem sect lililopo Bungoma nchini Kenya, Eliud Simiyu maarufu ‘Yesu wa Tongaren’amelazimika kwenda kutoa taarifa polisi ili kuokoa uhai wake baada ya...
  19. Webabu

    Sanamu la Yesu halijachoka kupigwa na radi

    Sanamu kubwa kuliko yote duniani ni lile la Yesu amani imshukie ambalo lipo juu ya mlima Corcovado pembezoni mwa jiji la Rio de janairo nchini Brazil. Sanamu hilo limo ndani ya mbuga ya Tijuca na ni ubunifu wa kanisa katoliki la nchini humu.Lina ukubwa wa karibu futi 100 kwenda juu.Likiwa juu...
Back
Top Bottom