The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Ooh pole kwa wafiwa. Ila nimemsikia mkuu wa Mkoa bwana Mongela kwenyeTamasha la mama eti Arusha ni shwari kabisaaAjali hii imetoke sanya juu na imehusisha gari ya polisi na gari ndogo ya abiria ambapo madhara ni makubwa imeripotiwa vifo vimefika 10