DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Phd fake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefikia wapi na njugu mawe?Tulia wewe boya
Jomba hakuna mtu anayeishi kama hatakufa..nani huyo..hata mwendqzake alikuwa anasema mwenyewe anajua siku moja atakufa..usidanganyeYap, kifo lazima, sema kuna wakati kinasaidia maana kuna watu waliishi kama hawatakufa
Hahahaha"Wanyonge" ni watu wa namna gani hawa? Hata maandiko yamesema kinyonge hakitaingia katika urithi wa milele, wamelaaniwa wote waishio kwenye kivuli cha unyonge.
Wapo, uzuri kifo kipo karibu ni jino moja tu.Jomba hakuna mtu anayeishi kama hatakufa..nani huyo..hata mwendqzake alikuwa anasema mwenyewe anajua siku moja atakufa..usidanganye
Hakunaga...lete mifanoWapo, uzuri kifo kipo karibu ni jino moja tu.
Tuna amani na uhakika wa kesho yetu kuwa tutakuwa hai! angalau by 90% or so. Sheitwani mkubwa Mungu aliamua ugomvi by NapeTarehe 17.03 tunaadhimisha Kwa kumkumbuka
1. Shujaa,
2. Mtetezi wa Wanyonge,
3. Mnyenyekevu.
NB: Tutamkumbuka daima. Kwa legacy uliyoiacha.
hakuna cha kumbukizi, hakuna. Mliokuwa mnafaidi ukatili kumbukeni. Wengine hatupo ila kusherehekea shetani kutwaliwaPamoja na kwamba taifa letu limewahi kuwa na viongozi katika ngazi ya Urais ambao wameishatangulia mbele ya haki! Kikatiba kumbukizi linalopelekea siku ya mapumziko ni kwa waasisi wa taifa letu (Nyerere & Karume). Hata hivyo siku ya tarehe 17 March kila mwaka, ni siku ya majonzi kwa watanzania walio wengi! Mimi binafsi bado nikimtafakari natokwa na machozi kwa uzalendo na bidii ya kulitoa taifa hili kutoka katika makucha ya mafisadi, majangili, wabadhilifu, n.k. Alionyesha kwa vitengo ndani ya muhula mmoja alileta mapinduzi makubwa kiuchumi, kijamii, kiteknologia, kiulinzi, kiafya, kielimu, kijamii, n.k. Je! Wewe unamkumbukaje JPM?
Alivyoipata hiyo “PhD” pale Mlimani UDSM tukiwa Department of Chemistry Mungu tu anajua. Waliomsaidia kupata hicho kitu kinyemela leo ni viongozi wakubwa huku na kule.Dr Mhe. JP Magufuli (PhD in Chemistry)
Wanyonge? Why mnapenda kujishusha hivi Watanzania! Huo unyonge uko kwenye nini? Nani kaleta huo unyonge kama sio CCM ili wapate kuwatawala vyema? Ukiniita mnyonge nakunyonga!Mtetezi wa Wanyonge
Naomba link ya publication nikajisomee Thesis ya mwamba(chuma) aliyekata moto katikati ya vita.Dr Mhe. JP Magufuli (PhD in Chemistry)
MuuajiTarehe 17.03 tunaadhimisha Kwa kumkumbuka
1. Shujaa,
2. Mtetezi wa Wanyonge,
3. Mnyenyekevu.
NB: Tutamkumbuka daima. Kwa legacy uliyoiacha.