econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hakunaga...lete mifano
Jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakunaga...lete mifano
Legacy,kwa alama(majeraha) alizoziacha ataendelea kukumbukwa.Tarehe 17.03 tunaadhimisha Kwa kumkumbuka
1. Shujaa,
2. Mtetezi wa Wanyonge,
3. Mnyenyekevu.
NB: Tutamkumbuka daima. Kwa legacy uliyoiacha.
Nashangaa unyonge umekua sifa, anaewanyonga ni nani na kwanini wanyongweWanyonge? Why mnapenda kujishusha hivi Watanzania! Huo unyonge uko kwenye nini? Nani kaleta huo unyonge kama sio CCM ili wapate kuwatawala vyema? Ukiniita mnyonge nakunyonga!
CCM Msoga gang au CCM Sukuma gang? Au wote kwa ujumla wenu?CCM tunalia
Wanatamani awe anaandikwa daily(ila awe anasifiwa) lakini ukiwa real ukaandika ukweli wana-panic na kulialia kwamba marehemu aachwe apumzike, Sukuma gang wote ni mazombie.Mna yaanzisha wenyewe wakianza kurusha makombora mnakimbilia aachwe apumuzike mara mnapambana na marehemu
Utamkumbuka wewe wauaji wenzio na washamba wenzakoTarehe 17.03 tunaadhimisha Kwa kumkumbuka
1. Shujaa,
2. Mtetezi wa Wanyonge,
3. Mnyenyekevu.
NB: Tutamkumbuka daima. Kwa legacy uliyoiacha.
NCHI IMETULIA WANANCHI WANA FURAHATarehe 17.03 tunaadhimisha Kwa kumkumbuka
1. Shujaa,
2. Mtetezi wa Wanyonge,
3. Mnyenyekevu.
NB: Tutamkumbuka daima. Kwa legacy uliyoiacha.
Kuna watu ni wapumbavu sanaTarehe 17.03 tunaadhimisha Kwa kumkumbuka
1. Shujaa,
2. Mtetezi wa Wanyonge,
3. Mnyenyekevu.
NB: Tutamkumbuka daima. Kwa legacy uliyoiacha.
Wanyonge bhana, poleni sanaI miss him. JPM Babalao [emoji2731]
Kajinyonge mkuu, mungu wenu kafaAlikuwa mtetezi wa wanyonge leo kila kitu bei juu, matajiri wananeemeka
Huyo ni muuaji,Wiki hizi kadhaa kuelekea kuadhimisha kifo chake tumeona baadhi ya wanasiasa wakilidhihaki vilivyo jina lake huku mamlaka zote zikinyamazia kimya kabisa ishara kwamba ni jambo lililopagwa vuzuri. Je,hii inamaanisha nini?