17 Marhkila mwaka ni siku muhimu kwa Watanzania kukumbuka kifo cha Hayati Magufuli

17 Marhkila mwaka ni siku muhimu kwa Watanzania kukumbuka kifo cha Hayati Magufuli

Rip huko uliko , Jpm .,



Ulionyesha maana halisi ya kuwa kiongozi....(leader). Kwa kutenda physically. Hata hukuona taaaabu kukaa barabarani ukishika njia kutoka wilaya moja kwenda nyingine , huku ukisalimiana na wa Tanzania walioko huko vijijini ...


Rest in forever peace .
 
Wiki hizi kadhaa kuelekea kuadhimisha kifo chake tumeona baadhi ya wanasiasa wakilidhihaki vilivyo jina lake huku mamlaka zote zikinyamazia kimya kabisa ishara kwamba ni jambo lililopagwa vuzuri. Je,hii inamaanisha nini?
Hata yeye alivyokuwa akidhihaki watu waliokumbwa na natural disasters, watu wake wakiua, wakiteka, wakitesa, wakijeruhi au wakipora pesa/mali kwenye biashara za watu au hata pale tetesi/uvumi wa kwamba wanawalawiti wale wanaowateka serikali(ya awamu ya Jiwe) ilikuwa ikakaa kimya bila ya kujitetea by telling it's side of the story au angalau kutoa ufafanuzi lakini iliendeleza ubabe huku chawa wa Jiwe wakifurahia madhila ya wengine.
What's happening now is translated as freedom of speech kwa hiki ulichokitafsiri kwamba ni dhihaka.
 
Rip huko uliko , Jpm .,



Ulionyesha maana halisi ya kuwa kiongozi....(leader). Kwa kutenda physically. Hata hukuona taaaabu kukaa barabarani ukishika njia kutoka wilaya moja kwenda nyingine , huku ukisalimiana na wa Tanzania walioko huko vijijini ...


Rest in forever peace .
Tarehe kama ya leo ndiyo siku tulipata uhuru. Mungu fundi sana
 

Pamoja na kwamba taifa letu limewahi kuwa na viongozi katika ngazi ya Urais ambao wameishatangulia mbele ya haki! Kikatiba kumbukizi linalopelekea siku ya mapumziko ni kwa waasisi wa taifa letu (Nyerere & Karume).

Hata hivyo siku ya tarehe 17 March kila mwaka, ni siku ya majonzi kwa watanzania walio wengi! Mimi binafsi bado nikimtafakari natokwa na machozi kwa uzalendo na bidii ya kulitoa taifa hili kutoka katika makucha ya mafisadi, majangili, wabadhilifu, n.k.

Alionyesha kwa vitengo ndani ya muhula mmoja alileta mapinduzi makubwa kiuchumi, kijamii, kiteknologia, kiulinzi, kiafya, kielimu, kijamii, n.k.

Je! Wewe unamkumbukaje JPM?
 
Pamoja na kwamba taifa letu limewahi kuwa na viongozi katika ngazi ya Urais ambao wameishatangulia mbele ya haki! Kikatiba kumbukizi linalopelekea siku ya mapumziko ni kwa waasisi wa taifa letu (Nyerere & Karume).

Hata hivyo siku ya tarehe 17 March kila mwaka, ni siku ya majonzi kwa watanzania walio wengi! Mimi binafsi bado nikimtafakari natokwa na machozi kwa uzalendo na bidii ya kulitoa taifa hili kutoka katika makucha ya mafisadi, majangili, wabadhilifu, n.k.

Alionyesha kwa vitengo ndani ya muhula mmoja alileta mapinduzi makubwa kiuchumi, kijamii, kiteknologia, kiulinzi, kiafya, kielimu, kijamii, n.k.

Je! Wewe unamkumbukaje JPM?
Kukumbuka tu haitoshi.

Huko ni kuabudu historia.

Tuatakiwa tufanye na sisi kwa wakati wetu.

Nani yuko tayari kuunga mkono Juhudi za kuanzisha chama kitachofata fikra sahihi na falsafa ya JPM
 
Ukiangalia magezeti yote ya leo ni gazeti la mwananchi pekee lililoipa wino mzito kumbukumbu ya JPM. Hii maana yake nini? R.I.P Chuma
 
Wiki hizi kadhaa kuelekea kuadhimisha kifo chake tumeona baadhi ya wanasiasa wakilidhihaki vilivyo jina lake huku mamlaka zote zikinyamazia kimya kabisa ishara kwamba ni jambo lililopagwa vuzuri. Je,hii inamaanisha nini?

Mungu aliamua ugomvi” Nape
 
Magufuli was a country bumpkin.

Good riddance to bad rubbish.

Let the Champagne pop!
Champagne mood.
Screenshot_20230313-174517.jpg
 
Back
Top Bottom